Baba adaiwa kumuuza mtoto, asafirishwa kwenda Canada, mama abaki analia akizunguka kuomba msaada

Ona akili za maskini zinavyowaza, mnaelewa procedures za kuadapt mtoto Tanzania?
We ndo una akili za kimaskini afu muoga wa maisha usitulishe maneno, kuadapt mtoto si aende vituo vya watoto yatima mbona vimejaa tele, watoto wa mitaani wasio na pakula wala kulala unataka kusema hawaoni.
Dunia ni zaidi ya uijuavyo hizo unazoziita akili za kimaskini ndo matajiri wanazitumia ku'make' kaa kwenye password
 
Kwahiyo kwa akili zako za kuvukia barabara Watoto yatima ndio sahihi watolewe kwenda kufanyiwa makafara?
 
We ni pimb*, nini hao unaowazungumzia ni kweli wapo ila hatuwaongelei hao tunamungelea mama wa Mwanza anayehangaika kumrudisha nyumbani mwanae baada ya kuporwa na wapuuzi wakishirikiana na baba lisiloijua labor lenye akili mgando linalodhani Canada ni peponi na muhindi ndio malaika wa riziki
 
Huyo mama msukuma aache umbiwga mtoto akikua mkubwa akajua alimkazia jwenda canada atamtukana mitusi ya nguoni mtoto anaenda kula maisha.
Nampa big up babalai wa mtoto bongo kama mzimuni
 
Wewe mleta mada inaonesha unawajuwa hawa watu.


Mwacheni huyo mtoto, kishapata maisha mema, mshaurini vizuri huyo mama. Awe na contacts zao tu, asiwe na wasiwasi, huyo ni mkubwa hatowasahau wazazi wake na alipotoka. Hiyo ni fursa ambayo wengi wanaitafuta.
 
Wewe angekuwa wa kwako ungempa aende nae???

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
ujamaa ulifanya wazaz na watanzania kuwa mataahira
mm mchaw mama mzaz tambo ningekua raiya norway nikiwq kwetu umeruni mzungu alinitaka kwq kipaj cha ngumi. mama mzaz anasema soma umalize utafute kaz. matokeo yake nabeba tofari saiti na erim ra saba
 
Kama labor ingekuwa na thamani kiasi hicho basi kusingekuwa na watoto wa mitaani na watoto kutupwa
 
Aisee wewe PhD yako na ile ya Magufuli na ya Samia na ya Musukuma ni mapacha. Kweli unaona ni sawa mtoto kuchukuliwa wakati mama yake na baba wapo hai eti kwa sababu tu ya ufukara? Una uhakika gani kuwa atarudishwa wakati mpaka jina limebadilishwa? Pengine hujapata mtoto wewe ndiyo maana unaona ni kuwa mtoto anaweza kuchukuliwa kama bidhaa tu.
 
Kama umesoma hiyo story utakuwa umeelewa vizuri, nia ni njema kabisa na kwa wanaojuwa mchakato wa kuasili mtoto Tanzania si mchakato wa kitoto kama wengi wanavyodhani, wangeshachukuliwa wengi tu kwenye vituo vya Watoto yatima.
Hata Mario Ballotel alichukuliwa(adapt) kwenda kuishi Ital kama ivyo baadae kaja kua star mkubwa kwenye soka. Sasa hao washamba wa Mwanza sijui wamefel wapi
 
Kuna usemi 'Mbuzi wa maskini hazai'....

Mama anang'ang'ania kubaki na mtoto wakati hata kumsomesha tu hawezi.

Umaskini wa fikra ni m'baya sana kwa kweli.

Nimesoma uzi nikijua ni ishu ya human traffic kumbe ni maskini flani wasioelewa jambo.

Iko wazi huyo Dada muhindi alimpenda sana huyo mtoto na hiyo ni pure love.

Akawahurumia wazazi wake ambao ni bongo lala.
 
Mbona uzi unaelezea vizuri kabisa mazingira ya muhindi na mtoto? duh!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…