Baada ya tukio la Japan, Vyombo vya dola vifanye mapitio ya kiusalama mikutano ya barabarani

Baada ya tukio la Japan, Vyombo vya dola vifanye mapitio ya kiusalama mikutano ya barabarani

'Sniper', mtu anakaa kilomita tano au zaidi, anatungua tu kama mchezo.
Afghanistan haya yalifanyika sana.

Hayo ni kawaida na hakuna wa kuzuia
Nimeangalia clip ya tukio Hilo la Abe
Walinzi hata kumsukumu hawakumlaza na yeye hakujiongeza kukaa chini

Maana muuwaji alikosa risasi ya kwanza
Huku Abe akiwa amezubaa tu na walinzi pia

Lakini kama mda ukifika ndio tunaona maajabu haya
 
Mbinu nyingine ni kuongeza safari za nje,

Hiyo itasaidia kupunguza kukutana na wanyonge wenye hasira za tozo.
 
Dunia imeshuhudia tukio baya sana dhidi ya kiongozi mpole, asiye na makuu, lakini hayawani mmoja kamuondolea uhai.

Nashauri vyombo vya dola vifanye review ya kiusalama hasa kwa mikutano inayofanyika barabarani.

Kuna watu kama Mdude na Masese huwa wanajiapiza mambo mabaya dhidi ya nchi hii katika mitandao yao ya kijamii
Ni kweli mkuu
 
Siku moja yatatokea Yale ya Siri Lanka
Najua tu
 
Mbinu nyingine ni kuongeza safari za nje,

Hiyo itasaidia kupunguza kukutana na wanyonge wenye hasira za tozo.
EeeeenHeeeee!!!

Aiiiseeeee!

Mkuu 'stroke' siku hizi unavituko kwelikweli!
 
Unaifahamu kilometa Tano mkuu
Yaani kukosa ufahamu kwako, ndio iwe sababu ya mimi kutojua maana ya kilomita tano?

Kama hujui, huwa siandiki kitu nisichokuwa na ufahamu juu yake. Hilo nililoandika hapo juu nina uhakika nalo.
 
Matukio yanapotokea kama ni mabaya ndio huwa tunajaribu kukosoa na hii ni kawaida ya binadamu kusema laiti ingekuwa hivi

Rais wetu aliefariki alikuwa na ulinzi wa hali ya juu ingawa mpaka leo hatujui ilikuwa inatumika shilling ngapi kumlinda kwa ule ulinzi lakini pamoja na helicopters juu na makomandoo mpaka wenye manati ili hata jolowe akikatishwa ashushwe kimya kimya bila kumbughudhi Rais

Ila aliondoka nae siku yake ilipofika
Kama siku ikifika hata wewe unaweza kufa kifala ila ni kifo tu haijalishi unalindwa Vipi

Japan wana sheria ngumu sana za bunduki na hiyo ilikuwa ni ya kutengeneza locally tu
Na hapo hata walinzi hawakutegemea kwa kuamini amani iliyopo na pia mda wake ulishafika na ikawa sababu
Manati kazini.
Screenshot_20220710-010603.jpg
 
Yaani kukosa ufahamu kwako, ndio iwe sababu ya mimi kutojua maana ya kilomita tano?

Kama hujui, huwa siandiki kitu nisichokuwa na ufahamu juu yake. Hilo nililoandika hapo juu nina uhakika nalo.
Yaani kukosa ufahamu kwako, ndio iwe sababu ya mimi kutojua maana ya kilomita tano?

Kama hujui, huwa siandiki kitu nisichokuwa na ufahamu juu yake. Hilo nililoandika hapo juu nina uhakika nalo.
Me nimekosa ufahamu lakn wewe umekosa Kitu Cha kutuaminisha kwamba sniper anaweza kukaa kilometa Tano na akamtungua MTU. Toa mifano Sio bla bla tu. Leo hii Kama sniper anaweza kukaa kilometa Tano na Bado akafanya Kazi yake nambie usalama wa viongoz Wetu utakuaaje? Hebu nifahamishe
 
Me nimekosa ufahamu lakn wewe umekosa Kitu Cha kutuaminisha kwamba sniper anaweza kukaa kilometa Tano na akamtungua MTU. Toa mifano Sio bla bla tu. Leo hii Kama sniper anaweza kukaa kilometa Tano na Bado akafanya Kazi yake nambie usalama wa viongoz Wetu utakuaaje? Hebu nifahamishe
Duh,

Sasa jambo kama hili, mkuu wangu 'Dodoma leo', nalo liwe la ubishi nyakati kama hizi za teknolojia, ambapo ukitaka habari juu ya jambo lolote unalipata kwa urahisi tu?

Chukua muda, hata nusu saa ni nyingi, tafuta taarifa utazipata. Tena hata hiyo kilomita tano ni sehemu fupi sana kwa 'sniper' kufanya kazi kwa uhakika.
Na hata hujawahi kusikia habari za 'drones', ndege zisizokuwa na rubani? Hii ninakuongezea tu, mbali ya hilo la kilomita tano.
 
Me nimekosa ufahamu lakn wewe umekosa Kitu Cha kutuaminisha kwamba sniper anaweza kukaa kilometa Tano na akamtungua MTU. Toa mifano Sio bla bla tu. Leo hii Kama sniper anaweza kukaa kilometa Tano na Bado akafanya Kazi yake nambie usalama wa viongoz Wetu utakuaaje? Hebu nifahamishe
Nikupe mfano wa kuanzia: tafuta taarifa ya 'sniper' wa Canada walivyokuwa wakiwatungua mjahidini wa Afghanistan.
Huo ni mfano halisi kabisa utakaokupa uelewa.
 
Back
Top Bottom