Ongeza bidii ili kumbukumbu za wanaume wengine zitoke na kuwaona hakuna bora zaidi yakoMwanamke asiyekuwa bikra ukimuoa ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa.....ukiinywa uombe Mungu tu aliyetangulia kunywa asiache sumu
Soma hapa Thread 'Njia ambazo Mwanaume anaweza kukabiliana na maudhi/ vitimbi vya Wanawake ndani ya familia' Njia ambazo Mwanaume anaweza kukabiliana na maudhi/ vitimbi vya Wanawake ndani ya familiaHivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.
Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.a
Alikuwa anachat na ex wake hapo, kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.
Naomba mnipe busara zenu ebu
View attachment 3226457
Kumbu kumbu zinakaa kichwani sio chiniOngeza bidii ili kumbukumbu za wanaume wengine zitoke na kuwaona hakuna bora zaidi yako
Mwanaume ndo anaye beba na kuwekeza nguvu zake mpaka saa nyingine kuweka roho yake rehani ili mke na watoto waweze kuishi.Mkifanya nyie sawa, akifanya mwanamke ni Mbaya.
Mkuu acha kujitoa ufahamu hiyo mesege ni umeilewa tafsiri yake ila kwasababu ni mwanamke mwenzio unajaribu kuprotect.Nielezee ulivyo elewa wewe?
Mwanamke lazima mwanamke amshike mkono.. Maana wanaume mumezidi
Kuna wanawake wengine sijui wanaume wenzangu huwa wanawaokotaga wapiVipi kuhusu wewe kufungua zipu yako ovyo? Ukileta magonjwa hapa ngoma droo unafungua zipu uko kwingine na mimi navua uku tena na rafiki yako
***** umeoa mke wa mtu........ 😱 😡Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.
Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.a
Alikuwa anachat na ex wake hapo, kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.
Naomba mnipe busara zenu ebu
View attachment 3226457
Kwani ww maisha aliyo ishi mama yako ndo unayo ishi ww kwa sasa?Kwanini akazie bikra pilu hajui historia ya wazazi wake?
Acha kutetea uozo mkuu hiyo mesege hata ukimpa mtoto wa darasa 3 ataelewa nini huyo mwanamke alikuwa ana maanisha.Hii picha imeonyesha uhalisia kabisa wa wabongo,hakika wanasema mbogo mpe picha tu atakupa headline mpk hitimisho ya story utafikiri alikuwepo,mkuu akili kumkichwa huku utaongeza stress tu hakuna kitu kizuri kama communication kwenye mahusiano,mwite mwenzi wako mkae chini mweke mambo sawa nyeusi iwe nyeusi na nyeupe iwe nyeupe
Unapenda kuzaa zaa nje wewe mzee watoto kirundo ndio mana umefilisika. Ushaenda kijijini?Usimfanye chochote kwa sababu unaweza kuishia jela, mwambie tu meseji yako nimeiona, wala usibishane naye sana. ''inaonekana walishakulana''
Kiufupi, tafuta mchepuko nje mpe ujauzito maisha yasogee.
Ndiyo.Ujajibu swali mama yako alifunga ndoa na bikra?
Mweeee! Breki pumbuz utawajua tuuMnavyo angaikia bikra iyo mama zenu wali funga ndoa na bikra zao?
Hakuna sehemu nimetetea umalaya punguza mihemuko kijanaAcha kutetea uozo mkuu hiyo mesege hata ukimpa mtoto wa darasa 3 ataelewa nini huyo mwanamke alikuwa ana maanisha.
Mkiolewa tilieni kwenye ndoa muache umalaya hao ma ex wenu wangekuwa wanawapenda wangewaoa.
Wewe unajua unachotaka?Wanawake hawajuagi huwa wanataka nini asee.
Watu wanaongea tu hapa kwasababu hayajawakuta. Yakiwakuta wananywea hakuna lolote wanafanyaHuwa mnavyosema 'Piga chini' hivi watu huwa wanapigwa chini kirahisi tu kumbe?
Wivu kuelekea mbususu ya mkeo ni umama. Hizi mbususu sio zetu tunakodi tuuMa ex wanatabia mbovu sana,washakulombea wife. Pole sana mkuu!😟
Mutomber mbususu nyingi kadri pesa inavyo ruhusuWewe unajua unachotaka?