Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Huu ni ushauri mbovu kabisa, yaani aendelee kuishi na malaya kwa hofu ya eti akipata mwingine atampiga matukio zaidi! Kwa hiyo bora apate ukimwi tu? Kweli wanaume tumebaki wachache sanaaa
It's my wisdom, every man and woman are inherently "Malaya" , ameomba ushauri, wewe ni lawyer wake? Let him think critically, wewe kwa sababu haijakupata unafikiri hautombewi? Your wife/girlfriend ni smart zaidi yako
 
Huu ni ushauri mbovu kabisa, yaani aendelee kuishi na malaya kwa hofu ya eti akipata mwingine atampiga matukio zaidi! Kwa hiyo bora apate ukimwi tu? Kweli wanaume tumebaki wachache sanaaa
Kwanza hujui definition ya prostitution, it is unjust kufikiri huyo mweza kuwa na extramarital affairs ni prostitution
 
It's my wisdom, every man and woman are inherently "Malaya" , ameomba ushauri, wewe ni lawyer wake? Let him think critically, wewe kwa sababu haijakupata unafikiri hautombewi? Your wife/girlfriend ni smart zaidi yako
Wewe una fikra za kike, hakuna mwanaume anafikiria unavyofikiria!
 
Kwanza hujui definition ya prostitution, it is unjust kufikiri huyo mweza kuwa na extramarital affairs ni prostitution
Hahahaaa, mzee naomba namba za mkeo/girlfriend wako, tujadili maana halisi ya “malaya “ inaonekana una “wisdom” iliyoshuka kutoka mbinguni!
 
Huu ni ushauri mbovu kabisa, yaani aendelee kuishi na malaya kwa hofu ya eti akipata mwingine atampiga matukio zaidi! Kwa hiyo bora apate ukimwi tu? Kweli wanaume tumebaki wachache sanaaa
Ningekuwa mimi usiku huo huo. Namwamsha, kulea watoto siyo wako Hapana
 
Pole
 
Wwe mzee 🤣ramli chonganishi pumbavu sana🤣(jokes mkuu) kama ulikuwepo
 
Wengine wanalilia ndoa wengine wamezipata ila wanazichezea dah
 
Kwani Hilo mbona la kawaida mkuu mana me najua hata nijiboost vipi nikioa lazima nisaidiwe (kwenye sector Moja tu) kikubwa mwambie awe na heshima basi.
 
Hahahaaa, mzee naomba namba za mkeo/girlfriend wako, tujadili maana halisi ya “malaya “ inaonekana una “wisdom” iliyoshuka kutoka mbinguni!
Better be unborn than untaught, for ignorance is the root of misfortune🆘
 
Kwamba Bro Mene wewe kibo 🤣🤣
Mwachiluwi mpe darasa ajifariji mwanetu
 
Simu yake ipo TU na haina mambo mengi na kikubwa yupo busy na ulezi wa mtoto...moto anapelekewa wa kutosha...sizani Kama Kuna anything fish outside.
Malezi,elimu ,dini, tamaduni hutushepu kuwa vile tulivyo ndio maana tupo tofauti ki tofauti.
Hayo ya mwisho ni mambo ya msingi sanaa...mimi huwa naona ndio msingi wa muhimu mno, wanandoa wakikosa hivyo basi lazma mushkeli utokee
Hongera mkuu
 
Reality Vs expectation= reality wins, sababu ni moja tu ndo uhalisia wa mwanadamu kubadilika muda wowote ule tofauti na expectation zako ulizotengeneza juu yake, nini kifanyike ni kushusha au kuondoa expectations zote juu yake, then msamehe kama afya yako ya akili ipo sawa kama haiko sawa husimsamehe kabisa anza upya, msisitizo afya yako ya akili ni kitu muhimu kuliko kitu chochote kile.
 
Bora wewe kaendelea kukuita mume wengine wanaitwa JAMAA ,KAJAMAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…