Baadhi ya Viwanda vya kimkakati alivyoanzisha Mwl. Julius Kambarage Nyerere ambavyo ni magodauni na magofu

Baadhi ya Viwanda vya kimkakati alivyoanzisha Mwl. Julius Kambarage Nyerere ambavyo ni magodauni na magofu

Kuna sehemu naweza kukubaliana na wewe na sehemu nyingi si kweli, kwa sababu kuna baadhi vilinunuliwa vikaendelea kwa muda na waliouiziwa leo hii ni mabilionea. Vingine walionunua walifungua ile mitambo wakasafirisha nchi jirani mitambo ikaendelea kufanya kazi wakazalisha wakatuletea bidhaa kwa bei ya juu au ya chini kidogo kutokana na kuzalisha kwa wingi. Hii inamaanisha nini? Kwanini na yeye akajimilikisha Mgodi wa Makaa ya mawe? Inaonyesha wazi kulikuwa na ubadhirifu wa hali ya juu.
Nimesema vingine vilikuwa na matatizo ya uongozi (Management), Vingine Technolojia na vingine yote mawili.

Ndo maana vipo ambavyo waliovinunua waliviendeleza kwa faida.

Vingine waling'oa vyuma chakavu wakabaki na magodown.

Hii ya kupeleka mitambo na mashine nje sina reference yoyote..hivyo siwezi kubiasha au kukataa. Lakini all in all watakuwa wameangalia mazingira ya biashara..maana at the end mwekezani anataka faida
 
Kabla haujambebesha lawama Mh. Mkapa ni vyema ukaangalia sababu ambazo zilimfanya Mkapa kufikia hatua hiyo.

Iko hivi. Viwanda vingi havikuwa vinajiendesha kwa faida. Serikali ilikuwa ina vipa ruzuku ili viendelee kuwepo. Kuna sababu mbalimbali ambazo zilisababisha haya.
1. Management Mbovu. Wabongo tunajijua. Pamoja na kwamba Nyerere alijitahidi kusomesha watu na kuwapa nafasi..wengi walimuangusha.

2. Technolojia iliyopitwa na wakati. Baadhi ya viwanda alikuwa anapewa msaada...vilikuwa vimeshapitwa na wakati. Kumbe wale jamaa walikuwa wanatafuta sehemu ya kuvitupa. Wao wana move kwenye tech mpya ile ya zamani ndo wanawa wapa au kuwauzia. Hivyo ilikuwa gharama kubwa kuviendesha na havikuwa na ubora kama vya ulaya. Hivyo kufanya kutokuwa na ushindani katika soko. Maana una produce low quality at high cost.

So kipindi cha Mwinyi vingi ya hivyo viwanda vilifungwa. Hali ilikuwa mbaya sana. Watu walikaa nyumbani huku wakiendelea kulipwa mishahara.

Mkapa alipokea nchi ikiwa namna hiyo. Yaani una watu wako nyumbani wanalipwa mishahara. Una viwanda ambavyo havifanyi kazi na technolojia yake imepitwa na wakati.

Je utafanya nini.?

Mkapa aliamua kuvibinafsisha. Kwa sababu ni dhahiri serikali haiwezi kuendesha miradi ya kibiashara. Angali tu kwa mfano Mabasi ya Mwendo kasi, Angalia Tanesco etc..zote zinaendeshwa kwa ruzuku.

Sasa kwa nini uchukue gela ya walipa kodi uvipe viwanda visivyoingiza faida.?

Hivyo Mkapa akaamua kuvibinafsisisha. Ili private investors waendeshe na watoe ajira. Akawapunguza wafanyakazi kwa kuwalipa haki zao ili wasiendelee kula mishahara bila kazi.

Kuna tuhuma kwamba Mkapa aliuza viwanda kwa bei rahisi bei ya kutupa. Ukweli ni kwamba ingawa vilikuwa vinaitwa viwanda...havikuwa viwanda kiuhalisia. Mitambo yake mingi ilikuwa ya kizamani na haifanyi kazi. Hivyo Mkapa aliuza vyuma chakavu na majengo.

Baadhi ya walionunua walifanya vizuri..Viwanda kama TBL vinafanya vizuri hadi sasa. Ila baadhi ya walio nunua walivigeuza ma godown na wao ukiwauliza kwa nini hawakuviendeleza wana sababu zao.
Hivi ni tanzania tu ndo kulikua na viwanda vya zamani?.Au ni tanzania tu ndo serikali ilikua inamiliki viwanda?.Mambo yote hayo uliyoyataja yalisababishwa na uongozi mbovu wenye ubinafsi na kutokujali maslahi ya nchi.Tungekua na viongozi makini hivyo viwanda vingekuwepo hadi leo.
 
Hivi ni baadhi tu ya Viwanda vya kimkakati alivyoanzisha Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere bahati Mbaya vingi ni magodauni na magofu vijana inawezekana mmesahau

1. TANGANYIKA PACKERS - usindikaji,upakiaji na usambazaji wa nyama ya ng'ombe. Kiwanda hiki kilikuwa Kawe na kingine mkoani Shinganya.
2. URAFIKI,Nguo 3.MWATEX, Nguo
4. KILTEX,Nguo
5. MUTEX, Nguo
6. POLYTEX- Nguo, vitenge
7. MOROGORO CANVAS - MAGUNIA, MATURUBAI
8. MOROGORO SHOES- VIATU
9. MOROGORO TANNERIES- NGOZI.
10. MWANZA TANNERIES- NGOZI.
11. BORA SHOES- UTENGENEZAJI WA VIATU.
12. KIBO MATCH FACTORY- Viberiti.
13. NATIONAL, MATSUSHITA, PHILLIPS- Utengenezaji wa batteries, radio na radio cassete.
14. PAMBA ENGINEERING- Uchongaji wa vipuri vya mashine za uchambuaji pamba.
15. SIDO - Shirika la kuhudumia viwanda vidogo
16. Kiwanda cha kubangua Korosho Mtwara
17.Viwanda vya kusindika na kubangua , Kahawa, Alizeti, Pareto, Karanga na Miwa. Morogogo/Kilimanjaro/Singida
18. Kiwanda cha vipuri vya mashine cha Mang'ula
19. Kiwanda cha vipuri za mashine cha Kilimanjaro
20. Kiwanda cha malori (kuunda mabasi na malori) cha Scania.
21. Kiwanda cha magari cha Nyumbu cha jeshi Kibaha.
22. TANALEC- kiwanda cha kutengeneza vifaa mbalimbali vya umeme.
23. Kiwanda cha karatasi cha Mgororo Mufindi mkoani Iringa.
24. Kiwanda cha kusindika na kusambaza maziwa cha UTEGI mkoani Mara.
25. Kiwanda cha usindikaji wa nafaka cha National Milling Corporation cha Dar-es-Salaam.
26. Tanga Steel Rolling Mill- vyuma, saruji na mabati.
27. Viwanda vya saruji vya Tembo Cement, Twiga Cement, Simba Cement pamoja na vile vya ALAF na GALCO.
28. Kiwanda cha zana za kilimo - UFI
29. Kiwanda cha madawa ya binadamu cha KPC - Keko Pharmaceutical Company.
30. Viwanda vya Bia vya Dar, Ndovu na Pilsner Arusha
31. Kiwanda cha Mvinyo Dodoma
32. Kiwanda cha matairi cha General Tyre kilichopo Arusha
33. Kiwanda cha katani cha Amboni mkoani Tanga.
34. TIPER - kiwanda cha kusafisha mafuta machafu, kusambaza mafuta ya dizeli, petrol na mafuta ya taa.j
Namba 20.kiwanda kilikuwa kinaitwa TAMCO...
 
Hivi ni baadhi tu ya Viwanda vya kimkakati alivyoanzisha Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere bahati Mbaya vingi ni magodauni na magofu vijana inawezekana mmesahau

1. TANGANYIKA PACKERS - usindikaji,upakiaji na usambazaji wa nyama ya ng'ombe. Kiwanda hiki kilikuwa Kawe na kingine mkoani Shinganya.
2. URAFIKI,Nguo 3.MWATEX, Nguo
4. KILTEX,Nguo
5. MUTEX, Nguo
6. POLYTEX- Nguo, vitenge
7. MOROGORO CANVAS - MAGUNIA, MATURUBAI
8. MOROGORO SHOES- VIATU
9. MOROGORO TANNERIES- NGOZI.
10. MWANZA TANNERIES- NGOZI.
11. BORA SHOES- UTENGENEZAJI WA VIATU.
12. KIBO MATCH FACTORY- Viberiti.
13. NATIONAL, MATSUSHITA, PHILLIPS- Utengenezaji wa batteries, radio na radio cassete.
14. PAMBA ENGINEERING- Uchongaji wa vipuri vya mashine za uchambuaji pamba.
15. SIDO - Shirika la kuhudumia viwanda vidogo
16. Kiwanda cha kubangua Korosho Mtwara
17.Viwanda vya kusindika na kubangua , Kahawa, Alizeti, Pareto, Karanga na Miwa. Morogogo/Kilimanjaro/Singida
18. Kiwanda cha vipuri vya mashine cha Mang'ula
19. Kiwanda cha vipuri za mashine cha Kilimanjaro
20. Kiwanda cha malori (kuunda mabasi na malori) cha Scania.
21. Kiwanda cha magari cha Nyumbu cha jeshi Kibaha.
22. TANALEC- kiwanda cha kutengeneza vifaa mbalimbali vya umeme.
23. Kiwanda cha karatasi cha Mgororo Mufindi mkoani Iringa.
24. Kiwanda cha kusindika na kusambaza maziwa cha UTEGI mkoani Mara.
25. Kiwanda cha usindikaji wa nafaka cha National Milling Corporation cha Dar-es-Salaam.
26. Tanga Steel Rolling Mill- vyuma, saruji na mabati.
27. Viwanda vya saruji vya Tembo Cement, Twiga Cement, Simba Cement pamoja na vile vya ALAF na GALCO.
28. Kiwanda cha zana za kilimo - UFI
29. Kiwanda cha madawa ya binadamu cha KPC - Keko Pharmaceutical Company.
30. Viwanda vya Bia vya Dar, Ndovu na Pilsner Arusha
31. Kiwanda cha Mvinyo Dodoma
32. Kiwanda cha matairi cha General Tyre kilichopo Arusha
33. Kiwanda cha katani cha Amboni mkoani Tanga.
34. TIPER - kiwanda cha kusafisha mafuta machafu, kusambaza mafuta ya dizeli, petrol na mafuta ya taa.j
afu kuna jamaa akatu fix kwamba ati anaitengeneza Tanzania ya viwanda wakati kumbe viwanda vilikuwepo tena vingi tu miaka ya 70 na 80 ila uzembe wetu wenyewe.

Akaishia kutupatia viwanda wa vyerehani mbili mbili za darizi - afu katoka nduki.
 
Hivi ni baadhi tu ya Viwanda vya kimkakati alivyoanzisha Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere bahati Mbaya vingi ni magodauni na magofu vijana inawezekana mmesahau

1. TANGANYIKA PACKERS - usindikaji,upakiaji na usambazaji wa nyama ya ng'ombe. Kiwanda hiki kilikuwa Kawe na kingine mkoani Shinganya.
2. URAFIKI,Nguo 3.MWATEX, Nguo
4. KILTEX,Nguo
5. MUTEX, Nguo
6. POLYTEX- Nguo, vitenge
7. MOROGORO CANVAS - MAGUNIA, MATURUBAI
8. MOROGORO SHOES- VIATU
9. MOROGORO TANNERIES- NGOZI.
10. MWANZA TANNERIES- NGOZI.
11. BORA SHOES- UTENGENEZAJI WA VIATU.
12. KIBO MATCH FACTORY- Viberiti.
13. NATIONAL, MATSUSHITA, PHILLIPS- Utengenezaji wa batteries, radio na radio cassete.
14. PAMBA ENGINEERING- Uchongaji wa vipuri vya mashine za uchambuaji pamba.
15. SIDO - Shirika la kuhudumia viwanda vidogo
16. Kiwanda cha kubangua Korosho Mtwara
17.Viwanda vya kusindika na kubangua , Kahawa, Alizeti, Pareto, Karanga na Miwa. Morogogo/Kilimanjaro/Singida
18. Kiwanda cha vipuri vya mashine cha Mang'ula
19. Kiwanda cha vipuri za mashine cha Kilimanjaro
20. Kiwanda cha malori (kuunda mabasi na malori) cha Scania.
21. Kiwanda cha magari cha Nyumbu cha jeshi Kibaha.
22. TANALEC- kiwanda cha kutengeneza vifaa mbalimbali vya umeme.
23. Kiwanda cha karatasi cha Mgororo Mufindi mkoani Iringa.
24. Kiwanda cha kusindika na kusambaza maziwa cha UTEGI mkoani Mara.
25. Kiwanda cha usindikaji wa nafaka cha National Milling Corporation cha Dar-es-Salaam.
26. Tanga Steel Rolling Mill- vyuma, saruji na mabati.
27. Viwanda vya saruji vya Tembo Cement, Twiga Cement, Simba Cement pamoja na vile vya ALAF na GALCO.
28. Kiwanda cha zana za kilimo - UFI
29. Kiwanda cha madawa ya binadamu cha KPC - Keko Pharmaceutical Company.
30. Viwanda vya Bia vya Dar, Ndovu na Pilsner Arusha
31. Kiwanda cha Mvinyo Dodoma
32. Kiwanda cha matairi cha General Tyre kilichopo Arusha
33. Kiwanda cha katani cha Amboni mkoani Tanga.
34. TIPER - kiwanda cha kusafisha mafuta machafu, kusambaza mafuta ya dizeli, petrol na mafuta ya taa.j
Hivi kiwanda kama TIPER, au cha Unga kinawezaje kufa? Kinawezaje kufilisika? Kwa kweli haiingio akilini?
 
Hivi ni baadhi tu ya Viwanda vya kimkakati alivyoanzisha Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere bahati Mbaya vingi ni magodauni na magofu vijana inawezekana mmesahau

1. TANGANYIKA PACKERS - usindikaji,upakiaji na usambazaji wa nyama ya ng'ombe. Kiwanda hiki kilikuwa Kawe na kingine mkoani Shinganya.
2. URAFIKI,Nguo 3.MWATEX, Nguo
4. KILTEX,Nguo
5. MUTEX, Nguo
6. POLYTEX- Nguo, vitenge
7. MOROGORO CANVAS - MAGUNIA, MATURUBAI
8. MOROGORO SHOES- VIATU
9. MOROGORO TANNERIES- NGOZI.
10. MWANZA TANNERIES- NGOZI.
11. BORA SHOES- UTENGENEZAJI WA VIATU.
12. KIBO MATCH FACTORY- Viberiti.
13. NATIONAL, MATSUSHITA, PHILLIPS- Utengenezaji wa batteries, radio na radio cassete.
14. PAMBA ENGINEERING- Uchongaji wa vipuri vya mashine za uchambuaji pamba.
15. SIDO - Shirika la kuhudumia viwanda vidogo
16. Kiwanda cha kubangua Korosho Mtwara
17.Viwanda vya kusindika na kubangua , Kahawa, Alizeti, Pareto, Karanga na Miwa. Morogogo/Kilimanjaro/Singida
18. Kiwanda cha vipuri vya mashine cha Mang'ula
19. Kiwanda cha vipuri za mashine cha Kilimanjaro
20. Kiwanda cha malori (kuunda mabasi na malori) cha Scania.
21. Kiwanda cha magari cha Nyumbu cha jeshi Kibaha.
22. TANALEC- kiwanda cha kutengeneza vifaa mbalimbali vya umeme.
23. Kiwanda cha karatasi cha Mgororo Mufindi mkoani Iringa.
24. Kiwanda cha kusindika na kusambaza maziwa cha UTEGI mkoani Mara.
25. Kiwanda cha usindikaji wa nafaka cha National Milling Corporation cha Dar-es-Salaam.
26. Tanga Steel Rolling Mill- vyuma, saruji na mabati.
27. Viwanda vya saruji vya Tembo Cement, Twiga Cement, Simba Cement pamoja na vile vya ALAF na GALCO.
28. Kiwanda cha zana za kilimo - UFI
29. Kiwanda cha madawa ya binadamu cha KPC - Keko Pharmaceutical Company.
30. Viwanda vya Bia vya Dar, Ndovu na Pilsner Arusha
31. Kiwanda cha Mvinyo Dodoma
32. Kiwanda cha matairi cha General Tyre kilichopo Arusha
33. Kiwanda cha katani cha Amboni mkoani Tanga.
34. TIPER - kiwanda cha kusafisha mafuta machafu, kusambaza mafuta ya dizeli, petrol na mafuta ya taa.j
Hatuvihitaji kwani kuendesha viwanda ni aghari sana kuliko kuwaacha wamachinga wafanye biashara barabarani ili kuinua uchumi wetu.
 
Kabla haujambebesha lawama Mh. Mkapa ni vyema ukaangalia sababu ambazo zilimfanya Mkapa kufikia hatua hiyo.

Iko hivi. Viwanda vingi havikuwa vinajiendesha kwa faida. Serikali ilikuwa ina vipa ruzuku ili viendelee kuwepo. Kuna sababu mbalimbali ambazo zilisababisha haya.
1. Management Mbovu. Wabongo tunajijua. Pamoja na kwamba Nyerere alijitahidi kusomesha watu na kuwapa nafasi..wengi walimuangusha.

2. Technolojia iliyopitwa na wakati. Baadhi ya viwanda alikuwa anapewa msaada...vilikuwa vimeshapitwa na wakati. Kumbe wale jamaa walikuwa wanatafuta sehemu ya kuvitupa. Wao wana move kwenye tech mpya ile ya zamani ndo wanawa wapa au kuwauzia. Hivyo ilikuwa gharama kubwa kuviendesha na havikuwa na ubora kama vya ulaya. Hivyo kufanya kutokuwa na ushindani katika soko. Maana una produce low quality at high cost.

So kipindi cha Mwinyi vingi ya hivyo viwanda vilifungwa. Hali ilikuwa mbaya sana. Watu walikaa nyumbani huku wakiendelea kulipwa mishahara.

Mkapa alipokea nchi ikiwa namna hiyo. Yaani una watu wako nyumbani wanalipwa mishahara. Una viwanda ambavyo havifanyi kazi na technolojia yake imepitwa na wakati.

Je utafanya nini.?

Mkapa aliamua kuvibinafsisha. Kwa sababu ni dhahiri serikali haiwezi kuendesha miradi ya kibiashara. Angali tu kwa mfano Mabasi ya Mwendo kasi, Angalia Tanesco etc..zote zinaendeshwa kwa ruzuku.

Sasa kwa nini uchukue gela ya walipa kodi uvipe viwanda visivyoingiza faida.?

Hivyo Mkapa akaamua kuvibinafsisisha. Ili private investors waendeshe na watoe ajira. Akawapunguza wafanyakazi kwa kuwalipa haki zao ili wasiendelee kula mishahara bila kazi.

Kuna tuhuma kwamba Mkapa aliuza viwanda kwa bei rahisi bei ya kutupa. Ukweli ni kwamba ingawa vilikuwa vinaitwa viwanda...havikuwa viwanda kiuhalisia. Mitambo yake mingi ilikuwa ya kizamani na haifanyi kazi. Hivyo Mkapa aliuza vyuma chakavu na majengo.

Baadhi ya walionunua walifanya vizuri..Viwanda kama TBL vinafanya vizuri hadi sasa. Ila baadhi ya walio nunua walivigeuza ma godown na wao ukiwauliza kwa nini hawakuviendeleza wana sababu zao.
Umeeleza vizuri sana mkuu, wabongo tunapenda sana kulalama bila kujua sababu.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Usiwalaumu siajabu Kuna wengine hawajui hayo wamemezeshwa mazuri tu

..mnamsingizia Nkapa kuwa aliua viwanda.

..Waziri Mkuu Sokoine aliwahi kutembelea mikoa ya kusini akakuta wananchi wanavaa kaniiki.

.Sasa kama viwanda vya nguo vya Nyerere vilikuwa vinazalisha kwanini wananchi walilazimika kuvaa kaniki?

..Hapo kuna maana moja tu kwamba viwanda vilikuwa vimekufa au vimedorora tangu wakati wa Mwalimu.

..Pia maeneo ya mijini kila wakati kulikuwa na kurupushani za mgambo na JKT kukamata wazururaji na kuwapeleka wakalimu. Hali hiyo ilisababishwa na tatizo la ukosefu wa ajira. Kama viwanda vingekuwa vinazalisha na kutoa ajira tusingekuwa na tatizo la wazururaji enzi za Mwalimu Nyerere.

..Mwalimu alikuwa na nia njema kabisa kuanzisha viwanda. Lakini wakati wa utekelezaji wa nia hiyo tulikosea na kushindwa kukabiliana na changamoto za kukuza viwanda tulivyoanzisha.

..Kuna umuhimu wa kuambiana ukweli kuhusu viwanda vyetu vinginevyo hatutajifunza kutokana na makosa yetu.
 
Sasa hapo ni kwamba Baraza zima la Mawaziri kipindi hicho lazima liwe responsible
Kwa Katiba yetu si kweli,Baraza la mawaziri huwa wanapewa kujadili mipango Kama formality tu,rais na deep state yake wanakua washafanya maamuzi
 
Hivi ni baadhi tu ya Viwanda vya kimkakati alivyoanzisha Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere bahati Mbaya vingi ni magodauni na magofu vijana inawezekana mmesahau

1. TANGANYIKA PACKERS - usindikaji,upakiaji na usambazaji wa nyama ya ng'ombe. Kiwanda hiki kilikuwa Kawe na kingine mkoani Shinganya.
2. URAFIKI,Nguo 3.MWATEX, Nguo
4. KILTEX,Nguo
5. MUTEX, Nguo
6. POLYTEX- Nguo, vitenge
7. MOROGORO CANVAS - MAGUNIA, MATURUBAI
8. MOROGORO SHOES- VIATU
9. MOROGORO TANNERIES- NGOZI.
10. MWANZA TANNERIES- NGOZI.
11. BORA SHOES- UTENGENEZAJI WA VIATU.
12. KIBO MATCH FACTORY- Viberiti.
13. NATIONAL, MATSUSHITA, PHILLIPS- Utengenezaji wa batteries, radio na radio cassete.
14. PAMBA ENGINEERING- Uchongaji wa vipuri vya mashine za uchambuaji pamba.
15. SIDO - Shirika la kuhudumia viwanda vidogo
16. Kiwanda cha kubangua Korosho Mtwara
17.Viwanda vya kusindika na kubangua , Kahawa, Alizeti, Pareto, Karanga na Miwa. Morogogo/Kilimanjaro/Singida
18. Kiwanda cha vipuri vya mashine cha Mang'ula
19. Kiwanda cha vipuri za mashine cha Kilimanjaro
20. Kiwanda cha malori (kuunda mabasi na malori) cha Scania.
21. Kiwanda cha magari cha Nyumbu cha jeshi Kibaha.
22. TANALEC- kiwanda cha kutengeneza vifaa mbalimbali vya umeme.
23. Kiwanda cha karatasi cha Mgororo Mufindi mkoani Iringa.
24. Kiwanda cha kusindika na kusambaza maziwa cha UTEGI mkoani Mara.
25. Kiwanda cha usindikaji wa nafaka cha National Milling Corporation cha Dar-es-Salaam.
26. Tanga Steel Rolling Mill- vyuma, saruji na mabati.
27. Viwanda vya saruji vya Tembo Cement, Twiga Cement, Simba Cement pamoja na vile vya ALAF na GALCO.
28. Kiwanda cha zana za kilimo - UFI
29. Kiwanda cha madawa ya binadamu cha KPC - Keko Pharmaceutical Company.
30. Viwanda vya Bia vya Dar, Ndovu na Pilsner Arusha
31. Kiwanda cha Mvinyo Dodoma
32. Kiwanda cha matairi cha General Tyre kilichopo Arusha
33. Kiwanda cha katani cha Amboni mkoani Tanga.
34. TIPER - kiwanda cha kusafisha mafuta machafu, kusambaza mafuta ya dizeli, petrol na mafuta ya taa.j
Ongeza kiwanda cha matunda TANGOLD Korogwe Tanga (NMC)
 
Ila usichokijua ni kwamba waliotusaidia kuvijenga ndio walihamasisha kuviua.
 
Kabla haujambebesha lawama Mh. Mkapa ni vyema ukaangalia sababu ambazo zilimfanya Mkapa kufikia hatua hiyo.

Iko hivi. Viwanda vingi havikuwa vinajiendesha kwa faida. Serikali ilikuwa ina vipa ruzuku ili viendelee kuwepo. Kuna sababu mbalimbali ambazo zilisababisha haya.
1. Management Mbovu. Wabongo tunajijua. Pamoja na kwamba Nyerere alijitahidi kusomesha watu na kuwapa nafasi..wengi walimuangusha.

2. Technolojia iliyopitwa na wakati. Baadhi ya viwanda alikuwa anapewa msaada...vilikuwa vimeshapitwa na wakati. Kumbe wale jamaa walikuwa wanatafuta sehemu ya kuvitupa. Wao wana move kwenye tech mpya ile ya zamani ndo wanawa wapa au kuwauzia. Hivyo ilikuwa gharama kubwa kuviendesha na havikuwa na ubora kama vya ulaya. Hivyo kufanya kutokuwa na ushindani katika soko. Maana una produce low quality at high cost.

So kipindi cha Mwinyi vingi ya hivyo viwanda vilifungwa. Hali ilikuwa mbaya sana. Watu walikaa nyumbani huku wakiendelea kulipwa mishahara.

Mkapa alipokea nchi ikiwa namna hiyo. Yaani una watu wako nyumbani wanalipwa mishahara. Una viwanda ambavyo havifanyi kazi na technolojia yake imepitwa na wakati.

Je utafanya nini.?

Mkapa aliamua kuvibinafsisha. Kwa sababu ni dhahiri serikali haiwezi kuendesha miradi ya kibiashara. Angali tu kwa mfano Mabasi ya Mwendo kasi, Angalia Tanesco etc..zote zinaendeshwa kwa ruzuku.

Sasa kwa nini uchukue gela ya walipa kodi uvipe viwanda visivyoingiza faida.?

Hivyo Mkapa akaamua kuvibinafsisisha. Ili private investors waendeshe na watoe ajira. Akawapunguza wafanyakazi kwa kuwalipa haki zao ili wasiendelee kula mishahara bila kazi.

Kuna tuhuma kwamba Mkapa aliuza viwanda kwa bei rahisi bei ya kutupa. Ukweli ni kwamba ingawa vilikuwa vinaitwa viwanda...havikuwa viwanda kiuhalisia. Mitambo yake mingi ilikuwa ya kizamani na haifanyi kazi. Hivyo Mkapa aliuza vyuma chakavu na majengo.

Baadhi ya walionunua walifanya vizuri..Viwanda kama TBL vinafanya vizuri hadi sasa. Ila baadhi ya walio nunua walivigeuza ma godown na wao ukiwauliza kwa nini hawakuviendeleza wana sababu zao.
Mkapa alikua sahihi kabisa. Serikali haiwezi kufanya biashara. Na Kama ikiamua kufanya biashara basi inabidi iwe na kiongozi katili sana kwa wanaoenda kinyume. Lakini kwa ujumla hali ya watz kutopenda kufanya kaz na ufisadi iliwaangusha sana mkapa na Nyerere sera zao zikawa zimefeli.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hivi ni baadhi tu ya Viwanda vya kimkakati alivyoanzisha Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere bahati Mbaya vingi ni magodauni na magofu vijana inawezekana mmesahau

1. TANGANYIKA PACKERS - usindikaji,upakiaji na usambazaji wa nyama ya ng'ombe. Kiwanda hiki kilikuwa Kawe na kingine mkoani Shinganya.
2. URAFIKI,Nguo 3.MWATEX, Nguo
4. KILTEX,Nguo
5. MUTEX, Nguo
6. POLYTEX- Nguo, vitenge
7. MOROGORO CANVAS - MAGUNIA, MATURUBAI
8. MOROGORO SHOES- VIATU
9. MOROGORO TANNERIES- NGOZI.
10. MWANZA TANNERIES- NGOZI.
11. BORA SHOES- UTENGENEZAJI WA VIATU.
12. KIBO MATCH FACTORY- Viberiti.
13. NATIONAL, MATSUSHITA, PHILLIPS- Utengenezaji wa batteries, radio na radio cassete.
14. PAMBA ENGINEERING- Uchongaji wa vipuri vya mashine za uchambuaji pamba.
15. SIDO - Shirika la kuhudumia viwanda vidogo
16. Kiwanda cha kubangua Korosho Mtwara
17.Viwanda vya kusindika na kubangua , Kahawa, Alizeti, Pareto, Karanga na Miwa. Morogogo/Kilimanjaro/Singida
18. Kiwanda cha vipuri vya mashine cha Mang'ula
19. Kiwanda cha vipuri za mashine cha Kilimanjaro
20. Kiwanda cha malori (kuunda mabasi na malori) cha Scania.
21. Kiwanda cha magari cha Nyumbu cha jeshi Kibaha.
22. TANALEC- kiwanda cha kutengeneza vifaa mbalimbali vya umeme.
23. Kiwanda cha karatasi cha Mgororo Mufindi mkoani Iringa.
24. Kiwanda cha kusindika na kusambaza maziwa cha UTEGI mkoani Mara.
25. Kiwanda cha usindikaji wa nafaka cha National Milling Corporation cha Dar-es-Salaam.
26. Tanga Steel Rolling Mill- vyuma, saruji na mabati.
27. Viwanda vya saruji vya Tembo Cement, Twiga Cement, Simba Cement pamoja na vile vya ALAF na GALCO.
28. Kiwanda cha zana za kilimo - UFI
29. Kiwanda cha madawa ya binadamu cha KPC - Keko Pharmaceutical Company.
30. Viwanda vya Bia vya Dar, Ndovu na Pilsner Arusha
31. Kiwanda cha Mvinyo Dodoma
32. Kiwanda cha matairi cha General Tyre kilichopo Arusha
33. Kiwanda cha katani cha Amboni mkoani Tanga.
34. TIPER - kiwanda cha kusafisha mafuta machafu, kusambaza mafuta ya dizeli, petrol na mafuta ya taa.j

umeleta historia nzuri kwa vizazi vya sasa....wazee wetu walifedheeka sana na kuuwawa kwa viwanda hizi kwa ukosefu wa uzalendo na ubinafsi wa walielimishwa na kuamniwa na taifa hili
 
Ila usichokijua ni kwamba waliotusaidia kuvijenga ndio walihamasisha kuviua.

..kwa kiasi kikubwa viwanda vilikufa kwasababu ya tabia zetu za kijamaa-jamaa ktk kuviendesha.

..Viwanda vingi havikuzingatia kanuni za kibiashara ktk uendeshaji, na menejiment zilikuwa zikiingiliwa kimaamuzi na wanasiasa.

..kwa mfano, vipo viwanda ambavyo vilikuwa javizalishi ktk full capacity, lakini kwasababu ni kiwanda cha umma basi kililazimika kuajiri kana kwamba kinafanya kazi kwa asilimia 100.

..Mtu binafsi anapokuwa na biashara yake huajiri na kupunguza wafanyakazi kulingana na uzalishaji ktk mradi wake.

..Jambo lingine ni viwanda na mashirika kuwa na shughuli nyingi za ziada zisizohusiana na biashara husika. Kila chama kilipotoa tamko fulani viwanda na mashirika yalilazimika kuitikia au kutekeleza.

..Kwa mfano, baada ya chama / Ccm kutoa tamko kuhusu michezo na utamaduni makampuni ya mashirika ya umma yalianzisha timu za mpira, netiboli, bendi za muziki, vikundi vya ngoma, etc.

..Na shughuli zote hizo zilikuwa ni mizigo kwa mashirika na makampuni ya umma.

..Lingine ni mashirika na makampuni ya umma kushindana kutoa ufadhili kwa shughuli za chama/ Ccm. Kwa mfano, mashirika yalikuwa yanashindana kugharamia mkutano mkuu wa chama/Ccm, mkutano wa Nec, etc

..Jambo lingine lililoua viwanda ni URASIMU ktk uendeshaji wake. Kwa mfano kiwanda kilipohitaji kuagiza vipuli nje ya nchi kulikuwa na mlolongo mkubwa wa kiserikali kupata vibali na fedha za kigeni kuagiza toka nje. Mtu binafsi akihitaji kipuli cha kiwanda chake hufanya maamuzi ya haraka.
 
Hivi ni baadhi tu ya Viwanda vya kimkakati alivyoanzisha Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere bahati Mbaya vingi ni magodauni na magofu vijana inawezekana mmesahau

1. TANGANYIKA PACKERS - usindikaji,upakiaji na usambazaji wa nyama ya ng'ombe. Kiwanda hiki kilikuwa Kawe na kingine mkoani Shinganya.
2. URAFIKI,Nguo 3.MWATEX, Nguo
4. KILTEX,Nguo
5. MUTEX, Nguo
6. POLYTEX- Nguo, vitenge
7. MOROGORO CANVAS - MAGUNIA, MATURUBAI
8. MOROGORO SHOES- VIATU
9. MOROGORO TANNERIES- NGOZI.
10. MWANZA TANNERIES- NGOZI.
11. BORA SHOES- UTENGENEZAJI WA VIATU.
12. KIBO MATCH FACTORY- Viberiti.
13. NATIONAL, MATSUSHITA, PHILLIPS- Utengenezaji wa batteries, radio na radio cassete.
14. PAMBA ENGINEERING- Uchongaji wa vipuri vya mashine za uchambuaji pamba.
15. SIDO - Shirika la kuhudumia viwanda vidogo
16. Kiwanda cha kubangua Korosho Mtwara
17.Viwanda vya kusindika na kubangua , Kahawa, Alizeti, Pareto, Karanga na Miwa. Morogogo/Kilimanjaro/Singida
18. Kiwanda cha vipuri vya mashine cha Mang'ula
19. Kiwanda cha vipuri za mashine cha Kilimanjaro
20. Kiwanda cha malori (kuunda mabasi na malori) cha Scania.
21. Kiwanda cha magari cha Nyumbu cha jeshi Kibaha.
22. TANALEC- kiwanda cha kutengeneza vifaa mbalimbali vya umeme.
23. Kiwanda cha karatasi cha Mgororo Mufindi mkoani Iringa.
24. Kiwanda cha kusindika na kusambaza maziwa cha UTEGI mkoani Mara.
25. Kiwanda cha usindikaji wa nafaka cha National Milling Corporation cha Dar-es-Salaam.
26. Tanga Steel Rolling Mill- vyuma, saruji na mabati.
27. Viwanda vya saruji vya Tembo Cement, Twiga Cement, Simba Cement pamoja na vile vya ALAF na GALCO.
28. Kiwanda cha zana za kilimo - UFI
29. Kiwanda cha madawa ya binadamu cha KPC - Keko Pharmaceutical Company.
30. Viwanda vya Bia vya Dar, Ndovu na Pilsner Arusha
31. Kiwanda cha Mvinyo Dodoma
32. Kiwanda cha matairi cha General Tyre kilichopo Arusha
33. Kiwanda cha katani cha Amboni mkoani Tanga.
34. TIPER - kiwanda cha kusafisha mafuta machafu, kusambaza mafuta ya dizeli, petrol na mafuta ya taa.j
Viwanda vya kusindika nafaka NATIONAL MILLINGS vilikuwepo karibu mikoa yote huku bara !!
 
Back
Top Bottom