Badala ya kukomaa na historia ya mababu zenu mnakomaa na historia ya mababu wa huko mbali ambapo hata hawawapendi, yaani nasikitika sana kutokujua jina la Babu wa Babu yangu back to almost year 1800 wakati likija suala la Israel n the neighbors mtu unamsoma aliyeishi miaka 2000 iliyopita, naumia sana basi tuhili swali nalikalibisha tu,kwa watu wenye uelewe wa mambo ya Dini.
Huyu ni nabii na mtume wa Mwenyezi Mungu,ambaye anakubaliki na Dini zote,kuanzia Uyahudi,Ukristo mpaka Uisilamu,na hawa wote ibada zao zimetofautiana.
Je niwapi wanaomfata?