scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Haya mambo ya malezi ni kumuomba Mungu,japo mzazi inabidi uplay part yako ili usije kujilaumuKuna MTU Leo kasema watoto wanaolelewa na singlemoms ndo huishia kuishia kuwa mashoga na wasagaji.Sikuzote jibu langu kwa ajionae yupo perfect na mie ni mdhambi ni "sawa Mkuu"
KemilembeNazan ni usagara pale ukishapita misungw....nliona leo au Jana wanaaga mwili wake pale
Hakika...maana watoto wa Will Smith malezi gani wamekosa pale...lakini bado wamegawana majukumu mmoja shoga Mwingine msagajiHaya mambo ya malezi ni kumuomba Mungu,japo mzazi inabidi uplay part yako ili usije kujilaumu
Mbona umechukia hivi?sasa ukiwa unamtoto wako wa kike we upo kwako,anayoyafanya unayajuaje na unayadhibitije?Hakuna mzazi ambaye Hana nasaha Kila anapoonana naye.Je hujaona mateja?mashoga?je mzazi awajibike kwenye nn wakati yeye ashatoa nasaha unatakaje tena wakati kusikia Kwa kenge??Shenzi kabisa na haya ni mawazo ya kishetani na kichawi usijifanye msomi vyeti ukadharau wazazi nguruwe wewe ht maandiko ktk amri 10 yamezungumza khs wazazi mpuuz wewe huna akili bila Mungu wewe ni bichwa maji na wakala wa pepo
Sidhani kama wamemuua kwa sababu hiyo, SIDHANI
Bariadi-simiyuKwanza kwao ni wapi huyu dada?
Huyu mzee ilitakiwa atulie kwanza kipindi hiki kizito cha kuondokewa na mwanae.. anavyoongea hivyo anawatengenezeamedia hela kirahisi sana
Kwa Bongo hii iliyojaa wanafiki, utaishia kusaidia watu au jamii na mwsho wake uambulie mabaya.Milembe alikuwa na pesa Ila alizitumia vibaya, alifanya fimbo ya kufanyia ufedhuli, wenzie wanajitolea kwa jamii au watu wanaokuzunguka, mbele yake nyuma yetu.
Kwani huyo mzazi anatakaje na akat milembe alikua mtu mzima alikua anafanya vile ambavyo yeye anataka.Huyu mzee ilitakiwa atulie kwanza kipindi hiki kizito cha kuondokewa na mwanae.. anavyoongea hivyo anawatengenezeamedia hela kirahisi sana
Shangaaa nawee hapoo.humu kila mmoja ana tupa lawama
ila hatujifunzi kuacha matendo maovu malaya, waongo,.wasengenyaji wote tunajiona hatuna dhambi
Kila mtu anatakiwa kuishi vile ambavyo yeye anataka, wazazi wa ki Africa wanapenda kupangianaa. Ni big Nooo.Hakika...maana watoto wa Will Smith malezi gani wamekosa pale...makini bado wamegawana majukumu mmoja shoga Mwingine msagaji
Nashangaa, huo Usagaji kauanza leo, akati ni mda tyuuh.Kama swala lingekua ushoga wangemuua KITAAAMBO sana
Aaaah! kwan vipi!? Mbona jambo ndogo sana la kuelewana2Shenzi kabisa na haya ni mawazo ya kishetani na kichawi usijifanye msomi vyeti ukadharau wazazi nguruwe wewe ht maandiko ktk amri 10 yamezungumza khs wazazi mpuuz wewe huna akili bila Mungu wewe ni bichwa maji na wakala wa pepo