Baba adaiwa kumuuza mtoto, asafirishwa kwenda Canada, mama abaki analia akizunguka kuomba msaada

Kama mtoto kaenda kweli Canada, hata kama angekuwa ametoroshwa poa tu.

Ila kama kaenda huko Uhindini basi kuna wasiwasi.

Ila Canada, tena mmama wa Watu ka-apply kabisa makaratasi, My instincts can tell, ana nia njema.

Ila kwa hizi kelele, kule Wakisikia just on spot mtoto atarejeshwa. Na pengine kumuweka huyo mama kwenye matatizo.
 
Mkuu, utaratibu wa ku adopt nchini Tanzania upo tofauti kidogo.
Mtoto ili kumu adopt inabidi asiwe na ndugu wanaojulikana au kama wapo basi anaye adopt hapaswi kujua ndugu wa mtoto na kama ndugu wapo na hawakumchukua, basi hawapaswi kujua kachukuliwa na nani.
Kwa kesi ya huyu jamaa hapa, hii siyo ku adopt, hii ni kuuza tu kama bidhaa nyingine.
 
Kama aliweza kumuachia mtoto akiwa na mwaka mmoja aishi nae, anashindwa nini kwenye miaka 8?
Huyo Mama aache kushikwa masikio na wasiopenda maendeleo yake, amuache mtoto akatengeneze future.
 
namhurumia kwa kweli, ukute mama mtoto anachochewa na watu wenye wivu tu.

Wakijua kabisa siku sio nyingi na huyo MAMA wa makoroboi atapanda ndege kwenda Canada kwa mtoto wake.
 
Kama aliweza kumuachia mtoto akiwa na mwaka mmoja aishi nae, anashindwa nini kwenye miaka 8?
Huyo Mama aache kushikwa masikio na wasiopenda maendeleo yake, amuache mtoto akatengeneze future.
Wapashkuna wa mtaani kwake hawapendi maendeleo yake.

Washaona kuna siku na yeye atapanda ndege kwenda Canada, awavimbie.
 
Mkuu wewe huoni LOVE? Muhindi amejuana na baba wa mtoto baada ya mama kuzingua.

Na adoption imetumika hapo ili tu kurahisisha maswala.
 
Soma uzi. Mhindi anaishi na mtoto since 1year!! manyanyaso hapo yangekuwepo ingejulikana tayari.
 
Wamuache aje awatoe kwenye umasikini baadae ama sivyo atakuja kuuza maziwa baadae nayeye
 
Yani dogo aachee kusomea kwenye viyoyozi huko Canada aje kusoma shule za kayumba za kugombaniana madawati?

Huyo Mzazi wa mtoto apewe exposure ya kwenda Canada kusu uza macho na kuona mandhari ya Canada ili kuondoa ujinga kisha nadhani akirudi atakubali mwanaye abakie Canada.
 
Huna hela unahangaika kujumua maziwa na imeambiwa mtoto atakuwa anakuja kukusalimia sasa ngoja arudi umlishe matembele akuchukie hadi uyachukie maisha yako.
 
Mkuu kuna watu wana akili za ajabu kweli kweli. Eti umpe mtu mtoto wako wa kumzaa kwa sababu tu wewe ni maskini na yeye ni tajiri. Akili za kijinga kabisa hizi.
 
Nimesoma na nikaelewa. Mhindi kukaa na mtoto tangu akiwa mdogo haihalalishi kumbadilisha jina na kumchukuwa huku akidanganya kuwa amem-adopt bila mama mzazi kujua.
Mama mzazi alishaonyesha dalili zakuzingua.

Upendo una nguvu sana, ndio maana Mhindi akaamua kuanza kudeal na BABA mtoto.

Kuhusu majina kubadilisha, hiyo ndio ilikuwa njia rahisi sana kwa huyo dogo kusepa.

Majina sio issue sana lakini, kwa wewe unaitwa macho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…