Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #81
Hapana wewe tunakujua mzee wetu.Hapana ndugu!
Mimi ni mlipa kodi tu asiekwepa yaani inakatwa moja kwamoja kabla hata sijapokea faida!!
Mkuu Sheria za Kijeshi haziitaji katiba Hebu niambie umewahi kusikia Bungeni kuhusu Sheria za manunuzi ya kijeshi ikipigiwa kura..
Kwamba wananunua Vifaru vingapi na ndge ngapi za kivita...
Sheria Zingine ni confidential ukitka kuzijua Kula doso ingia madesa zama Kj operation yyte utaona..
Wenzako waliwahi kuhoji hivyo akina zito kuhusu bajeti ya jeshi wakapelekwa JKT tu, Walirudi wakaunga hoja mkono...
Kuna wakati tuache siri ziwe siri tusilazimishe siri ziwe wazi
Na aliwatandika sawa sawaSiri?! Ndio maana Abdulrahman Shimbo aliwapiga pesa ndefu kwenye manunuzi ya hivyo vifaa na hakuna kitu mlimfanya!
Huu sasa ni utoto.. kwamba hela walitoa mfukoni mwao sasa?Siri?! Ndio maana Abdulrahman Shimbo aliwapiga pesa ndefu kwenye manunuzi ya hivyo vifaa na hakuna kitu mlimfanya!
Heheh Shamba la bwana heriNa aliwatandika sawa sawa
Ova
Unadhani uasi hizo nchi nyingine ulifyatuka from nowhere kama kimondo?Kama Jeshi la Tanzania lisingekuwa na nidhamu,Uasi unaouona katika nchi zenye vita ungeuona katika JWTZ.
Mambo hayapo kama tunavyo yaona mkuuBinafsi tangu niliposikia ile Kauli ya Jeshi kutaka kuingia Mitaani kusaka 'Sare zao' kwa Raia nilipoteza Matumaini sana.
Mkuu mpya wa Jeshi ajifunze kwa waliomtangulia kuona waliweza vipi kuboresha mahusiano mazuri baina ya Jeshi na Raia..
Kwanza unapolitaja Hilo Jina Unatakiwa kutetemeka Kwanza Hata kama kastaafu..Siri?! Ndio maana Abdulrahman Shimbo aliwapiga pesa ndefu kwenye manunuzi ya hivyo vifaa na hakuna kitu mlimfanya!
Kwani magereza ni Jeshi 🤣🤣 ni kitengo ndani ya Idara ya Polisi (kiddin)Jeshi la Magereza ndo jeshi pekee lenye nidhamu
Wenyewe wanafanya kazi zao huko Magereza
Wakiwa uraiani tunaishi nao vizuri tu uraiani
Sent using Jamii Forums mobile app
.Nje ya mada Majeshi ya bongo yanajitahidi kwenye ulozi basi
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Bora umenisaidiaHuu sasa ni utoto.. kwamba hela walitoa mfukoni mwao sasa?
Heheh Shamba la bwana heri
Sahihi kabisa, tatizo bado tuna katiba ya utawala wa chama kimoja.My point
Angalia namna wanajeshi wanavyojazwa kwenye siasa during na baada ya kustaafu kwao. Unakuta mjeshi mkuu wa wilaya au mkoa. Ikumbukwe kwamba RC na DC wanatambulika kama wajumbe wa kamati ya siasa ya Wikaya au mkoa waliokuwepo. Na vyeo hivyo ni political appointment na siyo uograding levels za utumishi.
Wakistaafu wanaingia kwenye nafasi za kisiasa as if ni makada wazoefu wa chama tawala. Kimsingi Mwanasjeshi na askari hawapaswi kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa.
Wamekuwa wakitoa ulinzi na sapoti kubwa kwa wagombea wa CCM during chaguzi kinyume na utaratibu. Anakuja mgombea wa CCM kituoni anaruhushiwa kuingia na kuongea hata na wasimamizi. Lakini akija chama mbadala haruhhsiwi labda kwa lengo la kupiga kura pekee.
Tunahitaji kuheshimu Katiba na sheria za nchi lakini wenzetu ndo wamejigeuza sheria na wanataka kuheshimiwa
Bajeti za wizara ya ulinzi humeza yote hayo.Mkuu Sheria za Kijeshi haziitaji katiba Hebu niambie umewahi kusikia Bungeni kuhusu Sheria za manunuzi ya kijeshi ikipigiwa kura..
Kwamba wananunua Vifaru
Kama Jeshi la Tanzania lisingekuwa na nidhamu,Uasi unaouona katika nchi zenye vita ungeuona katika Sio waasi wanazikomboa nchi zao na kuwaamsha wa Africa na wanapendwa na kila Muafrika
Ndio hayo yanawagarimu,juzi kati Lt calonel kachezea pisipisi kaaga duniaMojawapo ya kazi ya jeshi ni kujivisha sura ya kuogopeka mbele ya raia wake katika mazingira fulani
Ndyo na huwa haijadiliwi uliwahi kuskia inajadiliwaBajeti za wizara ya ulinzi humeza yote hayo.
-Bajeti ya Jeshi inapitishwa na Bunge na hata CAG anakagua vizur tu na anachapishaMkuu Sheria za Kijeshi haziitaji katiba Hebu niambie umewahi kusikia Bungeni kuhusu Sheria za manunuzi ya kijeshi ikipigiwa kura..
Kwamba wananunua Vifaru vingapi na ndge ngapi za kivita...
Sheria Zingine ni confidential ukitka kuzijua Kula doso ingia madesa zama Kj operation yyte utaona..
Wenzako waliwahi kuhoji hivyo akina zito kuhusu bajeti ya jeshi wakapelekwa JKT tu, Walirudi wakaunga hoja mkono...
Kuna wakati tuache siri ziwe siri tusilazimishe siri ziwe wazi
Bajeti ya Jeshi inasomwa na Waziri wa Ulinzi na Inajadiliwa na Bunge na inapitishwa na Bunge kama Bajeti za Wizara nyingineNdyo na huwa haijadiliwi uliwahi kuskia inajadiliwa
Ndo nilichosema Mkuu unajua maana Ya Confidential au basi nitumie neno Clasfied profiled Doccuments ...-Bajeti ya Jeshi inapitishwa na Bunge na hata CAG anakagua vizur tu na anachapisha
-hadi manunuzi ya Jeshi yanakaguliwa na PPRA na wanatoa Ripoti
- Sehemu ambayo hata CAG akikagua haichapishwi kwenye Ripoti ni IKULU na TISS tu.
Kimachojadiliwa ni Pesa na sio Bajeti and plan au unataka nikutumia Hansard ya Bunge ya mwaka wowote...Bajeti ya Jeshi inasomwa na Waziri wa Ulinzi na Inajadiliwa na Bunge na inapitishwa na Bunge kama Bajeti za Wizara nyingine