mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
- Thread starter
-
- #41
Ndio ni vyombo vya nje kupitia chadema wanafanya maovuKwani vyombo vya nje ndio vinateka watu.
Kwani vyombo vya nje vinauawa Watanzania?
Umejaa wadudu ubongoni dogo
Ndio bado upelezi unaendeleaJeshi la Polisi kazi yake nini?.
Amani ni kinyume cha fujo (maandamano)Embu niambie wewe unaejua AMANI NI NINI?
Nani huyo alikudanganya Accacia hawaoperate Tz? Kisasi gani wakati na fidia mmelalipa!Acacia unawakumbuka? Wazungu wana visasi visivyoisha
Waliopewa DHAMANA ya kututawala wengi wao UPEO wao ni mdogo sana!Wakuu leo natumia kingereza maana nikumbuke ada yangu haya " THIS IS VERY VERY TACTICAL MOVES" sijui kwanini hawaelewi kwa kifupi
Kwani unafikiri wana furaha?Nani huyo alikudanganya Accacia hawaoperate Tz? Kisasi gani wakati na fidia mmelalipa!
Huu mjadala unafaa kwa wanafunzi wa form4 humu wote watu wazima unatuchosha!
Swali gumu sana hili kwa mtu anayetawaliwa na unafikiKama watu wanaweza kutekwa na kuuliwa bila wahusika kukamatwa ,wewe unafikiri adui ni nani ?
Halina ugumu wowote bwashee,Swali gumu sana hili kwa mtu anayetawaliwa na unafiki
Hawa watu wangeachwa waandamane, sijui ni nani aliyemshauri Rais awazuie.Hakuna serikali isiyo na maadui, ukifikiria hivyo ni makosa makubwa sana. Vyombo vya nje na ndani kazi yao ni kutangaza. Kwani mbona mabalozi wapo hapo unadhani hawapati habari zote. Serikali iache waandamane kwani itapungukiwa na nini? Nimeshangaa kuona polisi inatumia silaha kwa watu wasio na silaha. Yaani nimeshangaa sana kuona hivyo. Mpaka inatia aibu kwenye anga za kimataifa.
Yaani unitukane mimi halafu umuombe msamaha god?Kinachosaliti taifa letu mpaka sasa ni ubongo wako huo nadhani kila mtu kajua.
Katiba ni nini? ( ni jumla ya mambo ambayo watu wote wamesema AMINA katika maisha ya kila siku na yatafuatwa bila kujali cheo,rangi,kimo au mali)
Katiba inasema AMINA watu wa-demostrate, wewe hapa unaleta habari za beberu.Was beberu around when you said AMEN to peacful demonstration.Sorry to say this but f*** U
God forgive me!
Una uwezo mdogo sanaa wa kufikiri.Amani ni kinyume cha fujo (maandamano)
Sikupenda sema reasoning yako imenifanya nifanye hivyo lakini sio kesi kiongozi samahani lakini umeandika upupu man kusema ukweliYaani unitukane mimi halafu umuombe msamaha god?
Halafu ndio mnataka nchi? Na mabeneru wenu?
Ila sasa hakuna amani ,amani mnayo tu nyie wa uvccm,wengne kila mtu anaogopa kutekwa na kupelekwa kule katavi akaliwe na fisi kama satifa!!Ni kama hakuna maandamano wala vurugu za hivyooooo, sasa nimeshangaa mabe eru kuyaoa kipaumbele,
Huu sio uchochezi?
Au sio kuhamasisha vijana?
Amani yetu ni tunu
Ndugu yako ajatekwa wala kuuliwa.....kwako unaona poa tu.......msiba usikilize kwa jirani 😡Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
Unajitisha tu, karibu uvccmIla sasa hakuna amani ,amani mnayo tu nyie wa uvccm,wengne kila mtu anaogopa kutekwa na kupelekwa kule katavi akaliwe na fisi kama satifa!!
Yes najua ni upupu, na ndio maana umewawashaSikupenda sema reasoning yako imenifanya nifanye hivyo lakini sio kesi kiongozi samahani lakini umeandika upupu man kusema ukweli