Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
Na bado kuna zipu wazi wataliwa, pamoja na haya yote
JF ina watumiaji laki 6. Wanaume ni takriban laki 4.

Wanaochangia hapa hawafiki hata 30,000.

So, ana nafasi ya kuwapuna takriban watu laki tatu na ushee.
 
Hiohio unayoijua ya kutokea kooniii ..... !! Ashendeee kwajena la yesooooooooooo 🗣️🗣️!!
Ukitoka hapo koo lote linaumaa!
Unakua una ungiruma 🤓😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kwa kweli
 
Nikajiuliza imekuwaje nipendeke kirahisi hivi bila hata kuonekana, tena kwa kufatwa mpaka chumbani ndichi kabisa..?

[emoji23][emoji23]
Sema mtoto ana maneno aiseee
Kuna mtongozo wake mmoja niliuona, alooo mtt alijipanga 🤣🤭

Hiyo inatokea PP 🫣
Unajikuta unafall kwa mwandiko tu.
 
[emoji1][emoji1]

Ukiwa mjanja kwenye hii tasnia, kitu cha kwanza cha kushtua ni kuona mwanamke eti amekufata yeye mwenyewe PM bila kuwa na mazoea nae.

We uliona wapi mwanamke na pride yake akaja kujitongozesha kwa mwanaume ambae hamjui? Ni rahisi mwanaume kufanya hivyo ila sio mwanamke.

Ukiingia mkenge kwa Id ya kike humu maana yake huko nje huna options, kitu ambacho si kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe yeye anajileta kwenu? Mie nikajua nyie mna mfata kupitia nyuzi zake za kujisifiaaa woiiiiiiiii.

Hapo ndo anakwamaa sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom