Baadhi ya madereva pikipiki (bodaboda) ni wezi, chukua tahadhari

Hawa wezi walikomeshwa barabara

Ova
 

Attachments

  • VID-20220216-WA0017.mp4
    1.7 MB
  • VID-20220216-WA0005.mp4
    6.8 MB
Maskini yaani unaumwa uzuzu na upunguani daah🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwisha habari yako,umebaki kujichekesha chekesha hovyo tu na kujifanya Kasuku kurudia maneno ya mganga wako,naona pumzi imekata mapema sana.
 
Huyo alikuwa ameenda kutaftiwa malaya ndio wakamlipua kwa style hiyo. Chezea Dar ww[emoji1787]
 
Kama ndohivo huyo jamaa yako n punguani poyoyo kwa staili hiyo yakuibiwa kizembe dereva toyo anatakiwaa afate order yako wew uliye kodi
 
Uongo huooo
 
unaibiwaje kifara hivyo.......kweli malaya wa bar unataka ukatongozewe....wacha wakupige tuuu...
 
Pole shosti usilie vumilia dozi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwisha habari yako,umebaki kujichekesha chekesha hovyo tu na kujifanya Kasuku kurudia maneno ya mganga wako,naona pumzi imekata mapema sana.
 
Mimi mtu.yeyote ambae sina ukaribu nae sana.. akiomba simu apige simpi.
 
Duu pole sana huenda ungekabwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…