Baba mkwe Shahidi wa Yehova kakataa mahari ya pesa, anataka apelekewe magovi matano ya watu wazima

Nenda hospital mwambie Nurse akufungashie
 
Hahahahahaha..... Sasa hayo magovi wanaenda kuyala au ?[emoji23][emoji23]
 
Mbona fasta tu kuna kampeni ya tohara pande za ujaluoni huko unga tela wakikata ww beba govi baba mkwe akachemshe supu . Usilie lie
 
Si unampa laki Dr pale Amana Hospital anakukusanyia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…