min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Eti kanyauu kwa wakati🤔Hivi mnaoaga mpate Nini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti kanyauu kwa wakati🤔Hivi mnaoaga mpate Nini ?
Hawa iwe mvua au kipupwe lazima waarudiana mbona hili liko wazi jamani!Kwa nilivyoelewa hio sms ni kwamba mke alimtolea nje EX wake kipindi ndoa yenu ikiwa changa, ila kwa sasa sijajua kama ndio ameanza kumpa mbunye au la. Mwendelezo wa chat ndio utaonesha kwamba kashaliwa au bado. Ungetuma zote ili tukupe tafsiri halisi.
Umejibu au umeuliza?Kwani zamani kulikuwa na cm?
Mdogo angu hujawai kuwa kwenye ndoa hata kwa miezi sita mfululizo ☺️ alafu unashaur unasema Jambo dogo ??Jambo dogo ilo usichukulie kwa ukubwa uho
UsishikeMdogo angu hujawai kuwa kwenye ndoa hata kwa miezi sita mfululizo ☺️ alafu unashaur unasema Jambo dogo ??
Mambo ya uaminifu na ndoa ni MAGUMU
Binafsi sina tabia ya kushika simu ya mke wangu.. perhaps labda nikija ku suspect ama kuona Kuna viashiria vya uvunjifu wa amani ya moyo..
Kwenye kuzalisha nje sio sawa maana WATOTO watakukosa na watakosa upendo na ukichukua MWANAMKE DEPENDENT utageuzwa SACCOS.Usimfanye chochote kwa sababu unaweza kuishia jela, mwambie tu meseji yako nimeiona, wala usibishane naye sana. ''inaonekana walishakulana''
Kiufupi, tafuta mchepuko nje mpe ujauzito maisha yasogee.
Yule ni mwaminifu na mlokole mamboleo 😊 ambae anajitambua na hajapitia mambo mengi ya ujana pia Mimi ndie dream man wake so tuna aniversally nyingi tu..Usishike
Hapa tulipofikia khamusi iedit maana ya Ndoa iilete kwenye Uhalifu.Kila siku tunawaambia vijana oeni wanawake bikira lakini hamuelewi. Mwanamke ambae umemkuta tayari kumer ishatembea mileage nyingi hauwezi kutengeneza nae bond kwa sababu kichwani mwake bado ana kumbukumbu ya mambo yote aliyofanya na maex wake. Chochote utakachomfanyia lazima atafute sababu ya kutoridhika.
Kabisa nakuunga mkono mkuu.Hapa tulipofikia khamusi iedit maana ya Ndoa iilete kwenye Uhalifu.
Nimejikuta tu nacheka. daa!Acha atombewe afu saa hii badala akague qqqqquuuma anakagua simu mmmmmmmmae zake
Dah vijana mmekuwa kama vichaa.mwanamke msaliti, ADHABU yake ni KIF*RO tu.
Oya Mike ,nataka nije unipe kozi ya mapishi kwa mwezi mmoja ili nijue rasmi sitaoa .Jambo dogo ilo usichukulie kwa ukubwa uho
Pole sana 😂 kibogoyo wanakuita ivyo ukiwa haupoOya Mike ,nataka nije unipe kozi ya mapishi kwa mwezi mmoja ili nijue rasmi sitaoa .
Maana Jana niliyedhani nitamuoa nimemfumania anamsimulia mwenzie eti kumbe F ana meno ya bandia hana jino hata moja na mwisho anamalizia eti siwezi kuolewa na kibogoyo Mimi 😭
Badala angekuja aniulize kwanini Sina meno kaenda kunitangaza hata kwa wasiohusika ati Mimi ni kibogoyo rasmi sitaki tena ndoa Mike 😭
hamna bro, ili kupunguza HA$IRA bora iwe hivyo. sasa mwanamke una malengo nae na umeWEKEZA vya kutosha kwake, alafu anakufanyia madharau!? kama hayo? kweli? Potelea karibu, acha iwe hivyo.Dah vijana mmekuwa kama vichaa.
Eee Kaka ,hata leo nimepita mitaa yao namsikia mwenziye anasema kibo yule na kigari chake 🙃Pole sana 😂 kibogoyo wanakuita ivyo ukiwa haupo