Baada ya tukio la Japan, Vyombo vya dola vifanye mapitio ya kiusalama mikutano ya barabarani

'Sniper', mtu anakaa kilomita tano au zaidi, anatungua tu kama mchezo.
Afghanistan haya yalifanyika sana.

Hayo ni kawaida na hakuna wa kuzuia
Nimeangalia clip ya tukio Hilo la Abe
Walinzi hata kumsukumu hawakumlaza na yeye hakujiongeza kukaa chini

Maana muuwaji alikosa risasi ya kwanza
Huku Abe akiwa amezubaa tu na walinzi pia

Lakini kama mda ukifika ndio tunaona maajabu haya
 
Mbinu nyingine ni kuongeza safari za nje,

Hiyo itasaidia kupunguza kukutana na wanyonge wenye hasira za tozo.
 
Ni kweli mkuu
 
Siku moja yatatokea Yale ya Siri Lanka
Najua tu
 
Mbinu nyingine ni kuongeza safari za nje,

Hiyo itasaidia kupunguza kukutana na wanyonge wenye hasira za tozo.
EeeeenHeeeee!!!

Aiiiseeeee!

Mkuu 'stroke' siku hizi unavituko kwelikweli!
 
Unaifahamu kilometa Tano mkuu
Yaani kukosa ufahamu kwako, ndio iwe sababu ya mimi kutojua maana ya kilomita tano?

Kama hujui, huwa siandiki kitu nisichokuwa na ufahamu juu yake. Hilo nililoandika hapo juu nina uhakika nalo.
 
Manati kazini.
 
Yaani kukosa ufahamu kwako, ndio iwe sababu ya mimi kutojua maana ya kilomita tano?

Kama hujui, huwa siandiki kitu nisichokuwa na ufahamu juu yake. Hilo nililoandika hapo juu nina uhakika nalo.
Yaani kukosa ufahamu kwako, ndio iwe sababu ya mimi kutojua maana ya kilomita tano?

Kama hujui, huwa siandiki kitu nisichokuwa na ufahamu juu yake. Hilo nililoandika hapo juu nina uhakika nalo.
Me nimekosa ufahamu lakn wewe umekosa Kitu Cha kutuaminisha kwamba sniper anaweza kukaa kilometa Tano na akamtungua MTU. Toa mifano Sio bla bla tu. Leo hii Kama sniper anaweza kukaa kilometa Tano na Bado akafanya Kazi yake nambie usalama wa viongoz Wetu utakuaaje? Hebu nifahamishe
 
Duh,

Sasa jambo kama hili, mkuu wangu 'Dodoma leo', nalo liwe la ubishi nyakati kama hizi za teknolojia, ambapo ukitaka habari juu ya jambo lolote unalipata kwa urahisi tu?

Chukua muda, hata nusu saa ni nyingi, tafuta taarifa utazipata. Tena hata hiyo kilomita tano ni sehemu fupi sana kwa 'sniper' kufanya kazi kwa uhakika.
Na hata hujawahi kusikia habari za 'drones', ndege zisizokuwa na rubani? Hii ninakuongezea tu, mbali ya hilo la kilomita tano.
 
Nikupe mfano wa kuanzia: tafuta taarifa ya 'sniper' wa Canada walivyokuwa wakiwatungua mjahidini wa Afghanistan.
Huo ni mfano halisi kabisa utakaokupa uelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…