Uwashauri sasa baadhi ya ndugu zako. Maana hao ndiyo wako mstari wa mbele kwenye kudhihaki imani ya watu wengine.Una haki ya kuamini hivyo kwa sababu imani yako inakuambia hivyo.
Lakini pia na waislam wana haki ya kuamini kwa mujibu wa imani yao inavyo sema huo ndo unaitwa uhuru wa kuabudu.
Waislam kusema Ibrahim alikuwa muislam haikupunguzii chochote ww mpaka ukereke kwa Ibrahim kuitwa muislam.
Kila mtu ahamini kile anacho amini hakuna haja ya kudhihakiana.
Hivi ni vichwa vya Train vyenye njia tofauti za kuendesha injini,zinazotofautiana kutokana na wakati.Naomba unisaidie kufahamu. Ili uwe muislamu ni lazima ushuhudie kuwa mwenyezi mungu ni mmoja na Muhammad ni mtume wake. Yaani ni lazima utoe shahada.
Sasa nafahamu Ibrahimu alikuwepo kabla ya mtume Muhammad. Je, aliisema hii shahada au alifanyaje akawa muislamu? Asante.
Maneno matupu bila uthibitisho ni sawa na Chai tu bila sukari.Alikuwa myahudi. No 2 ways about it. Japo wazee wa kung’ang’ania vitu vya watu watadai alikuwa team mnyaazi[emoji23] jamaa hawa huenda wakadai hata baraba alikuwa mvaa kubadhi[emoji23]. Hawanaga aibu wala haya
Uislamu Hujaanza Wakati Wa Muhammad,Bali Muhammad Alirudisha Usilamu Baada ya Watu Kuwa wamerudia Ibada Za Masanamu.WALE JAMAA WAFUGA NDEVU, WAVAA KOBAZI WANAKUAMBIA ALIKUWA MUISLAMU WAKATI UISLAM UMEANZISHWA NA MUDY KARNE YA SABA.
Mkuu!Mimi kwa mtazamo wangu haijatajwa Nabii Ibrahimu (as) ana dini gani, kilichotajwa ndani ya Qur'an ni kwamba Nabii Ibrahimu alikuwa mnyenyekevu/aliyejitupa kwa Allah na hii unaweza kupata katika Qur'an 2:127-128, ambapo amemuomba Allah amfanye awe mnyenyekevu, neno unyenyekevu ndio "Islam" na mtu mnyenyekevu anaitwa "muslim" kwa kiarabu, hivyo popote nabii Ibrahimu anapotajwa ndani ya Qur'an kwa jina la la "Muslim" maana yake ni hiyo kwamba yeye ni mnyenyekevu na hata manabii wote wanabeba sifa hiyo ya kuitwa "Muslimina" yaani wanyenyekevu mbele ya Allah.
Kitu kinacho wachanganya watu ni kuona manabii wameitwa Muslimina na hivyo kusema kwamba wao ni Waisilamu waliofuata dini ya Kiisilamu dini hii iliyoanzishwa na mtukufu mtume Muhammad (saw)-- kitu ambacho sio sahihi kwani Dini hii ya kiisilamu imejengwa katika nguzo 5 na nguzo ya kwanza (shahadatein) ambayo ili uwe muisilamu lazima uitamke katika kila swala (katika kikao cha attahiyyatu) nk, je kama nabii Ibrahimu alikuwa mfuasi wa dini hii (hata kabla haijaanzishwa) alikuwa akitoa hii shahada hii?? je alifunga swaumu hii ya Ramafhani??, kuna maswali mengi kwa wale wanaoshindwa kujua Nabii Ibrahimu anapoitwa Muslim ina maana gani!!.
Hivyo nabi Ibrahimu (as) ni Muslim kwa maana ya unyenyekevu na sio Muslim kwa maana kwamba yeye ni mfuasi wa dini hii ya Kiisilamu dini iliyoanzishwa na mtukufu mtume Muhammad (saw) ambayo imejengwa katika nguzo tano, na manabii wote wameitwa Muslim kwa maana hiyo ya kuwa wao ni wanyenyekevu mbele ya Allah.
Mkuu!
Unaielezeaje hii aya?
وَجَاهِدُوا فِي اللَّهِ حَقَّ جِهَادِهِ ۚ هُوَ اجْتَبَاكُمْ وَمَا جَعَلَ عَلَيْكُمْ فِي الدِّينِ مِنْ حَرَجٍ ۚ مِّلَّةَ أَبِيكُمْ إِبْرَاهِيمَ ۚ هُوَ سَمَّاكُمُ الْمُسْلِمِينَ مِن قَبْلُ وَفِي هَـٰذَا لِيَكُونَ الرَّسُولُ شَهِيدًا عَلَيْكُمْ وَتَكُونُوا شُهَدَاءَ عَلَى النَّاسِ ۚ فَأَقِيمُوا الصَّلَاةَ وَآتُوا الزَّكَاةَ وَاعْتَصِمُوا بِاللَّهِ هُوَ مَوْلَاكُمْ ۖ فَنِعْمَ الْمَوْلَىٰ وَنِعْمَ النَّصِيرُ
(AL -HAJJ - 78)
Na fanyeni juhudi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu kama inavyo stahiki jihadi yake. Yeye amekuteueni. Wala hakuweka juu yenu mambo mazito katika Dini. Nayo ni mila ya baba yenu Ibrahim. Yeye (Mwenyezi Mungu) alikuiteni Waislamu tangu zamani, na katika hii (Qur'ani) pia, ili awe Mtume shahidi juu yenu, na nyinyi muwe mashahidi kwa watu. Basi shikeni Sala na toeni Zaka na shikamaneni na Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye Mlinzi wenu, Mlinzi bora kabisa, na Msaidizi bora kabisa.
22:78 Quran
Strive for ˹the cause of˺ Allah in the way He deserves, for ˹it is˺ He ˹Who˺ has chosen you, and laid upon you no hardship in the religion—the way of your forefather Abraham. ˹It is Allah˺ Who named you ‘the ones who submit’1 ˹in the˺ earlier ˹Scriptures˺ and in this ˹Quran˺, so that the Messenger may be a witness over you, and that you may be witnesses over humanity. So establish prayer, pay alms-tax, and hold fast to Allah. He ˹alone˺ is your Guardian. What an excellent Guardian, and what an excellent Helper!
Umeeleza na kufafanua vizuri mkuu🙏Mimi kwa mtazamo wangu haijatajwa Nabii Ibrahimu (as) ana dini gani, kilichotajwa ndani ya Qur'an ni kwamba Nabii Ibrahimu alikuwa mnyenyekevu/aliyejitupa kwa Allah na hii unaweza kupata katika Qur'an 2:127-128, ambapo amemuomba Allah amfanye awe mnyenyekevu, neno unyenyekevu ndio "Islam" na mtu mnyenyekevu anaitwa "muslim" kwa kiarabu, hivyo popote nabii Ibrahimu anapotajwa ndani ya Qur'an kwa jina la la "Muslim" maana yake ni hiyo kwamba yeye ni mnyenyekevu na hata manabii wote wanabeba sifa hiyo ya kuitwa "Muslimina" yaani wanyenyekevu mbele ya Allah.
Kitu kinacho wachanganya watu ni kuona manabii wameitwa Muslimina na hivyo kusema kwamba wao ni Waisilamu waliofuata dini ya Kiisilamu dini hii iliyoanzishwa na mtukufu mtume Muhammad (saw)-- kitu ambacho sio sahihi kwani Dini hii ya kiisilamu imejengwa katika nguzo 5 na nguzo ya kwanza (shahadatein) ambayo ili uwe muisilamu lazima uitamke katika kila swala (katika kikao cha attahiyyatu) nk, je kama nabii Ibrahimu alikuwa mfuasi wa dini hii (hata kabla haijaanzishwa) alikuwa akitoa hii shahada hii?? je alifunga swaumu hii ya Ramafhani??, kuna maswali mengi kwa wale wanaoshindwa kujua Nabii Ibrahimu anapoitwa Muslim ina maana gani!!.
Hivyo nabi Ibrahimu (as) ni Muslim kwa maana ya unyenyekevu na sio Muslim kwa maana kwamba yeye ni mfuasi wa dini hii ya Kiisilamu dini iliyoanzishwa na mtukufu mtume Muhammad (saw) ambayo imejengwa katika nguzo tano, na manabii wote wameitwa Muslim kwa maana hiyo ya kuwa wao ni wanyenyekevu mbele ya Allah.
Ibrahim alimzaa ISAKAIbrahimu hakuwa myahudi bali alikuwa mkurdi kutoka Iraq.
Uthibitisho unaotaka wewe ni upi? Nenda kamfufue huko middle east umuulize, vinginevyo hakuna mahali utapata huo uthibitisho. Kila mtu atakuja na jibu lake.Maneno matupu bila uthibitisho ni sawa na Chai tu bila sukari.
Na unasema alikuwa dini gani ambayo alitoka nayo huko iraq?Ibrahimu hakuwa myahudi bali alikuwa mkurdi kutoka Iraq.
Bora wewe unayejaribu kuyafundisha haya mapumbavu yanayocrame lugha za mudi na ndugu zake bila kufikiriaKitu kinacho wachanganya watu ni kuona manabii wameitwa Muslimina na hivyo kusema kwamba wao ni Waisilamu waliofuata dini ya Kiisilamu dini hii iliyoanzishwa na mtukufu mtume Muhammad (saw)-- kitu ambacho sio sahihi kwani Dini hii ya kiisilamu imejengwa katika nguzo 5 na nguzo ya kwanza (shahadatein) ambayo ili uwe muisilamu lazima uitamke katika kila swala (katika kikao cha attahiyyatu) nk, je kama nabii Ibrahimu alikuwa mfuasi wa dini hii (hata kabla haijaanzishwa) alikuwa akitoa hii shahada hii?? je alifunga swaumu hii ya Ramafhani??, kuna maswali mengi kwa wale wanaoshindwa kujua Nabii Ibrahimu anapoitwa Muslim ina maana gani!!.
kwa hiyo Yesu alikuwa Dini gani?Katika kuukuta UKRISTO safari ilianza hivi-
1- IBRAHIMU ALIMZAA ISAKA.
2- ISAKA ALIWAZAA ESAU NA YAKOBO.
3- YAKOBO alizaa mataifa 12 ya ISRAEL.
Katika mtiririko huu wa vizazi baada ya vizazi UNAKUTANA na kuzaliwa kwa YESU KRISTO ambaye HAKUJA kuitengua Torati Bali KUITIMILIZA. matukio yote , matendo yake yote yalifanyika kwa WAYAHUDI.
kifo chake na ufufuko wake, ndiyo UKRISTO ulipotapakaa na kutufikia hadi sisi huku nje ya UYAHUDI. ndo maana ya HABARI NJEMA KWA WOTE.
Sie African kipindi hicho tulikuwa wapKatika kuukuta UKRISTO safari ilianza hivi-
1- IBRAHIMU ALIMZAA ISAKA.
2- ISAKA ALIWAZAA ESAU NA YAKOBO.
3- YAKOBO alizaa mataifa 12 ya ISRAEL.
Katika mtiririko huu wa vizazi baada ya vizazi UNAKUTANA na kuzaliwa kwa YESU KRISTO ambaye HAKUJA kuitengua Torati Bali KUITIMILIZA. matukio yote , matendo yake yote yalifanyika kwa WAYAHUDI.
kifo chake na ufufuko wake, ndiyo UKRISTO ulipotapakaa na kutufikia hadi sisi huku nje ya UYAHUDI. ndo maana ya HABARI NJEMA KWA WOTE.
wajinga ndio wanaoliwa!Wafia dini watakuambia alikuwa muislam, nimenunua mada ngoja nishukiwe vikali na hao wafia dini, nawasubiri kwa hamu tunyukane kihoja
Eti Wakristo wote!! Unaposema wote unamjumuisha hadi huyu Yohana jirani yangu? 😂Wakristo wote wanafahamu Ukristo ulianza baada ya Yesu kuja na kwamba agano la kale liliandikwa na watu wa dini ya Uyahudi. Sijui wewe hizi porojo zako na matango pori uliyoandika hapa ulilishwa na nani?!
Hicho kitabu chenyewe sasaSurah 3 Ali 'Imran, Ayat 67-67
مَا كَانَ اِبۡرٰهِيۡمُ يَهُوۡدِيًّا وَّلَا نَصۡرَانِيًّا وَّ لٰكِنۡ كَانَ حَنِيۡفًا مُّسۡلِمًا ؕ وَمَا كَانَ مِنَ الۡمُشۡرِكِيۡنَ ﴿3:67﴾
(3:67) Abraham was neither a Jew nor a Christian; he was a Muslim, wholly devoted to God.59 And he certainly was not amongst those who associate others with Allah in His divinity.
مَا كَانَ إِبْرَاهِيمُ يَهُودِيًّا وَلَا نَصْرَانِيًّا وَلَـٰكِن كَانَ حَنِيفًا مُّسْلِمًا وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ
(AL I'MRAN - 67)
Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.
ANAYEPINGA APINGE KWA MAANDIKO.
Ibrahim alimzaa Ishmael,Ibrahim alimzaa ISAKA
Isaka akamzaa YAKOBO
Yakobo akazaa wana 12 ambao ndiyo makabila 12 ya Israel (Wayahudi).
So, kama Ibrahim ndiye chanzo cha hao Wayahudi, jibu ni wazi tu kuwa alikuwa Myahudi
Jibu hoja acha dharau.WALE JAMAA WAFUGA NDEVU, WAVAA KOBAZI WANAKUAMBIA ALIKUWA MUISLAMU WAKATI UISLAM UMEANZISHWA NA MUDY KARNE YA SABA.