baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yaani ni mshikaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii.Kumekuchaaa Na makuchaa yakeeeeeeee!!
Wengine Mkiangalia avatar tu mnawehukagaa kweli... ndio mkomeeee nasemajeeeeee mkomeee [emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788]!Samahani mkuu, umewezaje kujua jinsia zao?
Unakuja kama dume au jike?Ngoja nije nikutapeli.
Jf kichaka kinene dearr ni kukaa kwa password ![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah mtajijuuu mnaohangaika na PM, mie sio shida zanguJf kichaka kinene dearr kukaa kwa password !
๐ค ila kijana na wewe sio tu Mwanaume ni Mwanaume Kamili.Na hii ndo picha aliye nitumia
๐๐โบ๏ธโบ๏ธโบ๏ธ! kiranga komaa mimiii ๐๐๐๐kwanza nakaribia kusutwaaaa๐๐๐!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah mtajijuuu mnaohangaika na PM, mie sio shida zangu
Tuma na yakutolea๐๐๐Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa.
Leo naomba niseme hivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yaani ni mshikaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale. Thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike. Kwanza unanzaje kama shida ni pesa si uombe members tutakupiga tafu kuliko hiviii๐ค๐ค
Kushakuchaaa kitrambooo ๐๐!Tayari huku ๐๐๐๐ค๐ค๐ค
Shusha vitruuu shusha vitruuuu ... naweka kambi rasmi hapaa ๐๐๐๐โบ๏ธPia kuna wengine ni wa kike pia ila wanajifanya wa kiume. Majina yapo hapa ๐ค๐ค๐๐๐๐
Huyo ni figo76 anakufata pm then anajibebisha halafu papo kwa papo anaomba hela aunge bando ety sijiksiii kuchati uku nataka kichati wasup.Sasa mimi nikasema leta namba nikaicheki Mpesa jina Felix victor nikaja kucheki wasup aina ya profile na vibiashara ameorodhesha pale kwenye whatsappbusiness ni nadra sana kukuta mwanamke anafanya hizo biashara badae akatuma mapicha amedownload insta kwenye account moja hv ya mdada.
Hahahaahahaha๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pia kuna wengine ni wa kike pia ila wanajifanya wa kiume. Majina yapo hapa [emoji851][emoji851][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengine Mkiangalia avatar tu mnawehukagaa kweli... ndio mkomeeee nasemajeeeeee mkomeee [emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788]!
Hahahaaa....Rudisha ile ya manywele basi, ilikuwa inanikosha haswa โบ๏ธ