Baba achinjwa na familia yake akidaiwa kuwa kikwazo cha kutumia mali za familia

Baba achinjwa na familia yake akidaiwa kuwa kikwazo cha kutumia mali za familia

Kwa hyo sie watu wa Mwanza tuna roho mbaya.
Sema hata mim baba angu aliuliwa na mdg ake kwa kuwekewa sumu akinitumia mchepuko na alilipwa pesa ndogo sana.
Hakuna hukumu ilotolewa kesi ukikosa ushahidi baada ya muda huyo ba angu mdg mtoto ake alikua teja akafariki mtoto ake mwingine akawa kama vile chizi si chizi. Amebaki na mtoto mmja mzima.
Huyo mchepuko sa hiv anauza viaz vitamu sokoni yani anatia huruma acha kabisa.
Pole sana, nimekaa mwanza wengi walikua wakarimu ila nilikua na rafiki ambae alikua kama dada na mda mwingi nilikaa kwake naye alikua polisi, ki ukweli hakukua na wiki ambayo hawakwenda kuchukua miili iyokatwa katwa na wengine kuuwawa kabisa
 
sasa mama ananyea debe nakatoto kachanga pia kanateseka huko ndani,kwel majuto ni mjukuu
 
Pole sana, nimekaa mwanza wengi walikua wakarimu ila nilikua na rafiki ambae alikua kama dada na mda mwingi nilikaa kwake naye alikua polisi, ki ukweli hakukua na wiki ambayo hawakwenda kuchukua miili iyokatwa katwa na wengine kuuwawa kabisa

Pole sana, nimekaa mwanza wengi walikua wakarimu ila nilikua na rafiki ambae alikua kama dada na mda mwingi nilikaa kwake naye alikua polisi, ki ukweli hakukua na wiki ambayo hawakwenda kuchukua miili iyokatwa katwa na wengine kuuwawa kabisa
Asante sana, Yani Mwanza matukio ya kikatili ni mengi sana.
Kuna kijana mmja ni family friend alikua anapenda sana kwenda club usiku.
Siku moja anatoka club alivamia na kundi la watu walimpora kila kitu na kumwagia mafuta ya taa wakamtia moto alafu hao watu wakakimbia, ponapona alijigaragaza kweny mchanga.

Matukio nliyoyashuhudia na kuyasikia ni mengi sana.
 
Pole sana, nimekaa mwanza wengi walikua wakarimu ila nilikua na rafiki ambae alikua kama dada na mda mwingi nilikaa kwake naye alikua polisi, ki ukweli hakukua na wiki ambayo hawakwenda kuchukua miili iyokatwa katwa na wengine kuuwawa kabisa
Asante sana
 
Bhagooosha!!mwanamke ktk ubora wake...hapo unakuta mzee wa watu alipambana akapata vi~mali kwa jasho kumbe mke na watoto ni TABULARASA...watoto wakikua fukuza home
 
Waliokamatwa ni watu 5 akiwemo Hoka Mazuri ambaye ni Mke wa marehemu na Watoto wake wawili Masunga na Paskali Mange wanaotuhumiwa kumuua Mange Washa.

Kamanda wa Polisi, Wilbroad Mutafungwa amesema watuhumiwa Shija Masalu na Makoye Lusana walilipwa Tsh. 800,000 na kumuua kwa kumkata Kichwa baba wa familia hiyo kwa madai alikuwa kikwazo kwao kutumia mali.

Watuhumiwa wote wanaendelea kushikiliwa chini ya Jeshi la Polisi kwa mahojiano zaidi na upelelezi utakapokamilika watafikishwa Mahakamani.

======================

Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza linawashikilia watu watano akiwemo Mkazi wa Kijiji cha Kiliwi wilayani Kwimba, Hoka Mazuri (48) na wanaye wawili kwa tuhuma kumuua mumewe, Mange Washa (49).

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amewataja watoto wa mwanamke huyo wanaoshikiliwa kwa mauaji hayo kuwa ni, Masunga Mange na Paskali Mange.

Mutafungwa amedai, ili kufanikisha lengo lao bila kushtukiwa wanafamilia hao walimlipa mkazi wa Bugembe wilayani humo, Shija Masalu (28) na Makoye Lusana (53) Sh800, 000 ili wamuue baba wa familia hiyo ambaye taarifa zinadai alikuwa kikwazo wanapohitaji kutumia mali za familia hiyo.

Amesema Desemba Mosi mwaka huu Saa 1:00 usiku baada ya kulipwa fedha na familia hiyo, Masalu na Lusana walimvamia Mange Washa akiwa amelala wakamkata kichwa na kukitenganisha na kiwiliwili kisha kutokomea kusikojulikana.

"Mauaji ya Mange yalipangwa na mke wake akishirikiana na watoto wake wawili kutokana na ugomvi wa mali uliyodumu kwa muda mrefu, kwani mmoja wa wana familia hiyo, Masunga Mange alifukuzwa na baba yake (Marehemu) kwa kuhusika na wizi wa mifugo ya familia yake na ya wakazi wengine wa kijiji hicho.

"Baada ya mauaji hayo Hoka Mazuri na wanaye wawili waliwahadaa watoto wengine ambao walikuwa wamelala nyumba nyingine jirani kwamba, baba yao amekatwa mapanga na mtu asiyejulikana, wakati wanaujua ukweli kuwa wao ndiyo waliopanga na kuratibu mauaji hayo," ameongeza.

Amesema watuhumiwa hao wanaendelea kushikiliwa chini ya jeshi hilo kwa mahojiano zaidi na upelelezi utakapokamilika watafikishwa mahakamani.

Katika hatua nyingine, Kamanda Mutafungwa amesema jeshi hilo kupitia doria zake linawashikilia watu 104 kwa makosa mbalimbali ikiwemo kukutwa na kilo 29 za Bangi, na miche 40 ya bangi, mirungi kilo 62.6, lita 4,270 za pombe aina ya Gongo, mitambo 14 ya kutengenezea pombe hiyo na gramu 2.3 za dawa za kulevya aina ya Heroine.

Pia, amesema watuhumiwa wengine 18 wanashikiliwa kwa tuhuma za makosa ya uvunjaji wa nyumba na maduka kisha kuiba mali zikiwemo televisheni, simu na pikipiki.

"Pia tumekamata vifaa mbalimbali vilivyoibwa katika mradi wa ujenzi wa daraja la JPM Kigongo-Busisi na nyavu haramu za kuvulia samaki ndani ya Ziwa Victoria," amesema Mutafungwa.

Katika tukio lingine, Kamanda Mutafungwa amesema jeshi hilo linamshikilia mkazi wa Mtaa wa Jiwe Kuu kata ya Kitangiri wilayani Ilemela mkoani hapa, Merry Seni (21) kwa tuhuma za kutoa ujauzito wenye umri wa miezi saba na kutupa kichanga hicho.

MWANANCHI
Huwa najiuliza Sana yaani Mimi baba nitafute Mali zangu na kuwalisha hao wanaoitwa watoto Hadi wanakua afu eti bado Ni Mali zao kwa kisingizio Cha familia?

Huu upumbavu nimekuwa nauona sehemu nyingi yaani ukiwa tuu na familia huna chako,Sasa Nini maana ya sijui kupambana kote huko?

Kwa mantiki hii nimeona Bora uwe na Mali za pembeni wasijue hao kima wanaoitwa wanafamilia Ni Bora zipotelee kwenye mikono ya watu kuliko kuja kuteswa na Mali za jasho lako.
 
Aisee kuwa mwanaume ni kazi kwelikweli. Unatafuta kwa jasho, watu wako wa karibu ndio wanageuka kuwa watesi wako .Mke na watoto wako!
Mimi hautokuja kutokea nikaweka Mali zangu zote wakafahamu kuanzia account zangu na Mali zingine watakazozifahamu Ni zile tuu wanazoziona.

Mali zako afu uanze Tena kuteseka?
 
Kuna uzi niliongea kichwa cha habari kwa nini mkoa wa Mwanza kuna hitman sana !. ila kama watu walipita pembeni
Uharamia wa ziwani; maisha ya kambi za uvuvi dagaa. Kuna mchanganyiko wa wahuni kutoka pembe mbalimbali za nchi/dunia na uwepo wa migodi kingi kuzunguka kanda hiyo. Uhalifu wa maeneo ya migodi sio wa kitoto. Kutoana uhai ni jambo jepesi mno (fikiria Melerani), uwepo wa watu wengi wanaotoka ile kanda maalum ya watu wasio na utani (bhita ni bhita.....), Hulka ya watu kupenda anasa kupindukia, watu kuishi maisha yasiyo na hofu ya Mungu, movie series za mauaji, uhalifu wa maadili n.k kushamiri kwa mawasiliano na urahisi wa kupata taarifa mseto za kihalifu kupitia media kunatengeneza taswira ubongoni mwa watoto wengi (wateja wengi wanatoka mitaa ya maisha duni na hawa ndio wanasambaa kuishi mitaa ya mjini kati, na hawa ndio wanaotetelesha amani ya miji kwa uhalifu. Refer panya road)
 
Wanaendelea utamaduni wetu wasukuma,dingi ukishazisaka ukazipata,Maza anakonsipaya na watoto wakuue,zamani wazee walikua wanahama wanaenda kuanzisha mji mwingine kwingine
Hata bila kukuua wanauza au wanakuzuia kuuza na huna Cha kufanya kwa sababu hata sheria zinawalinda wanafamilia yaani wakizuia hata Kama uliuza ,aliuenunua inakula kwake yaani yeye na mzee wanonekana Wana makosa.

Hizi Ni Sheria za kipumbavu.Ukiacha Hilo mitoto huwa haitaki mzee aoe Kama mama Yao kafariki kwa maelezo kwamba atakula Mali ya mama Yao.

Wakati huo huo sijui wanategemea baba Yao atawatomba wao au wao ndio watakuja kimpikia ,kufua nk akiwa kwenye utu uzima huo..

Huu.ni ushenzi kwa sababu Mali zimetangulia kuliko utu.
 
Bhagooosha!!mwanamke ktk ubora wake...hapo unakuta mzee wa watu alipambana akapata vi~mali kwa jasho kumbe mke na watoto ni TABULARASA...watoto wakikua fukuza home
Sio swala la bangosha tuu Bali jamii nyingi Zina huu upumbavu.

Usipouwawa hutoweza kufanya lolote na Mali zako kwa kisingizio Cha Mali ya familia.
 
Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza linawashikilia watu watano akiwemo Mkazi wa Kijiji cha Kiliwi wilayani Kwimba, Hoka Mazuri (48) na wanaye wawili kwa tuhuma kumuua mumewe, Mange Washa (49).

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amewataja watoto wa mwanamke huyo wanaoshikiliwa kwa mauaji hayo kuwa ni, Masunga Mange na Paskali Mange.

Mutafungwa amedai, ili kufanikisha lengo lao bila kushtukiwa wanafamilia hao walimlipa mkazi wa Bugembe wilayani humo, Shija Masalu (28) na Makoye Lusana (53) Sh800, 000 ili wamuue baba wa familia hiyo ambaye taarifa zinadai alikuwa kikwazo wanapohitaji kutumia mali za familia hiyo.

Amesema Desemba Mosi mwaka huu Saa 1:00 usiku baada ya kulipwa fedha na familia hiyo, Masalu na Lusana walimvamia Mange Washa akiwa amelala wakamkata kichwa na kukitenganisha na kiwiliwili kisha kutokomea kusikojulikana.

"Mauaji ya Mange yalipangwa na mke wake akishirikiana na watoto wake wawili kutokana na ugomvi wa mali uliyodumu kwa muda mrefu, kwani mmoja wa wana familia hiyo, Masunga Mange alifukuzwa na baba yake (Marehemu) kwa kuhusika na wizi wa mifugo ya familia yake na ya wakazi wengine wa kijiji hicho.

"Baada ya mauaji hayo Hoka Mazuri na wanaye wawili waliwahadaa watoto wengine ambao walikuwa wamelala nyumba nyingine jirani kwamba, baba yao amekatwa mapanga na mtu asiyejulikana, wakati wanaujua ukweli kuwa wao ndiyo waliopanga na kuratibu mauaji hayo," ameongeza.

Amesema watuhumiwa hao wanaendelea kushikiliwa chini ya jeshi hilo kwa mahojiano zaidi na upelelezi utakapokamilika watafikishwa mahakamani.

Katika hatua nyingine, Kamanda Mutafungwa amesema jeshi hilo kupitia doria zake linawashikilia watu 104 kwa makosa mbalimbali ikiwemo kukutwa na kilo 29 za Bangi, na miche 40 ya bangi, mirungi kilo 62.6, lita 4,270 za pombe aina ya Gongo, mitambo 14 ya kutengenezea pombe hiyo na gramu 2.3 za dawa za kulevya aina ya Heroine.

Pia, amesema watuhumiwa wengine 18 wanashikiliwa kwa tuhuma za makosa ya uvunjaji wa nyumba na maduka kisha kuiba mali zikiwemo televisheni, simu na pikipiki.

"Pia tumekamata vifaa mbalimbali vilivyoibwa katika mradi wa ujenzi wa daraja la JPM Kigongo-Busisi na nyavu haramu za kuvulia samaki ndani ya Ziwa Victoria," amesema Mutafungwa.

Katika tukio lingine, Kamanda Mutafungwa amesema jeshi hilo linamshikilia mkazi wa Mtaa wa Jiwe Kuu kata ya Kitangiri wilayani Ilemela mkoani hapa, Merry Seni (21) kwa tuhuma za kutoa ujauzito wenye umri wa miezi saba na kutupa kichanga hicho.

MWANANCHI
Wazazi wapuuzi wa namna hiyo wauwawe tu ...ndiyo wanao sababisha panya road kwa kuto kuwajibikia familia zao kikamilifu
 
Watoto wakianza kujielewa tu, fukuza nyumbani wakaanze kujitegemea, ukiwachelewesha sana wanaanza kutegemea Mali zako.
Nyinyi ndiyo mnao uliwagwa na watoto wenu ...kwanini usishirikiane na watoto wako bega kwa bega kujenga uchumi wa familia ? Uwafukuze kwani walikuomba kuwazaa ....haya ni matatizo ya viongozi kuto kujua maana ya uongozi kwa unao waongoza ...kama ulikuwa utaki watoto kwanini uliwazaa
 
Wanyiramba sifa ya wanaume wanyiramba .

1.hawajali hata kama wameoa wao hupenda Malaya sana.

2.wavivu kutunza familia zao na pia hupenda kutokula miilo yenye kuleta afya

3.wanapenda kuvaa nguo nzuri Ili hali watoto hawana chakula chenye afya Wala hawana ada wapo wapo tu ila wanapenda sex balaa na video viumo vya nyiguu
Mbona mie sina sifa hizi? 😀😀
 
ule msemo wa watoto ni baraka unaanza kupotea;kasheshe sasa unakuta hata mtoto mwenyewe siyo damu yako yaani
 
Hata bila kukuua wanauza au wanakuzuia kuuza na huna Cha kufanya kwa sababu hata sheria zinawalinda wanafamilia yaani wakizuia hata Kama uliuza ,aliuenunua inakula kwake yaani yeye na mzee wanonekana Wana makosa.

Hizi Ni Sheria za kipumbavu.Ukiacha Hilo mitoto huwa haitaki mzee aoe Kama mama Yao kafariki kwa maelezo kwamba atakula Mali ya mama Yao.

Wakati huo huo sijui wanategemea baba Yao atawatomba wao au wao ndio watakuja kimpikia ,kufua nk akiwa kwenye utu uzima huo..

Huu.ni ushenzi kwa sababu Mali zimetangulia kuliko utu.
Wewe zuzu swali uliwazaa wanini kama ulikuwa utaki kuwajibika kikamilifu kwa familia yako .
 
Back
Top Bottom