Mnaweza kuwa mmetoa raisi lakini kama bahati tu, kwa sababu kwenye wajinga wengi huwa akosekani mwenye akiliNa rais wenu sasa ametokea wapi? Saa zote makofi mnampongeza
Usipende kalia vitu vya ncha kaliKitu ambacho watu wengi hawakijui ni kuwa, Wazanzibar tunaona Zanzibar yetu kama Keki au dhahabu fulani hivi ya thamani kubwa huku tukiiona Tanganyika kama shamba fulani la bibi ambalo hata ngerede wanaingia kuvuna.
Bahati mbaya sana watanganyika mnaona Tanganyika yenu kama Choo fulani hivi cha stendi ambapo nyinyi watanganyika ni wasafiri tu unaoingia kujisaidia na kusepa!
Watanganyika acheni kulalamika na kujipendekeza ovyo, nanyi kuweni na wivu na nchi yenu, hakuna mzanzibar anawataka watanganyika kwenda Zanzibar ili kufaidika na chochote.
😅😅😅😅mkuu ucpanic, kubali ukweli achana na habari ya huyo waziri.Mashoga tanganyila ndo kwa muna mpaka maofisi na makakampuni kwa mujib wa Mwakiyembe
Sio lazima ila wazanzibar ndiyo wanao ung'ang'ania
... Duh! Hii sasa kali! It seems kitanda hakizai kharam msemo maarufu huko ulilenga kuhalalisha huu uozo na wamefanikiwa.Sio waribakwa ipo hivi mzanzibari hasa mpemba yupo teyar amtoe mkewe akafanye mapenzi na mwarabu ili tu wapate chotara kwenye nyumba hata kama sio damu yake.
Ni watu wanaowaabudu sana waarabu
Ujinga is real..
Dawa ya mtu mjinga ni kumtawala kwa mkono wa chuma tuu maana hana akili
Kama hujui hiyo Zanzibar ni kolon la Tanganyika maamuz yote yanatoka Tanganyika
Tanganyika ndiyo inayoamua nan awe rais huko
Wajinga nyie
Wavivu wakufikiria hao Yani hawataki kujiletea maendeleo wasubirie kuletewa watakufa maskini.
Rich in everythingnyinyi ni matajiri?
Weka idadi ya ZERO kwanza halafu ndio ujitete.Bara inaidadi ya watu zaidi ya milion 6 0 hata zilo zikiwa milion moja bado haiwezi kuizidi Zanzibar weka takwimu zako na Mimi niweke zangu
Lengo halitatimia, itakuwa kama umeokota wa hapo Tanga au Tabora au Dodoma, Tabora, Lindi, Morogoro, Arusha,Mwanza, Manyara, Kilimanjaro, Kagera,Mtwara na Pwani.Za pemba kuzing'oa stori mingi Unguja chap tu
Bara ndio nchi gani? Zanzibar inatawaliwa na Tanzania , bara ni nchi ya kusadikikaZanzibar ni koloni la bara na mtatawaliwa miaka 💯
Basi acheni kulialiaBara ndio nchi gani? Zanzibar inatawaliwa na Tanzania , bara ni nchi ya kusadikika
Pemba ndiyo makao Yao makuuMashoga tanganyila ndo kwa muna mpaka maofisi na makakampuni kwa mujib wa Mwakiyembe
Walibakwa na wavamizi kutoka Tanganyika na wanaendelea kubakwa kila baada miaka 5... bibi zao walibakwa wakazaliwa waarabu koko halafu wanajisifia ujinga.