Baadhi ya majina ya Kisukuma na maana zake

Baadhi ya majina ya Kisukuma na maana zake

Wabheja Kotoghwa Wagh'wise!

Umenikumbusha msukuma mmoja hivi, ni mchokozi mchokozi na huwa tunataniana sana. Tunaweza kuwa tunaongea tuu kawaida halafu ghafla anaanza kuningelesha kisukuma tena kie cha ndani huku ananitazama usoni. Sasa mie hata sielewi namwambia wee vipii, maruhani yashapanda? anazidi niongelesha kisukuma tuu basi mie nacheka hadi mbavu zinauma ....

Nimemkumbuka tuu, leo ameniambia kuwa mie ndo kichocheo chake cha yeye kuwa mchokozi, jana aliniambia mie navuta bangi hehehehee nilifanya kituko flani hivi.... anyways, nimemkumbuka tuu vituko vyake baada ya kusoma maneno yako ya kisukuma.

Igholoo.
 
Giki alina tuja gashi
Olemana mamihayo ga kuwawela banho geke "obise tole batemi ba se yeneye" gate mamihayo ga wiza.

Kongono nolo wale wayomba mamihayo ga nzaha doho, galeko mang'ing'wana gakwiganika ote nzaha.

Ehaha nolo o ntemi wise wayomba "nampandeka mamilemo matale gete o Kiranga, kongono ale na masala gete ng'ingwana mwenuyu, alemana masala matale gete", galeho mamnho gakohaya o Kiranga wapandeka mamilemo genayo kongono Nsukuma.

Tutizo eta mamihayo ga kupandeleja maganiko sagala.
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Leo nimeamua niwaletee majina ya kisukuma na maana zake

Naomba tuwe pamoja

MAYALA. Njaa huitwa wa kiume
NYANZALA. njaa huitwa wa kike
BUTOGWA. UPENDO /MAPENDO
MABULA. mvua huitwa wa kiume
KABULA. huitwa wa kike
NAKUTOGWILE. nakupenda
GWAJIMA. kuzima
BASHITE. mbishi/mtata
SHILEKI. KUACHWA
MAYILA. njia
WAPE. MWEUPE
NSHEKU. Soft handsome/beuty
WALWA. POMBE.
MAGUFURI. makufur.
MBITIYAZA. fisi mwekundu
MBITIYAPI. FISI MWEUS
WABHEJA. ASANTE
NAHENE. HAKUNA SHIDA
NGASA.......
MASANJA.....
NGUSA........
MAKOYE. MATATIZO/SHIDA
WAWIZA. MZURI
GETE GETE. SANA SANA TISHA ILE MBAYA KINOMA NOMA
MISOJI. MICHUZI
LUNANI NA MAKONDA.....
NSAJI. MWEHU/CHIZI
WELELO. DUNIA.
UKUJIWE. UTUKUZWE
WA IMWENE . WA KIPEKEE
YAYA. HAPANA
YAYA GETE . HAPANA KABISA

mengine muongeze naingia darasan mida mida mazee

LONDON BOY/BOY FROM LONDON
@mbitiyaza maana yake nini?
 
Umenikumbusha msukuma mmoja hivi, ni mchokozi mchokozi na huwa tunataniana sana. Tunaweza kuwa tunaongea tuu kawaida halafu ghafla anaanza kuningelesha kisukuma tena kie cha ndani huku ananitazama usoni. Sasa mie hata sielewi namwambia wee vipii, maruhani yashapanda? anazidi niongelesha kisukuma tuu basi mie nacheka hadi mbavu zinauma ....

Nimemkumbuka tuu, leo ameniambia kuwa mie ndo kichocheo chake cha yeye kuwa mchokozi, jana aliniambia mie navuta bangi hehehehee nilifanya kituko flani hivi.... anyways, nimemkumbuka tuu vituko vyake baada ya kusoma maneno yako ya kisukuma.

Igholoo.
Kuna ndugu zetu Wasukuma walikuwa wanakuja nyumbani Dar.

Yani kuna wengine hawamini kwamba kuna mtu hajui Kisukuma.

Wanakuongelesha mfululizo mpaka unakijua tu.

Tojage eng'hwani lolo ango. Olemana nalehaya kolola e Nyanza ya ngh'wani kwenuku.

Hapo mtu hajawahi kuona bahari anakulalamikia umpeleke beach, mpaka utaelewa tu.
 
Umenikumbusha msukuma mmoja hivi, ni mchokozi mchokozi na huwa tunataniana sana. Tunaweza kuwa tunaongea tuu kawaida halafu ghafla anaanza kuningelesha kisukuma tena kie cha ndani huku ananitazama usoni. Sasa mie hata sielewi namwambia wee vipii, maruhani yashapanda? anazidi niongelesha kisukuma tuu basi mie nacheka hadi mbavu zinauma ....

Nimemkumbuka tuu, leo ameniambia kuwa mie ndo kichocheo chake cha yeye kuwa mchokozi, jana aliniambia mie navuta bangi hehehehee nilifanya kituko flani hivi.... anyways, nimemkumbuka tuu vituko vyake baada ya kusoma maneno yako ya kisukuma.

Igholoo.

Hahahaaaa! Just hahahahaaaa!

Shout out kwa huyo Msukuma...
 
Olemana mamihayo ga kuwawela banho geke "obise tole batemi ba se yeneye" gate mamihayo ga wiza.

Kongono nolo wale wayomba mamihayo ga nzaha doho, galeko mang'ing'wana gakwiganika ote nzaha.

Ehaha nolo o ntemi wise wayomba "nampandeka mamilemo matale gete o Kiranga, kongono ale na masala gete ng'ingwana mwenuyu, alemana masala matale gete", galeho mamnho gakohaya o Kiranga wapandeka mamilemo genayo kongono Nsukuma.

Tutizo eta mamihayo ga kupandeleja maganiko sagala.
Dah wewe ni msukuma original kabisa
 
Back
Top Bottom