Baba mkwe hataki nimrudishe mwanae anasema atamkanya kwa mara ya nyingine

Baba mkwe hataki nimrudishe mwanae anasema atamkanya kwa mara ya nyingine

Bora meno wataeka bandia, hao wanao uawa kabisa? Kama mimi nafunga safari naenda kumchukua sisubiri aletwe, maana mkwe mpaka kufikia hatua kuwapigia simu kwao binti shida ipo kubwa na amefika mwisho
Huyo baba kamchoka binti yake😀
 
Back
Top Bottom