HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,417
- 6,149
Shuubaaaaamit inamaanisha nini kiongozi?[emoji14] [emoji14] [emoji14]Sio 'habali', sema habari. Darasa la saba tu umefeli lakini unataka ligi na Hon. Tundu Antipas Lissu Mughwai LLB, LLM. Shuubaaaaaaamit!
Hahah ila watu jaman sasa elimu ya magufuli inaliuhusu nini taifa au lissu,...nadhani hali mbaya kwa lissu ingekua kama hela za makinikia tumelipwa[emoji2] [emoji2] sio elimu yake si alisomeshwa na wazazi wake
hahaha. PHD INATUPELEKA ZIBAMBWEEEEEEEEEEEEEEEHii peke inatosha huoni tunavyoendelea kwa kasi?