Sahv magunia tuna importkinatengeneza mafuta ya Tanbond na Supa Ghee
- Kiwanda cha nyembe Perma Sharp
- Kiwanda cha magunia - Tanzania Bag Corporation (hivi vilikuwa viwili kwa pamoja MILL I na MILL II)
- Viwanda vya Sukari TPC na Kilombero
- Kwanda cha mafuta - MAPROCO Morogoro na kingine cha Mwanza/Shinyanga nimekisahau jinakilichokuwa
- Kiwanda cha baiskel - Swala
Unafikiri kwa sahv kuna watu wanafurahia nchi kuwa na viwandaHata teknolojia zake zimeshapitwa na wakati.
Williamson petra diamond mwadui madini yanaelekea mwishoUmenikumbusha Almasi, hivi Machimbo ya Almasi Mwadui mbona sijasikia habari zake. Ipo kweli? Na katika hali gani?
[emoji1783][emoji28][emoji1783][emoji28][emoji28]Qumamake walay
Dah ! Swala nimenyonga sana kipindi niko standard two natumbukiza mguu kwenye tobo long time sana na vile viti vyake vipanakinatengeneza mafuta ya Tanbond na Supa Ghee
- Kiwanda cha nyembe Perma Sharp
- Kiwanda cha magunia - Tanzania Bag Corporation (hivi vilikuwa viwili kwa pamoja MILL I na MILL II)
- Viwanda vya Sukari TPC na Kilombero
- Kwanda cha mafuta - MAPROCO Morogoro na kingine cha Mwanza/Shinyanga nimekisahau jinakilichokuwa
- Kiwanda cha baiskel - Swala
Haswaa!Iko hivi. Viwanda vingi havikuwa vinajiendesha kwa faida. Serikali ilikuwa ina vipa ruzuku ili viendelee kuwepo. Kuna sababu mbalimbali ambazo zilisababisha haya.
Mkapa alikuwa sahihi kufanya ubinafsishaji ila tatizo ni jinsi huo mchakato ulivyofanyika.
KAURU
Vilimfia mwenyeweDuh tungekuwa mbali Sana,
Mungu amrehemu
Mkapa kubinfsisha haikua tatizo..Ila mikataba ya kimangungu ndiyo tatizoKabla haujambebesha lawama Mh. Mkapa ni vyema ukaangalia sababu ambazo zilimfanya Mkapa kufikia hatua hiyo.
Iko hivi. Viwanda vingi havikuwa vinajiendesha kwa faida. Serikali ilikuwa ina vipa ruzuku ili viendelee kuwepo. Kuna sababu mbalimbali ambazo zilisababisha haya.
1. Management Mbovu. Wabongo tunajijua. Pamoja na kwamba Nyerere alijitahidi kusomesha watu na kuwapa nafasi..wengi walimuangusha.
2. Technolojia iliyopitwa na wakati. Baadhi ya viwanda alikuwa anapewa msaada...vilikuwa vimeshapitwa na wakati. Kumbe wale jamaa walikuwa wanatafuta sehemu ya kuvitupa. Wao wana move kwenye tech mpya ile ya zamani ndo wanawa wapa au kuwauzia. Hivyo ilikuwa gharama kubwa kuviendesha na havikuwa na ubora kama vya ulaya. Hivyo kufanya kutokuwa na ushindani katika soko. Maana una produce low quality at high cost.
So kipindi cha Mwinyi vingi ya hivyo viwanda vilifungwa. Hali ilikuwa mbaya sana. Watu walikaa nyumbani huku wakiendelea kulipwa mishahara.
Mkapa alipokea nchi ikiwa namna hiyo. Yaani una watu wako nyumbani wanalipwa mishahara. Una viwanda ambavyo havifanyi kazi na technolojia yake imepitwa na wakati.
Je utafanya nini.?
Mkapa aliamua kuvibinafsisha. Kwa sababu ni dhahiri serikali haiwezi kuendesha miradi ya kibiashara. Angali tu kwa mfano Mabasi ya Mwendo kasi, Angalia Tanesco etc..zote zinaendeshwa kwa ruzuku.
Sasa kwa nini uchukue gela ya walipa kodi uvipe viwanda visivyoingiza faida.?
Hivyo Mkapa akaamua kuvibinafsisisha. Ili private investors waendeshe na watoe ajira. Akawapunguza wafanyakazi kwa kuwalipa haki zao ili wasiendelee kula mishahara bila kazi.
Kuna tuhuma kwamba Mkapa aliuza viwanda kwa bei rahisi bei ya kutupa. Ukweli ni kwamba ingawa vilikuwa vinaitwa viwanda...havikuwa viwanda kiuhalisia. Mitambo yake mingi ilikuwa ya kizamani na haifanyi kazi. Hivyo Mkapa aliuza vyuma chakavu na majengo.
Baadhi ya walionunua walifanya vizuri..Viwanda kama TBL vinafanya vizuri hadi sasa. Ila baadhi ya walio nunua walivigeuza ma godown na wao ukiwauliza kwa nini hawakuviendeleza wana sababu zao.
Sasa hapo ni kwamba Baraza zima la Mawaziri kipindi hicho lazima liwe responsibleMkapa kubinfsisha haikua tatizo..Ila mikataba ya kimangungu ndiyo tatizo
Na hao mabilionea ndiyo donors wakubwa haswa kipindi cha uchaguzi!Sahv magunia tuna import
Na viwanda kufa kumewafanya
Wafanyabiashara fulani kuwa mabilionea
Ova
Kuna sehemu naweza kukubaliana na wewe na sehemu nyingi si kweli, kwa sababu kuna baadhi vilinunuliwa vikaendelea kwa muda na waliouiziwa leo hii ni mabilionea. Vingine walionunua walifungua ile mitambo wakasafirisha nchi jirani mitambo ikaendelea kufanya kazi wakazalisha wakatuletea bidhaa kwa bei ya juu au ya chini kidogo kutokana na kuzalisha kwa wingi. Hii inamaanisha nini? Kwanini na yeye akajimilikisha Mgodi wa Makaa ya mawe? Inaonyesha wazi kulikuwa na ubadhirifu wa hali ya juu.Kabla haujambebesha lawama Mh. Mkapa ni vyema ukaangalia sababu ambazo zilimfanya Mkapa kufikia hatua hiyo.
Iko hivi. Viwanda vingi havikuwa vinajiendesha kwa faida. Serikali ilikuwa ina vipa ruzuku ili viendelee kuwepo. Kuna sababu mbalimbali ambazo zilisababisha haya.
1. Management Mbovu. Wabongo tunajijua. Pamoja na kwamba Nyerere alijitahidi kusomesha watu na kuwapa nafasi..wengi walimuangusha.
2. Technolojia iliyopitwa na wakati. Baadhi ya viwanda alikuwa anapewa msaada...vilikuwa vimeshapitwa na wakati. Kumbe wale jamaa walikuwa wanatafuta sehemu ya kuvitupa. Wao wana move kwenye tech mpya ile ya zamani ndo wanawa wapa au kuwauzia. Hivyo ilikuwa gharama kubwa kuviendesha na havikuwa na ubora kama vya ulaya. Hivyo kufanya kutokuwa na ushindani katika soko. Maana una produce low quality at high cost.
So kipindi cha Mwinyi vingi ya hivyo viwanda vilifungwa. Hali ilikuwa mbaya sana. Watu walikaa nyumbani huku wakiendelea kulipwa mishahara.
Mkapa alipokea nchi ikiwa namna hiyo. Yaani una watu wako nyumbani wanalipwa mishahara. Una viwanda ambavyo havifanyi kazi na technolojia yake imepitwa na wakati.
Je utafanya nini.?
Mkapa aliamua kuvibinafsisha. Kwa sababu ni dhahiri serikali haiwezi kuendesha miradi ya kibiashara. Angali tu kwa mfano Mabasi ya Mwendo kasi, Angalia Tanesco etc..zote zinaendeshwa kwa ruzuku.
Sasa kwa nini uchukue gela ya walipa kodi uvipe viwanda visivyoingiza faida.?
Hivyo Mkapa akaamua kuvibinafsisisha. Ili private investors waendeshe na watoe ajira. Akawapunguza wafanyakazi kwa kuwalipa haki zao ili wasiendelee kula mishahara bila kazi.
Kuna tuhuma kwamba Mkapa aliuza viwanda kwa bei rahisi bei ya kutupa. Ukweli ni kwamba ingawa vilikuwa vinaitwa viwanda...havikuwa viwanda kiuhalisia. Mitambo yake mingi ilikuwa ya kizamani na haifanyi kazi. Hivyo Mkapa aliuza vyuma chakavu na majengo.
Baadhi ya walionunua walifanya vizuri..Viwanda kama TBL vinafanya vizuri hadi sasa. Ila baadhi ya walio nunua walivigeuza ma godown na wao ukiwauliza kwa nini hawakuviendeleza wana sababu zao.
Hili jambo la kuiuza NBC lilimuuma sana Mwalimu... Benki ilikuwa na mtaji mzuri kabisa lakini iliuzwa kwa bei ya kutupwa...Mkuu Mkapa ndie alieuza NBC ikiwa ndio benki kubwa ya biashara.
Aliuza bank na majengo yake nchi nzima kwa bei ya kutupa,
Fedha kidogo iliyopatikana ndio iliyoanzisha NMB
Baba wa taifa alipinga sana lakini hakuwa na sauti tena, Mkapa allimweka mwenyewe, kibaya zaidi akawauzia makaburu ambao aliwapiga vita muda mrefu
Imagine hadi Leo vingekuwepo na tungeongezea vingine. Tungekuwa na uchumi imara Sana. Wachina hapo kwenye viwanda ndio walifanya mapinduzi, Leo hii hakuna anayewafikiaHii tulifeli mazima
Ova