Nigga What
Senior Member
- May 1, 2021
- 164
- 448
mmmh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu atalitupia mgongo Taifa la tz sio mda kutokana na Mambo yanayoendelea,"Hakuna picha inayoonesha marehemu alijinyonga au ananing'inia, ukweli wake ndio uliomponza, marehemu alisema kwanini nihangaishwe wakati mimi nilitumwa? wakubwa wenyewe wapo, mimi nilikuwa ni mtekelezaji"
Gaitan Mahembe, baba mzazi wa Greyson Mahembe, askari anayedaiwa kujinyonga https://t.co/QyZRDHG7tF
Kupitia DarMpya Blog imeripotiwa kuwa baba mzazi wa Polisi anayedaiwa kujinyonga akiwa mahabusu akiwa ni miongoni mwa polisi waliokuwa wakishikiliwa Kwa kumuua mfanya biashara na kumpora milioni 70 amezua mapya. Mzee huyo anadai kifo Cha mwanaye kinatia mashaka mno na Kuna uwezekano mwanaye huyo aliuawa pale alipotaka kuwachoma wakubwa waliokuwa nyuma ya mauaji ya mfanyabiashara huyoView attachment 2098697View attachment 2098699View attachment 2098700View attachment 2098701
Kwasababu Musa aliuwawa kwa kuchomwa sindano ya sumu. Uwezekano mkubwa ni askari mmoja alifanya hivyo. Wengine ni “accomplices”Baba anakiri mwanae alimuua kijana Musa asiye na hatia, naye anaomba huruma ya wananchi, kama kweli Baba mzazi anakili mwanae aliua, hata angebaki Hai si Bado hukumu yake ingekua kunyongwa hadi kufa....
Wafanye wafanyayo,mwisho wao upo tu!Muhalifu yeyote huwa hana akili ya kuficha ushahidi wote.Ipo siku tu.Kwasababu Musa aliuwawa kwa kuchomwa sindano ya sumu. Uwezekano mkubwa ni askari mmoja alifanya hivyo. Wengine ni “accomplices”
Yaani haya majibu ya polisi yananifanya nielewe polisi wanahisi raia akili hatuna.Babake marehemu kasema kawaida tukio la kujinyonga ilibidi apigwe picha au ndugu aitwe kushuhudia .lkn yote hayo hayakufanyika.Na bado tuwaamini marehemu alijinyonga tena mbaya zaidi na tambara la deki?Tena akiwa mahabusu. Hilo tambara la deki lenye urefu wa kutosha kujinyonga na uimara wa kubeba mtu mzima let say kg 70 ni la aina gani?Tambarara la deki ni nguo chakavu na haina uwezo wa kubeba kilo 70
Je ni kazi gani ya uaskari ina baraka?"Hakuna picha inayoonesha marehemu alijinyonga au ananing'inia, ukweli wake ndio uliomponza, marehemu alisema kwanini nihangaishwe wakati mimi nilitumwa? wakubwa wenyewe wapo, mimi nilikuwa ni mtekelezaji"
Gaitan Mahembe, baba mzazi wa Greyson Mahembe, askari anayedaiwa kujinyonga https://t.co/QyZRDHG7tF
Kupitia DarMpya Blog imeripotiwa kuwa baba mzazi wa Polisi anayedaiwa kujinyonga akiwa mahabusu akiwa ni miongoni mwa polisi waliokuwa wakishikiliwa Kwa kumuua mfanya biashara na kumpora milioni 70 amezua mapya. Mzee huyo anadai kifo Cha mwanaye kinatia mashaka mno na Kuna uwezekano mwanaye huyo aliuawa pale alipotaka kuwachoma wakubwa waliokuwa nyuma ya mauaji ya mfanyabiashara huyoView attachment 2098697View attachment 2098699View attachment 2098700View attachment 2098701
Na kisheria kama main actor amefariki, accomplices wanaweza kuachiwa kwa kuwa muuaji hajapatikana na hatia Kwa kuwa ameshafarikiKwasababu Musa aliuwawa kwa kuchomwa sindano ya sumu. Uwezekano mkubwa ni askari mmoja alifanya hivyo. Wengine ni “accomplices”
Haiendi hivyo.Na kisheria kama main actor amefariki, accomplices wanaweza kuachiwa kwa kuwa muuaji hajapatikana na hatia Kwa kuwa ameshafariki
Inaendaje?Haiendi hivyo.