Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Wewe ni mwanasheria?Nani alienda kuonana nae akakuta ni papai liloiva?
What if ni Ke ambaye yuko zake Kimboka huko, kazi ni kuamka na kuwasaula zipu wazi?
Kama hivyo, nikazoom nilivyotosheka nikachukua zangu geisha πππWeeeh!! Ikawaje?
Grade1Mwanasheria wako amemaliza chuo?π
Ila Aaliyyah alisema atanipa soonπππKwakweli kichaa akee mambo yenyewe ndio hayaaa bora kukomaa na upwiru wakooo!!!π€
Hata mm naona atakuwa Yuko vyemaπGrade1
Hapana mkuu π€£Wewe ni mwanasheria?
Una madini fulani, kisheria sawa. Ila kiJF utapeli nao nongwa.
π«£π«£ video call ili nigundue niniNational Anthem anabisha anasema ni ke. Vipi ulifanikiwa kupiga video call?
Mimi hapana. Sijawahi Mkuu.Hapana mkuu π€£
We umetapeliwa?
Naona walalamikaji walikuwa kima penzi zaidi!! Ni tofauti na wale wa kaleta tangazo la kazi,, mdau kamtapeli. Hao ndio wakuonewa huruma
Ila hawa wa zipu wazi
Wapambane na visanga vyao.
π π π ila mshamba sana, ana vizinga ambavyo vina walakini ... na kweli hii ni ajale kama ajali zingineππππ
ndege mjanja ukanasa kwenye tundu bovu,
Pole mwaya hiyo ni ajali kazini..
π π π π π πAiseee Bora Niko singleππ, Antonnia
Haupaswi π€£π€£Mimi hapana. Sijawahi Mkuu.
Ko ukitapeliwa kwa sababu ya penzi hupaswi kuonewa huruma?
Aah siwez kupigwa kirahisi hivyo kwanza hachukui hata sekunde mwanaume akijidai dem namshtukia chapUmepigwa na weweπ
π€£π€£π€£π€£ππ! ! Ulipoamkia tangu jana ankol akeeππππππ!!Mbona kama kuna watu unawasema hapa.....