Ndo ujue sasa mahusiano yalivyo ukianza kuingiza file jipya nguvu kubwa sana inahamia huko na unafanya mambo ambayo ulikuwa unamfanyia mwenza wako halali but huku unaona anastahili zaidi.
Feeling na matendo mazuri yanahamia upande wa pili mwishowe unajisahau ukihisi hafuatilii kumbe anafuatilia kimya kimya mwishowe mdakana vurugu zinaanzia hapo au kama kila anachukua 50 zake mchezo umeishia hapo.
Kugawa feeling ni jambo gumu sana kuna upande utalega tu na kuharibu kila mlichokijenga miaka mingi, bahati mbaya na huo upande wa pili huwa unabadlika pia so its like "stupid avoidable ciycle" kila anauwezo kuamua na kubaki na mwenza wake.