Baba adaiwa kumuuza mtoto, asafirishwa kwenda Canada, mama abaki analia akizunguka kuomba msaada

Mkuu kuna watu wana akili za ajabu kweli kweli. Eti umpe mtu mtoto wako wa kumzaa kwa sababu tu wewe ni maskini na yeye ni tajiri. Akili za kijinga kabisa hizi.
Ila watu wa Mwanza nahisi mna shida mahali...

Soma hii


Mwanza hapako sawa kabisa.
 
Soma uzi. Mhindi anaishi na mtoto since 1year!! manyanyaso hapo yangekuwepo ingejulikana tayari.

hawa watu ni wanyama hakuna kama Wahindi,Mwaka mmoja kitu gani?Malengo hapo ni malengo yao,Project hiyo watu wanajua kuigiza,why asiende kuadopt wahindi wenzake huko India,Akaenda nae Canada.Kama anawapenda na kwanin asiiache nyumba kwa wazazi wa hyo dogo amemwachia mtu baki?Kuna kitu hakipo sawa hapa.Ogopa mama akianza kuhisi kitu hakipo sawa, Mama ako connected na mtoto kiasi kwamba kama kuna kitu hakipo sawa nafsi yake haitulii.
 
Usiwe na akili za kimaskini namna hii! Hivi wewe unaweza kabisa kutoa mtoto wako umpe mtu mwingine kwa sababu tu yeye ana uwezo? Mama alikuwa sahihi kabisa. Hilo li-baba limeweka njaa mbele.
 
Hivi mtu amchukue mtu kutoka hapa kwenda Canada, kwa ajili ya kwenda kumnyanyasa! Hahaha!.
Si rahisi kwa kweli, ameshindwa kumnyanyasa hapa, akafanya hivyo Canada?

By the way kwa wenzetu sheria zao ziko wazi balaa.
Huruhusiwi hata kumchapa mtoto akalia.

Watu wa makoroboi huko mwanza wanawaza manyanyaso 😀
 
Afisa wa Ustawi wa Jamii, Edith Ngowi anasema “Khadija alikuja kupata ufafanuzi, tulimsindikiza Polisi, tukashauriwa kwenda Uhamiaji, tulipoenda tulioneshwa taratibu zote zimefuatwa na baba mtu akakiri alidanganya ili upatikane uhalali wa mtoto kusafiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna watu wana akili za ajabu kweli kweli. Eti umpe mtu mtoto wako wa kumzaa kwa sababu tu wewe ni maskini na yeye ni tajiri. Akili za kijinga kabisa hizi.

Cha ajabu zaidi nyumba yake tu ameshindwa kuwaachia,amepewa mtu baki kukaa,Mtoto anaenda kuuzwa Figo hapo 200 Milioni nyie mtakuja kuona Kovu tu kuambiwa aliumwa.
 
Unafikiri kila Mhindi aliyeko tanzania kwao ni India? acha wivu Bro!
 
nafikiri unahitilafu ya ubongo..wacha kukimbia wajibu na majukumu kama mzazi au wewe ni mtoto wa mwisho nisipoteze muda wangu bure
 
Hawa ishu yao iko tofauti na wewe unavyosema.
Huyu muhind kaanza kumlea huyo dogo tangu akiwa mwaka mmoja, Na kamsomesha hapohapo mwanza had kufikia miaka 8 ila imetokea huyo muhindi kahamisha makazi kwenda canada, Sasa kuna shida gani kwenda nae? kashazoea kuishi nae huyo dogo kama mwanae.
Hapo cha muhimu ni mawasiliano tu kati ya muhind, mama na mtoto mwenyewe.
 
Unafikiri kila Mhindi aliyeko tanzania kwao ni India? acha wivu Bro!

Sioni Wivu kaka,ni jambo la kusikitisha sana hili,ni Biashara ya binadamu Jiulize mtu ameondoka na mwanao lakini ameshindwa kukuachia nyumba tu ukae?Tuanzie hapo.
 
Sioni Wivu kaka,ni jambo la kusikitisha sana hili,ni Biashara ya binadamu Jiulize mtu ameondoka na mwanao lakini ameshindwa kukuachia nyumba tu ukae?Tuanzie hapo.
Vitu viwili tofauti kabisa.

by the way uhusiano wa Baba mtoto na MAMA mtoto sio mzuri, means hawaishi pamoja.

Then Nyumba angeachiwa nani? je, unajua ni nyumba ya aina gani (maintanance)?

Mhindi kaplay a very vital role hapo, baba angeachiwa nyumba si ndio mngekuwa na ushahidi tosha kuwa kumuuza mtoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…