GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tusichoshane nendeni Wasafi FM huko mkamsikie Wenyewe. Mnajifanya mna Hela zisizo na Kazi kumbe ni Masikini tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchawi si lazima uvae kanikiTusichoshane nendeni Wasafi FM huko mkamsikie Wenyewe. Mnajifanya mna Hela zisizo na Kazi kumbe ni Masikini tu.
Leo Baba Levo ambaye ni mwana Yanga SC Mwenzenu na Kutwa anaisema Simba SC amekuwa Muhuni na Mbaya Kwenu?Unamsikiliza huyo muhuni alisema angekua demu angemzalia mtoto Diamond...
Mkuu wacha tujikite na kesho panapo majaaliwa naona umekuja na nguvu ya ushindi sijui umeitoa wapi wakati siku zote ulikua unaona mnakufa..Leo Baba Levo ambaye ni mwana Yanga SC Mwenzenu na Kutwa anaisema Simba SC amekuwa Muhuni na Mbaya Kwenu?