Baadhi ya marais wenye elimu kubwa Afrika, Rais Magufuli ashika namba tano

Baadhi ya marais wenye elimu kubwa Afrika, Rais Magufuli ashika namba tano

Kwani kamanda wetu mbowe elimu yake vp naona analinganishwa lisu na magu
 
Mtoa mada hajatoa source na vigezo pia.
Sidhani kama Mzee Mugabe ametendewa haki. Kwangu mimi, he is an intelligent Hon. President.

The Great Gatsby
 
Mtoa mada hajatoa source na vigezo pia.
Sidhani kama Mzee Mugabe ametendewa haki.Kwangu mimi,he is an intelligent Hon.President.

The Great Gatsby
Source yake ni Lumumba!!

Umesahau kipindi fulani wakaja na propaganda kwamba magufuli awani tuzo za forbes hahahaa wapumbafu sana hawa!!
 
Mnaanza uchokozi ili tuhoji kuhusu nanihii ili tupotezwe kwa nguvu kama nanihii...sitaki mie
 
Acheni masihara nyie, Magu ana elimu gani kubwa?
Ni ile Phd ya maganda ya korosho aliyodaiwa kuinunua pale UDSM?
 
Rich Pol,
Wapambanishwe na viungo vingine kama tumbo, miguu, miundi, vidole, vigego,
*******na wewe ongezea******
 
Back
Top Bottom