Baadhi ya fani zenye ajira kubwa Duniani: Wazazi somesheni watoto nje Degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering

Baadhi ya fani zenye ajira kubwa Duniani: Wazazi somesheni watoto nje Degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering

Kwanza wewe mwenyewe tambua unataka nini,hii utakusaidia kufanya kitu unachokipenda sababu field za IT zina badilika sana so unachokifanya hakikisha unakipenda,labda unataka Database(MySql,Oracle),Programming(python,Java,C++,PHP,Go),Networking (Cisco,Juniper,Huawei nk),Server,Cyber,System Analysis and Design.

Ukishajipima wewe mwenyewe unachokiweza na kukipenda,sasa ingia youtube mule kuna tutorial nyingi tu,download utapata maelekezo yote au ingia torrent napo kuna tutorial nyingi download video na vitabu,baada ya hapo soma sana theory na practical,ukishajilizisha sasa unaweza kwenda level za juu ktk hiyo field.

Husiogope mwanzo mgumu,mimi networking nimeijulia baada ya kumaliza chuo.Chuo nimetoka mweupe mimi na cheti changu ila skills sina,nilisoma Network YouTube na kuna vitabu nilivisoma ndivyo vilivyonisaidia.
Yaani wewe jamaa leo umeleta mada njema sana.

Nimegonga YouTube kile ninachokipenda, vimeshushwa tutorial videos hapa, huwezi amini!! Nataka nikomaye mpaka kieleweke.
Ubarikiwe.
 
kwa kweli komaya mpaka kieleweke
Yaani wewe jamaa leo umeleta mada njema sana.

Nimegonga YouTube kile ninachokipenda, vimeshushwa tutorial videos hapa, huwezi amini!! Nataka nikomaye mpaka kieleweke.
Ubarikiwe.
 
Mkuu sio general. Mie by Pro.. ni Mechanical Eng, nina Bacheraol ya IT na nina PGD ya Electrical.. na ni certified Penetration Tester.. programing nilikuwa najua zaidi hata ya ma programer. Kwenye field ya Security nilikuwa nawalaza na ukija kwenye programing na kulaza.. sema now days nimeacha vyote niliona upumbavu nanufaisha watu
Dah umeacha programming? Mimi mwenyewe najuata kwa nini sikusoma programming mwanzoni watu wanapiga hela.
 
Dah umeacha programming? Mimi mwenyewe najuata kwa nini sikusoma programming watu wanapiga hela.
Jamaa yangu, kupiga hela ni mpaka kidole cha shahada cha mwingine. Maana yangu, mtu akufahamu kwanza halafu akuunganishe kwa wahitaji. Vinginevyo utanufaisha watu tu.
 
Husiogope komaa vitu vina eleweka mimi mwaka huu namalizana na Python,mwakani nahamia Go.
Sawa mkuu, mimi bado najifunza front end sasa hivi, nikimaliza front end na anza back end. Na language nitakayo jifunza kwa back end ni Node.
 
Mkuu naomba mwongozo nina dogo anamaliza olevel mwaka huu anapenda sana haya mambo, naomba nishauri apige course/certification zipi kwa kuanzia hataki kwenda advance yeye pia ni mtundu wa computer. Physics na number ni mzima pia. Nashukuru
Yeye binafsi kwenye huo uwanja wa computer anapendelea career ipi?
 
Huyo ameongelea General.. ila mie programing nilikuwa mwiba na security nilikuwa fimbo.. nili balance.. but tanzania ilinivunja moyo nimeacha kabisa.. haya makitu.. nalima tu sasw hivi
Pole..,pole sana! Mimi security niliionyooshea mikono nikaachana nayo baada ya kuuliza mchakato wake mzima kwenye forum fulani ya kimarekani.
Sasa hivi nimehamia kwenye kitu kingine kabisa.Wewe kipi kilipelekea ugive up?
 
Course za IT kama una kichwa kizuri unasoma mwenyewe, hiyo cybersecurity hiyo unaweza ukaisomea home mwenyewe na PC yako, Youtube, Torrent kuna tutorial na pdf kibao.

Ila kitu chenye ajira za wazi ni Programming, hiyo cyber haifui dafu kwa programming. Piga zako Java, Python, PHP, C++ utapiga hela mpaka utazikataa .
Kaka, ujumbe wako nimeupenda sana, Mungu akubariki!! Umrnitia moyo mno mimi software developer, ntakufwata inbox!! [emoji4]
 
Pole..,pole sana! Mimi security niliionyooshea mikono nikaachana nayo baada ya kuuliza mchakato wake mzima kwenye forum fulani ya kimarekani.
Sasa hivi nimehamia kwenye kitu kingine kabisa.Wewe kipi kilipelekea ugive up?
Uswahili uswahi wa bongo mkuu.. kuna sehemu nilikuwà nafanya kazi, alafu kiswahi kinakuwa kingi.. kilicho uma zaidi nilikuta report zangu zinatumika alafu hawanipi hata mia
 
Mkuu huo ndiyo ukweli, Tz hatuna ubunifu. Tumejaa ukiritimba. Natamani Dkt Magufuli angekuwa ndiye waziri wa Elimu nadhani angekuwa ameliona hili. Unakuta nchi kama nchi haijui idadi ya wasomi wake wanaorejea toka nje za nchi na haijui wamerejea na utalaamu gani ili utumike pahala gani kwa manufaa ya nchi. Nchi imejaa majungu majungu tu. Balozi zetu ndiyo sehemu ya kupigia per diem, hawafahamu kabisa umuhimu wa diaspora, ikitokea umeenda ubalozi wanakuona wewe ni mkimbizi. In short Dkt Magufuli hajapata viongozi mathubuti wenye maono wa kuongoza wizara ya Elimu. Huyo mdau unayemsema si yeye tu, kuna mtu nasikia alisomea mambo ya acturial nje za nchi alivyorejea alikula msoto mpaka akaamua kurudi huko alikotoka.
Na yote hayo ni kwasababu ya udhaifu wa serikali ya ccm.

Wao wanajua kugawiana vyeo tu hata kwa watu wasio na skills zozote wanaacha watu wenye skills wakiuza mandazi na USB kama alivyosema Pancho boy.

Hatuwezi kutegemea Magufuli afanye kila kitu mfumo wa utawala ni mbovu wa kubebana bebana na yote haya ni kwa sababu ya ccm.
 
Nina watu wamesoma code wenyewe,hasikudanganu mtu chuo,walimu walio wengi code wanaziogopa,ukitaka kuwa nondo ingia Youtube alafu soma mwenyewe.

Code interview zake hawahitaji sana cherish,wao wanataka udisplay pale vitu vionaekane,haina longo longo hata kidogo alafu practical zake hazihitaji vitu vingi ni computer yako na software.
Mtaalam nitumie reference nianze kusoma mwenyewe online. Mda mwingine unajikuta huna kazi usiku alafu mb zimejaa kwenye sim zinapotea kwa kusoma ujingaujinga tu.
 
Back
Top Bottom