mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Sahv magunia tuna importkinatengeneza mafuta ya Tanbond na Supa Ghee
- Kiwanda cha nyembe Perma Sharp
- Kiwanda cha magunia - Tanzania Bag Corporation (hivi vilikuwa viwili kwa pamoja MILL I na MILL II)
- Viwanda vya Sukari TPC na Kilombero
- Kwanda cha mafuta - MAPROCO Morogoro na kingine cha Mwanza/Shinyanga nimekisahau jinakilichokuwa
- Kiwanda cha baiskel - Swala
Na viwanda kufa kumewafanya
Wafanyabiashara fulani kuwa mabilionea
Ova