mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
nimefkiria nimeona uko sahihi.... sasa ukiwa-report watashughulikiwa kweli??Ni kosa kujadili hadharani mambo yenu binafsi mliojadiliana PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimefkiria nimeona uko sahihi.... sasa ukiwa-report watashughulikiwa kweli??Ni kosa kujadili hadharani mambo yenu binafsi mliojadiliana PM
Hukutakiwa kumtaja... Wewe ungesema tu tabia flani sio nzuri sasa huko mbele watu wanaanza kumtaja wamejuaje kama hujawaambia PM sisi ni wanaume tuwe na kaba inabidi muwe mnajadili tu bila kumrelease mtu au kuonyesha ishara yoyote Ile itakayofanya member wamjue.Ukiangalia uzi wangu hakuna ushahidi wa sazi nlio uweka hapa ...pili lengo nikuzuia tabia kama hizi za kitapeli zisiendelee hakuna cha siri hapa .... na watu wenye tabia kama hizi wache mara moja
Wew mmbea😀😀Kwani mwamba kiungo mwenyewe yukwaapii 🤭🤭!! Hahahaaa...
Haunikamati kirahisi hivyo, not today PP.![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
'ma men, ma men, ma meeen'...
tasnia gaaaaani...
Tumia akili wewe mwalimu acha shoboKwahiyo watu wasivumbue uovu? Au ndio wewe mhusika?
Nani alienda kuonana nae akakuta ni papai liloiva?Wa huyo papai mwenye kujifanya ke
Tena alinipigia zile videocall pendwa, unazifahamu? Umenianza😀😀😀😁National Anthem anabisha anasema ni ke. Vipi ulifanikiwa kupiga video call?
Komenti ziwe fupifupiii!!!😂Wew mmbea😀😀
Ndoivo hata hivyo ilibidi atumie lugha isiyoonyesha ishara yoyote Ile ya kuvumbua I'd ya mtu mpaka watu waanze kuguess huenda ni flaniAngeongea kimafumbo ausio!!
😂😂Komenti ziwe fupifupiii!!!😂
Ndio sana tu inabidi ulipot Kwa moderator sio humu hadharaninimefkiria nimeona uko sahihi.... sasa ukiwa-report watashughulikiwa kweli??
Soma comments kwa umakiniNani alienda kuonana nae akakuta ni papai liloiva?
What if ni Ke ambaye yuko zake Kimboka huko, kazi ni kuamka na kuwasaula zipu wazi?
Yan humu unaweza ukalala ukaamka ukakuta uziwako upo trendingKomenti ziwe fupifupiii!!!😂
Weeeh!! Ikawaje?Tena alinipigia zile videocall pendwa, unazifahamu? Umenianza😀😀😀😁
This is jfff ... Kawaida sana hioo mbonaa!! Wengine yanakua ni marudioo unacheka tyuuu nhihiii make ni hakuna kipyaa!!Yan humu unaweza ukalala ukaamka ukakuta uziwako upo trending
Mwanasheria wako amemaliza chuo?😀Nani alienda kuonana nae akakuta ni papai liloiva?
What if ni Ke ambaye yuko zake Kimboka huko, kazi ni kuamka na kuwasaula zipu wazi?
Ila wewe nae huwa ni kachawi ka chinichini, kila sehemu naona unachochea tu[emoji23].[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
JF ni pori, sio kichakaa tenaaaa. Woyooooooooh
Ukisikia paaaaaaa ........................Tumia akili wewe mwalimu acha shobo