Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
Wewe ni mwanasheria?

Una madini fulani, kisheria sawa. Ila kiJF utapeli nao nongwa.
Hapana mkuu 🤣

We umetapeliwa?

Naona walalamikaji walikuwa kima penzi zaidi!! Ni tofauti na wale wa kaleta tangazo la kazi,, mdau kamtapeli. Hao ndio wakuonewa huruma

Ila hawa wa zipu wazi
Wapambane na visanga vyao.
 
Hapana mkuu 🤣

We umetapeliwa?

Naona walalamikaji walikuwa kima penzi zaidi!! Ni tofauti na wale wa kaleta tangazo la kazi,, mdau kamtapeli. Hao ndio wakuonewa huruma

Ila hawa wa zipu wazi
Wapambane na visanga vyao.
Mimi hapana. Sijawahi Mkuu.

Ko ukitapeliwa kwa sababu ya penzi hupaswi kuonewa huruma?
 
Nitakupa nn😀
Hata ukikataa, nakung'ang'ania Kama huyo mdada Aaliyyah
FB_IMG_16860196830983857.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom