Mkuu, hao wanaojiita watetezi wa haki za binadamu, wangezitekeleza kwao mimi ningewaelewa zaidi. Haki za binadamu zinavunjwa wazi wazi huko kwao na wana namna yao ya kuwadhibiti wale wanaowaona kuwa hatari kwenye anga zao... wanawaficha tuu!!. >>Nakumbuka mwaka 1994 nikiwa Copenhagen kuna dereva wa taxi alikataa kata kata kunihudumia mimi kama mwafrika, huo ni ubaguzi unaokiuka haki za binadamu na umekithiri sana huko huko kwao, iweje kwetu wadai haki za binadamu zinakiukwa?.Haki za binadamu ni zipi zinazokiukwa?? Wajitoe tu mbona wachina wapo.
Yaani unalilia msaada kama mtoto mdogo. Kwa hiyo uko tayari kutatuliwa marinda alimradi tu upewe msaada? Aisee.
Unachekesha.Sasa anayelalamika jf na asitembeze bakuli na yule aliyekaa kimya na akatembeza bakuli nani aulizwe, mbn unaropoka na kushindwa kutumia akili hata kidogo. Nchi yetu inaendeshwa kwa misaada na hao wanaozuia ndio hao hao wanaofanya tuyaona haya maendeleo ambayo bado ni finyo ktk mambo yote ya elimu, afya na mambo mengine meengi. Ss ukijifanya kuona ni jambo jema kuvimba wakati unaowavimbia ndio wanaokusaidia ni ujinga tena ni bora uwavimbie kwenye maswala yenye tija ila serikali inafanya mambo ya kipuuzi hlf unavimba. Ww endelea kujipamoyo na wakati umtumiaji wa ARV's na wenye kuzitoa wameshabana.
Ok.Nadhani anachojaribu kusema je tumeandaa mazingira ya kujitegemea ? Au maamuzi yamefanywa wakat ambao bado misaada inahitajika.
SanaUnachekesha.
Nonsense, kwani wenyewe hawaoni eti hadi Zitto ndio awaambie. Mabalozi wanao wa nini sasa hapa.View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Nje ya mada, au! Mleta mada na baadhi ya wachangiaji wanatupia lawama Serikali kama itanyimwa misaada. Nyuma ya mada hiyo ni siasa tupu, kuwa ingekuwa Serikali ya upinzani, hilo huenda lisingetokea. Hivyo nimerahisisha na kujumuisha hoja hizo kuwa upinzani usubiri 2020, haiko mbali.Uko nje ya mada, mada ni nchi za magharibi kusitisha misaada sio uchaguzi.
Huyo dereva alipokataa uliripoti panapohusika nao wakakataa kukuhudumia.Mkuu, hao wanaojiita watetezi wa haki za binadamu, wangezitekeleza kwao mimi ningewaelewa zaidi. Haki za binadamu zinavunjwa wazi wazi huko kwao na wana namna yao ya kuwadhibiti wale wanaowaona kuwa hatari kwenye anga zao... wanawaficha tuu!!. >>Nakumbuka mwaka 1994 nikiwa Copenhagen kuna dereva wa taxi alikataa kata kata kunihudumia mimi kama mwafrika, huo ni ubaguzi unaokiuka haki za binadamu na umekithiri sana huko huko kwao, iweje kwetu wadai haki za binadamu zinakiukwa?.
Ingekuwa serikali ya upinzani? what do you mean.Nje ya mada, au! Mleta mada na baadhi ya wachangiaji wanatupia lawama Serikali kama itanyimwa misaada. Nyuma ya mada hiyo ni siasa tupu, kuwa ingekuwa Serikali ya upinzani, hilo huenda lisingetokea. Hivyo nimerahisisha na kujumuisha hoja hizo kuwa upinzani usubiri 2020, haiko mbali.
hahahahahaahhahhaha kitu keshiiiiii
Umeelewa nilichoandika kukujibuIngekuwa serikali ya upinzani? what do you mean.
Cc:Magonjwa MtambukaSasa anayelalamika jf na asitembeze bakuli na yule aliyekaa kimya na akatembeza bakuli nani aulizwe, mbn unaropoka na kushindwa kutumia akili hata kidogo. Nchi yetu inaendeshwa kwa misaada na hao wanaozuia ndio hao hao wanaofanya tuyaona haya maendeleo ambayo bado ni finyo ktk mambo yote ya elimu, afya na mambo mengine meengi. Ss ukijifanya kuona ni jambo jema kuvimba wakati unaowavimbia ndio wanaokusaidia ni ujinga tena ni bora uwavimbie kwenye maswala yenye tija ila serikali inafanya mambo ya kipuuzi hlf unavimba. Ww endelea kujipamoyo na wakati umtumiaji wa ARV's na wenye kuzitoa wameshabana.
Sisi ni dooona kantriiiiUSAID wakikata tumekwisha
Akili ndogo.. Kwahiyo baba yako akifukuzwa kazi huwa mnashangiliaYajayo yatawaumbua wachache japo tutaumia wengi kama sio wote.
Kwahiyo wewe unapenda serikali inayo tegemea misaada hadi inaonesha wewe hadi mkeo unasaidiwa weweTime will tell... Hali ikizidi kuwa mbaya labda Watz tutaamka kutoka usingizini
Acha kuwa hela ya mama yako.. Fanya kazi upate helaAm just thinking of my mother, she's about to retire Na haya majibwa yamepitisha 25 Kwa 75% Na alivyo spender mamangu Na ccm die hard fan, lord have mercy! No wonder Joyce mapunjo alipotumbuliwa Tu ukatibu mkuu akajifia, dahh!
Sijakuelewa ndiyo maana nimeuliza serikali ya upinzani ndiyo ipi.Umeelewa nilichoandika kukujibu