Baadhi ya ndugu wauza nyumba ya familia Kariakoo iliyokuwa na waqfu. Mapanga yatembea nje nje

Baadhi ya ndugu wauza nyumba ya familia Kariakoo iliyokuwa na waqfu. Mapanga yatembea nje nje

Mimi kwetu mtoto wa kwanza, na hiyo mijumba ya urithi ipo kuanzia Oysterbay, Mbezi Beach (several), Mbwamaji, mpaka mikoani.

Mashamba na viwanja ndiyo nahitaji spreadsheet la excel kuyalist.

Lakini, nimetafuta mwenyewe nyumba zangu Marekani na kuongeza.

Na nimewaambia nyumbani kwenye mambo ya urithi sitaki mali, nikipewa michoro ya kiinjinia aliyochora mzee wangu, na vitabu vyake fulani muhimu alivyovipenda, nitafurahi tu.

Nina matatizo ya kifalsafa na mali za urithi.
wewe wakishua ndo' maana hutaki makelele.
 
Kwani mzazi alisema isiuzwe? Kwa nini wasitumie mahakama kupata ufafanuzi wa kisheria? Hii tabia ya baadhi ya wanandugu kuuza Mali halafu wanageukiana ili kumtapeli aliyenunua lazima wanasheria waliangalie vizuri.

Mke na mume wanakubaliana kukopa hela kwa dhamana ya nyumba yao, hela zikiisha mume anamtuma mke mahakamani kudai eti nyumba imeuzwa bila ridhaa ya familia, lengo kuwaibia wakopeshaji, hata wanandugu wa kariakoo ndio mchezo wao
Huyo mkinga naye kanunua nyumba kiboya, nyumba ya urithi kama walivyosema wadau haiuzwi kienyeji hivyo bila kupata hati ya ridhaa ya watoto wote ambayo imesainiwa kisheria (wakili au mahakama).
 
Nimeona video inatrend ya ugomvi mkubwa wa nyumba ya urithi Kariakoo mtaa wa Manyema.

Nyumba hiyo ya ghorofa 5 ilijengwa na mzee anaeitwa Mohammed Alidina ambae alifariki miaka kazaa iliyopita.

Mzee huyo wakati akiwa hai alitoa sehemu ya nyumba hiyo. Floor ya juu itumike kama madrassa na kufanya taratibu za kukabidhi kwa msikiti ambazo waislamu wanaziita waqfu. Ghorofa zilizobaki aliendelea kuzitumia kuishi na zingine kupangisha appartments na fremu kwa wafanyabiashara Kariakoo.

Baada ya huyo mzee kufariki aliacha watoto 11, ambao watoto wao waligawana hizo appartments na fremu na kuendelea na maisha.

Mbeleni watoto wachache wa kiume wa marehemu mzee huyo wakapendekeza wazo la kutaka nyumba hiyo iuzwe kila mtu akajenge kwake. watoto wengine wakapinga kwamba hawataki nyumba iuzwe maana baba yao enzi za uhai alisema nyumba isiuzwe na akatoa sehemu ya nyumba iwe madrassa inayomilikiwa na waislamu wote. sasa watauzaje nyumba yenye wakfu ambayo ni mali ya waislamu wote.

Watoto wenye wazo la kuuza wakaona hapa kuuza ngumu. wakaamua kwenda kumshirikisha imamu wa msikiti ambao ulipewa wakfu sehemu ya nyumba hiyo. maana msikiti ulikuwa na documents za wakfu walizopewa na marehemu baba yao.

Kimya kimya wakashirikiana na imamu wa msikiti uliopewa hizo documents. wakatafuta mteja Mkinga mmoja wakamuuzia nyumba bila watoto wengine kujua.

Mbeleni mkinga huyo ambae ni mnunuzi aliyonunua hiyo nyumba akaenda kuchukua mali yake. Ndipo watoto wengine wakagundua nyumba imeuzwa. Ndipo ugomvi mkubwa ukaibuka na mapanga juu.



View attachment 2928225
Mudi wa saigon na Faiza wanatafuta angle ya kuingiza mfumo Kristo na Nyerere wanawadhulumu waislam nyumba za wazee wao Kariakoo.
 
Ni kweli ila huyu binti yeye analinda wosia wa baba yake
Kuna zaidi ya kulinda wosia wa baba. Jaribu kupanua masikio na ikibidi usikilize kwa macho. Kwanza anadai yeye ndiye aliyekuwa anamsaidia baba yake kujenga na pia aliacha gharofa nne tu lakini yeye akaendeleza. Hii inaonyesha kuna mgongano kwenye kunufaika na kodi na nyumba kwa ujumla. Hili suala la wakfu analitumia tu na sidhani kama fedha za mauzo zingekuwa zinaenda kwake zote wakfu ingekuwa kikwazo.
 
Haviendani kivipi ? Umetazama video zilizokuwa attached ?

Pia moderator wa jf wana tabia ya kuedit vichwa vya habari
Huenda wameedit maana kichwa kinasema Imamu adaiwa kuuza nyumba ya Familia..

Wakati Contents Ya habari ni kuwa Imani alifatwa na kushawishiwa kukubali Washirikiane kuuza pamoja na watoto..

KIchwa kingekuwa Baadhi ya wanafamilia kwa kushirikiana na Imamu wauza nyumba ya familia..

Kwanini kwa sababu Inaleta hoja fikirishi kudhaniwa kuwa Imamu ndo aliamua mwenywe kuuza..Nyumba hiyo bila wanafamilia kujua
 
Kuna tajiri mmoja anaitwa kanji
Ni marehemu yeye ndy anamiliki ghorofa lile la faykat tower na pale aliwavua sana watu alivyokuwa hai alikuwaga ananiambaaga anataka pale awe na sehemu yKe tu mtaa mzima
Sema ukifanya naye biashara jamaa lazima atakuoa hela na nyumba atakutafutia sehemu nyingine,sijawahi ona tajiri mweny roho kama jamaa

Ova
Nlishaenda nyumbani kwa kijana wke oysterbay beach house kununua gari...nlimfuata hapo victoria ofisini kwake
 
Nimeona video inatrend ya ugomvi mkubwa wa nyumba ya urithi Kariakoo mtaa wa Manyema.

Nyumba hiyo ya ghorofa 5 ilijengwa na mzee anaeitwa Mohammed Alidina ambae alifariki miaka kazaa iliyopita.

Mzee huyo wakati akiwa hai alitoa sehemu ya nyumba hiyo. Floor ya juu itumike kama madrassa na kufanya taratibu za kukabidhi kwa msikiti ambazo waislamu wanaziita waqfu. Ghorofa zilizobaki aliendelea kuzitumia kuishi na zingine kupangisha appartments na fremu kwa wafanyabiashara Kariakoo.

Baada ya huyo mzee kufariki aliacha watoto 11, ambao watoto wao waligawana hizo appartments na fremu na kuendelea na maisha.

Mbeleni watoto wachache wa kiume wa marehemu mzee huyo wakapendekeza wazo la kutaka nyumba hiyo iuzwe kila mtu akajenge kwake. watoto wengine wakapinga kwamba hawataki nyumba iuzwe maana baba yao enzi za uhai alisema nyumba isiuzwe na akatoa sehemu ya nyumba iwe madrassa inayomilikiwa na waislamu wote. sasa watauzaje nyumba yenye wakfu ambayo ni mali ya waislamu wote.

Watoto wenye wazo la kuuza wakaona hapa kuuza ngumu. wakaamua kwenda kumshirikisha imamu wa msikiti ambao ulipewa wakfu sehemu ya nyumba hiyo. maana msikiti ulikuwa na documents za wakfu walizopewa na marehemu baba yao.

Kimya kimya wakashirikiana na imamu wa msikiti uliopewa hizo documents. wakatafuta mteja Mkinga mmoja wakamuuzia nyumba bila watoto wengine kujua.

Mbeleni mkinga huyo ambae ni mnunuzi aliyonunua hiyo nyumba akaenda kuchukua mali yake. Ndipo watoto wengine wakagundua nyumba imeuzwa. Ndipo ugomvi mkubwa ukaibuka na mapanga juu.



View attachment 2928225
Kuna BAUNSA mmoja hapo amekula UBAPA WA PANGA hadi akakimbia 😂😂
 
So Kasema kamalizia floor 4 yeye
Kwa kod anazowapiga wenzie, kwenye frem za electronics na wauza saa. Huyo dd ana masharti Kinoma kwenye nyumba yake
1. Nyumba una ghorofa 5 huko juu kuna store wa awake hawaruhusiw kupanda bila kujifunika kuchwa
2. Ni mkubwa ila ukimsalimiia shkamooo mnakosana
3. Ukifunga frem usije siku hiyo bila kumwambia ni kosa
4. Sio ruhusa kufunga mapema
5. Huruhusiw kwenda kwenye frem ya mwenzako muongee
Yani masharti ni mengi
 
Back
Top Bottom