Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri? Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua. Na hiki ndicho nilichokikuta.

Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari. Alikuwa anachat na ex wake hapo, kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.

Naomba mnipe busara zenu ebu.

View attachment 3226517View attachment 3226518View attachment 3226519


Duh aise pole sana. This is the most painful moments in life. Kusalitiwa na mke au mume ni jambo linalouma sana kuliko hata kufiwa. Kwa yeyote ambaye amepitia hii hali ni shahidi kwa ninayoyasema. Nakupa tu pole sana
 
Ukitaka upate uhakika zaidi fanya kuhack simu yake kabisa yani upate mawasiliano yao yote, iwe ni simu au text zote uzipate. Hata ikibidi nunua simu mpya mpe kama zawadi lakini uwe ushaiset kumnasa kila kitu. Pata ushahidi kamili na ukiweza fanya fumanizi yani wakipanga kukutana hotel na wewe unaenda kufumania kisha unampiga chini kimoja

Mtu msaliti atarudia tu. Ila uwe makini na uwe na kifua cha kuvumilia usionyeshe kupanic wakati unafanya uchunguzi wa kina..
 
Hata ukimpeleka kaburini machungu ya kugongewa yataendelea kukutesa milele na milele amina
Kama unampeleka kaburini lakini bado machungu ya kugongewa hayaishi,itakuwaje ukimsamehe na kuendelea kuishi naye moyo si utapasuka kabisa?
 
Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri? Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua. Na hiki ndicho nilichokikuta.

Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari. Alikuwa anachat na ex wake hapo, kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.

Naomba mnipe busara zenu ebu.

View attachment 3226517View attachment 3226518View attachment 3226519

Umevunjiwa barafu bado kuchimbwa mgodi mwambie Marekani wamesitisha misaada ya......... Tukiugua tutapata shida sana, kwakuwa hakutakuwa na dawa za kufubaza
 
Hivi ndoa za zamani hazikua na haya mambo? Au kwa sababu teknolojia imekua na tumekua na access kubwa ya information sasa tunayaona? Au wazee waliotangulia nao waliyaona ila walikua wanakaza moyo tu? Why now? Kila siku kuna habari ya kuumizwa tu na wamama!
Kwani zamani kulikuwa na cm?
 
Usimfanye chochote kwa sababu unaweza kuishia jela, mwambie tu meseji yako nimeiona, wala usibishane naye sana. ''inaonekana walishakulana''

Kiufupi, tafuta mchepuko nje mpe ujauzito maisha yasogee.​
 
"nimekukazia" maana yake ni alikuwa mgumu kwa huyo ex hakumpa papu..

Kama ukitokea kuwa bomu mbeleni let's tuyaone.. 😂

Lete zingine tukufafanulie..

Ukome kuchungulia kutafuta matatizo.. Mkeo anaonekana alijitambua
😄😄
 
Ukiona mwanamke mwenye akili timamu katoka nje ya ndoa ujue huko ndani ni Gaza ndogo, kuna mmojà mwanaume mwaka wa 4 analala mzungu wa 4, mke kaongea kachoka kaamua akae kimya atafute yakutafuta huko, sasa siku ndoa ikivunjika lawama zote atapewa mke, sasa mwanaume atambue mke anacheat hapo atamlaumu kweli?
Pakada nishakuambia tangu zamani kama hupigwi mashine vizuri ni wewe sio wanawake wote..
So wewe unaamini mke wa huyu mtoa post ana akili sana ila mwamba ndie hampigi mashine si ndio?

Tangu kule nilikuambia inaonekana hupigwi mti ukasikia ndio maana unakuwa hivi..
Feministi yeyote ukimpiga pipe vizuri huwa anajisahau kwa muda kwanza anakuwa wife material na hata anaanza kuwapinga mafeministi wenzake..
 
Nimepita unapopita; sio pepesi Kama unavyowaza, unaitaji utulivu sana, Tafuta wale wazee ambao Bado wanaishi na wake wa ujana wao na hawakuwahi kutalikiana wakushauri!

Kama yatakuwa magumu njoo PM kuna mbinu nyingi za kijeshi tulitumia na saaa tuna amani na afya, ukicheza kwenye mazingira haya, tunakuzika chap kwa haraka!
Amani na huku y
Nimepita unapopita; sio pepesi Kama unavyowaza, unaitaji utulivu sana, Tafuta wale wazee ambao Bado wanaishi na wake wa ujana wao na hawakuwahi kutalikiana wakushauri!

Kama yatakuwa magumu njoo PM kuna mbinu nyingi za kijeshi tulitumia na saaa tuna amani na afya, ukicheza kwenye mazingira haya, tunakuzika chap kwa haraka!
Amani na afya huku ulishatombewa we bwege kweli aisee,na Kwa taarifa yako bado wanakulana
 
Back
Top Bottom