Baadhi ya Viwanda vya kimkakati alivyoanzisha Mwl. Julius Kambarage Nyerere ambavyo ni magodauni na magofu

Sahv magunia tuna import
Na viwanda kufa kumewafanya
Wafanyabiashara fulani kuwa mabilionea

Ova
 
Dah ! Swala nimenyonga sana kipindi niko standard two natumbukiza mguu kwenye tobo long time sana na vile viti vyake vipana
 
Iko hivi. Viwanda vingi havikuwa vinajiendesha kwa faida. Serikali ilikuwa ina vipa ruzuku ili viendelee kuwepo. Kuna sababu mbalimbali ambazo zilisababisha haya.
Haswaa!
Asilimia kubwa ya hivyo viwanda vilikuwa ni hasara tupu.
Sababu nyingine ilikuwa mkuu akiharibu kwenye taasisi moja Nyerere anamuhamishia nyingine. Mwinyi akaleta Ruksa, hali ikawa mbaya zaidi.

Na Mkapa naye badala ya kurekebisha mapungufu, akagawia Mafisi
 
Mkapa kubinfsisha haikua tatizo..Ila mikataba ya kimangungu ndiyo tatizo
 
Kuna sehemu naweza kukubaliana na wewe na sehemu nyingi si kweli, kwa sababu kuna baadhi vilinunuliwa vikaendelea kwa muda na waliouiziwa leo hii ni mabilionea. Vingine walionunua walifungua ile mitambo wakasafirisha nchi jirani mitambo ikaendelea kufanya kazi wakazalisha wakatuletea bidhaa kwa bei ya juu au ya chini kidogo kutokana na kuzalisha kwa wingi. Hii inamaanisha nini? Kwanini na yeye akajimilikisha Mgodi wa Makaa ya mawe? Inaonyesha wazi kulikuwa na ubadhirifu wa hali ya juu.
 
Hili jambo la kuiuza NBC lilimuuma sana Mwalimu... Benki ilikuwa na mtaji mzuri kabisa lakini iliuzwa kwa bei ya kutupwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…