Baada ya TPA kutangaza tenda kuhusu uwekezaji Terminal 2, Bado mnaamini Bandari zote zimeuzwa?

Dp world nawatakiwa wafaamishwe kabla tenda kutangazwa au hujakiona iki? Hujasoma mkataba Nini?
Nimekuuliza kifungu gani, hujakiweka kifungu hapa tukichambue.

Wote tunaweza kuwa tumesoma kifungu kimoja, lakini tukawa na uelewa tofauti.
 
Utaratibu unahitaji mwekezaji apatikane baada ya ushindani, hizi sifa ulizomwagia bado hazitoshi kuhalalisha ukiukwaji wa taratibu na sheria.
Waliompa hiyo nafasi walijiridhisha juu ya uwezo wake, kampuni inayoendesha bandari za UK na China huwezi kuishindanisha na makampuni mengi yaliyopo duniani kwenye sekta husika.
 
Ko mkataba umefutwa au?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nyie nikwenda polepole mnataka kupindua meza kibwege
Haujafutwa, hauwezi kufutwa kirahisi tu wakati ulipitishwa bungeni na mahakama imesaidia kuipa uhalali hiyo DP World baada ya hukumu ya kina Mwabukusi kuwekwa hadharani.
 
Unaibishia hata IGA iliyosainiwa na Prof. Mbarawa?

Vv

Sent from my SM-A045F using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo hakutakiwa kushindanishwa kama sheria ya manunuzi ya umma inavyotaka sababu ya meli 400 alizonazo na kazi nyingine azifanya katika nchi zingine?
 
Kwa hiyo hakutakiwa kushindanishwa kama sheria ya manunuzi ya umma inavyotaka sababu ya meli 400 alizonazo na kazi nyingine azifanya katika nchi zingine?
Waziri na wanasheria wa wizara ndio waliompa. Tatizo wengi wetu hatuna ufahamu wa ukubwa wa DP World kidunia.

Na hili ni tatizo letu la ndani ambalo ni dogo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…