Akemee Kwa sauti ya kooni ausio π!Pepo pepo pepo.... Lishatoka puuuuuh kemea πππ€π€π€π€
Na bado kuna zipu wazi wataliwa, pamoja na haya yoteSubiri kwa sasa yupo busy PM anahangaikia muamala. Atakurejea.
Inakera sana aiseeeee...."""*****π€π€πππππππππBora uende kiume, ueleze changamoto zako kuliko kujigeuza ke
Sana tu shem darling...Jack Palladino sitaki kuamini kama hujapitiwa shemeji
Na wee antiel mkorofii eeeeh πππAkemee Kwa sauti ya kooni ausio π!
JF ina watumiaji laki 6. Wanaume ni takriban laki 4.Na bado kuna zipu wazi wataliwa, pamoja na haya yote
Nakuja pm kula ubuyu πSana tu shem darling...
Karibu upate screenshots zoteπNakuja pm kula ubuyu π
Nyie si mkishanusa ka harufu ka free P.. mnaelewaga basi?? Hata kukopa utakopaJF ina watumiaji laki 6. Wanaume ni takriban laki 4.
Wanaochangia hapa hawafiki hata 30,000.
So, ana nafasi ya kuwapuna takriban watu laki tatu na ushee.
Nikajiuliza imekuwaje nipendeke kirahisi hivi bila hata kuonekana, tena kwa kufatwa mpaka chumbani ndichi kabisa..?Yan shem darlin kumbe ulitakwa kuwekwa site kimya kimya [emoji23]
Shemeji vingine uwe unasema,, tuokoe hata muda wa kujibu pm 1
Shemeji fungua Pm π€£Karibu upate screenshots zoteπ
Hiohio unayoijua ya kutokea kooniii ..... !! Ashendweeeee kwajena la yesooooooooooo π£οΈπ£οΈ!!Na wee antiel mkorofii eeeeh πππ
Sauti ya kooni ndo ipi.. unataka kunichokoza πππππππ
Unakua una ungiruma π€πππππππππππ kwa kweliHiohio unayoijua ya kutokea kooniii ..... !! Ashendeee kwajena la yesooooooooooo π£οΈπ£οΈ!!
Ukitoka hapo koo lote linaumaa!
Sema mtoto ana maneno aiseeeNikajiuliza imekuwaje nipendeke kirahisi hivi bila hata kuonekana, tena kwa kufatwa mpaka chumbani ndichi kabisa..?
[emoji23][emoji23]
Nimefungua tayariπShemeji fungua Pm π€£
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe yeye anajileta kwenu? Mie nikajua nyie mna mfata kupitia nyuzi zake za kujisifiaaa woiiiiiiiii.[emoji1][emoji1]
Ukiwa mjanja kwenye hii tasnia, kitu cha kwanza cha kushtua ni kuona mwanamke eti amekufata yeye mwenyewe PM bila kuwa na mazoea nae.
We uliona wapi mwanamke na pride yake akaja kujitongozesha kwa mwanaume ambae hamjui? Ni rahisi mwanaume kufanya hivyo ila sio mwanamke.
Ukiingia mkenge kwa Id ya kike humu maana yake huko nje huna options, kitu ambacho si kweli.
Siku yakikukuta usisahau kutoa taarifamakichwa panzi yamejaa hata humu jf.... π akishaona avatar yenye matacle basi kapagawa