mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
- Thread starter
-
- #101
Eeh nyundo tena? Zile ni risasi, lakini dereva angetuambia nani amezipigaNan apeleke Shahidi........?
Lile gari walitoboa na nyundo au
Kuna msemo unasemaMtani humu kuna watu na viatu!
Kama n Risasi, Je npigaji wa Hzo Risasi n nan..?Eeh nyundo tena? Zile ni risasi, lakini dereva angetuambia nani amezipiga
Ila nasikia amefichwa mbali kabisa asionekane
And the answer was excellentGood question.
Upumbavu mtupuSasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
Kwa hiyo tunaweza kusema dereva ndie alimpiga? Coz kuna risasi zi gine zimepigwa chini ya kiuno kitu ambacho ni kigumu kwa mtu aliyeko njeKama n Risasi, Je npigaji wa Hzo Risasi n nan..?
CAse ikifika mahakaman ndio anatakiwa Shaidi akatoe ushaidi sio Police.
Ushaidi wa kimazingira n Kwamba Gari na Lissu limepigwa Risasi.
Je dereva anaweza kuwatambua vp watu waliofanya Tukio wakat wote walikua wanapambania Uhai wao.....?
Ww unaweza kumjua mtu uliye muona kwa mara ya kwanza toka kuzaliwa.....?
Kuwakumbusha watanzania kuwa makini na maadui ni upumbavu?Upumbavu mtupu
SawaKuwakumbusha watanzania kuwa makini na maadui ni upumbavu?
Utakuwa unatania, labda au umkenya?
Ni vibaya kufanya 'rationslisstion' kwenye matatizo ya mtu mwingine. Kuna mama mmoja alikuwa akimcheka mwanamke mwenzake kwamba "ana kichwa kilichopinda". Yeye aliona hana hana hilo tatizo. Baada ya muda fulani kupita, alipata ujauzito na alijifungua mtoto ambaye kichwa kimepinda pia. Pengine Mungu alitaka kumwonyesha kwamba 'kama una mcheka huyu kwa vile siyo wewe, ngoja nikupe picha ya karibu', na watu walihusisha na kile alichokuwa akimcheka mwanamke mwenzake na kilichotokea kwa mtoto wake mwenyewe.Kwa hiyo tunaweza kusema dereva ndie alimpiga? Coz kuna risasi zi gine zimepigwa chini ya kiuno kitu ambacho ni kigumu kwa mtu aliyeko nje
unakosea hii massage ni kwa watawala ndo wanaweza kutufikisha huko na wala si wananchi.Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
Kama watu wanaweza kutekwa na kuuliwa bila wahusika kukamatwa ,wewe unafikiri adui ni nani ?
Itakuwa ni hujuma nazo hizo
yaani mbuzi ni wengi mnoo hii nchi.Watu wanatekwa kuteswa na kufa halafu wewe unasema tulinde amani.
Amani ipi sasa?
Utaendele mpaka lini?Uchunguzi unaendelea bwashee
Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
Wageni ndo wanaoteka watu, kutesa na kuua?Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
Rubbish!Ni kama hakuna maandamano wala vurugu za hivyooooo, sasa nimeshangaa mabe eru kuyaoa kipaumbele,
Huu sio uchochezi?
Au sio kuhamasisha vijana?
Amani yetu ni tunu
Hapana, ni chadema ndo wanateka wakishirikiana na mabeberuWageni ndo wanaoteka watu, kutesa na kuua?