Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
Ninaweza kumjua mwalimu wako tafadhali? Nimenusa harufu ya kamba hapa[emoji1].
hahahahaa,
ni wa kiume, mweusi flani hivi mzuri, kapanda hewani....πŸ˜‚πŸ˜‚

nimekosa mimi, nimekosa sana..
 
Baby Aaliyyah u are hurting my moyo🀨- si uwakwepe Kama rafiki yangu huyuπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚View attachment 2647803
Mimi sijala Hela ya mtu from no where labda mwanaume wangu nae Kwa ratiba zinazoeleweka lakini watu yanwakuta hiv mtu ana wazazi. Huko kijijin akupe Hela yake wew Bure usietaka kufanya kazi huko uyole utegemee nn haipo hiyo Dunia hii
 
Mzee ...mwanaume mwenzio anajaribu kutupapasa, ona sasa amepasuliwa🀣
 
Duuuuh JF kumekuchaaaa, sio kwa makomboraa yanayorushwaa leo hapaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikae na [emoji897] kabisaa. Uwiiiiih
Let's Sit hiaa pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 🀭,!
Aaliyyah kuna nafasi hapaaaa😊
 

Attachments

  • Screenshot_20221003-150930~4.jpg
    19.2 KB · Views: 1
Mimi sijala Hela ya mtu from no where labda mwanaume wangu nae Kwa ratiba zinazoeleweka lakini watu yanwakuta hiv mtu ana wazazi. Huko kijijin akupe Hela yake wew Bure usietaka kufanya kazi huko uyole utegemee nn haipo hiyo Dunia hii
Na mi nashangaa, kwanini uanze kutoa toa hela Kama benki ya mikopoπŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
ndege mjanja ukanasa kwenye tundu bovu,
Pole mwaya hiyo ni ajali kazini..
 
πŸ˜πŸ˜πŸ˜…Si unajua tena sisi udhaifu wetu huo lakn baada ya jina kutoka la kiume daah nkaamka fasta kutka usngzini yaan bora nitapeliwe na demu haitoniuma sana ila dume daah inaniumaga sana
fundi bishoo tatizo hapo inaonesha wewe mtoaji sana mpaka ulifikia hatua ya kuanza kuaamisha miamala ahahahahahahah
 
Aisee mambo ni mengi muda mchache
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…