Naona mleta mada Fanton Mahal hawezi fanya hivi anamuogopa sana mkewe sijui alilishwa limbwata la wapi, kwa uchache aliyosema hapa kuhusu mkewe basi akikuta watoto wote wannne ni wake basi akafanye na ibada ya shukrani kabisaNami nahisi hili litakuwa jambo muhimu Mleta mada kulifanya, Usiogope kuambiwa fulani siyo wako au wote ni wako, lakini ni jambo muhimu sana katika mahusiano na talaka. Hata ustawi wa jamii wanashauri kwenye kesi zao za usuluhishi hasa linapohusu watoto, DNA ni muhimu kabla ya yote.
Damn woman!!!Ikumbukwe chanzo cha mgogoro mzima ni mimi kufumania picha zake za uchi akiwa katika safari ya kikazi nikamhoji, akani temea shit, nikamchapa. Ila ndio hivyo anakomaa kuvunja ndoa.
Wakuu, na hayo tu.
NIwatakie mchana mwema
Ms ndoa ni kasheshe aisee, how do you guys manage ?Naona mleta mada Fanton Mahal hawezi fanya hivi anamuogopa sana mkewe sijui alilishwa limbwata la wapi, kwa uchache aliyosema hapa kuhusu mkewe basi akikuta watoto wote wannne ni wake basi akafanye na ibada ya shukrani kabisa
Kila mtu na kasheshe zake 😂Ms ndoa ni kasheshe aisee, how do you guys manage ?
i won't lie, sipendi makelele , hata paka wangu wana jua hilo🤣😂.Kila mtu na kasheshe zake 😂
Basi utakae mpata atakuwa na gubu balaa na akianza kusema hamalizi 🤣i won't lie, sipendi makelele , hata paka wangu wana jua hilo🤣😂.
acha miyeyusho 😂 🤣, trust me kelele sio nzuri kabisa.Basi utakae mpata atakuwa na gubu balaa na akianza kusema hamalizi 🤣
Na ukichagua sana basi ndo utaangukia koroma kabisa halafu ukute ana insecurities ndoa inakuwa ndoano 😁acha miyeyusho 😂 🤣, trust me kelele sio nzuri kabisa.
Hata hela haitulii
Huwa nina imagination fulani ya ajabu, hapo naona niki ambiwa why ume nuna.Na ukichagua sana basi ndo utaangukia koroma kabisa halafu ukute ana insecurities ndoa inakuwa ndoano 😁
Pole sana mkuu,pata muda kupumzika upunguze mawazo. Lakini mwanamke usimrudie hata kama akiomba msamaha.
Mkuu kuhusu hili ni kwel kabisa
Yani ukiwa mpole lazima Mungu akupe wa kukuchangamsha kidogoHuwa nina imagination fulani ya ajabu, hapo naona niki ambiwa why ume nuna.
Akati nime kaa kimya natafakari 😂🤣
na vile kwetu huwa hatu pigi wanawake, may the lord save my soul and body😂Yani ukiwa mpole lazima Mungu akupe wa kukuchangamsha kidogo
Umeniona mkuu. Niseme watoto ndio wamekua udhaifu wangu mkubwa sana, ila kwasasa nimeamua nikaze moyo tu
We kama hutaki shida jitafutie mtoto wa kishua au mzungu wa America afu tumia ile mbinu ya kivita aliyotumia INSIDER MANna vile kwetu huwa hatu pigi wanawake, may the lord save my soul and body😂