AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
Tuanze na yeye mwenye kitabu chake biblia...wapi IBRAAHIM ALIAMINI KATIKA UTATU MTAKATIFU, WAPI IBRAAHIIM ALIAMINI KATIKA YESU KUWA MWANA WA MUNGU NA NI MUNGU...BASI KAMA HAITOSHI LETA ANDIKO KWENYE BIBLIA LINALOSEMA IBRAAHIIM ALIKUWA MKRISTO...Hakuna sehemu yoyote Muislamu katumia biblia kutoa hoja.Kama unaushahidi weka hapa.
Bali waislamu hutumia vitabu vya Mungu alivyowapa manabii wake ambavyo ni Torati,Zaburi,Injili na vingine.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Tutawapa andiko kwenye Quran linalosema IBRAAHIM ALIKUWA MUISLAAM NA ALITAMKA MWENYEWE...NA ALIMUOMBA MUNGU WAKE AWE MUISLAAM...