Baba wa Manabii na Mitume wote Ibrahimu au Abrahamu alikuwa Dini gani?

Baba wa Manabii na Mitume wote Ibrahimu au Abrahamu alikuwa Dini gani?

Na anakuwaje Mkristo wakati UKRISTO haukuwepo? Wewe ni zee jinga 😁😁😁
Wapi nimesema alikuwa mkristo? Usiende kama ling’ombe. Yesu mwenyewe hakuwa mkristo sasa waliomtangulia wanakuaje wakristo? Only mpumbavu atafikiria kama unavyofikiria wewe
 
Wapi nimesema alikuwa mkristo? Usiende kama ling’ombe. Yesu mwenyewe hakuwa mkristo sasa waliomtangulia wanakuaje wakristo? Only mpumbavu atafikiria kama unavyofikiria wewe
Afadhari Mimi ng'ombe huwa sili MAVI 😁😁

ila wewe NGURUWE unakula mavi yako!

Kama hakuwa Mkristo au Muislamu haikutakiwa kushutumu imani za watu wengine!

Umeficha kichwa mchangani unaacha Mkund* juu


Lazima tukupige kidole🖕
Tuone wewe ni Mpagani au mkristo😁😁😁
 
Ibrahimu hajawai kuwepo hizo n stor za uzushi zisizo na uthibitisho wa kihistoria, tukisema mtuoneshe aliishi wap na mwaka upi kwa ushahid upi nje ya vitabu vya dini mtaweza?
 
Afadhari Mimi ng'ombe huwa sili MAVI 😁😁

ila wewe NGURUWE unakula mavi yako!

Kama hakuwa Mkristo au Muislamu haikutakiwa kushutumu imani za watu wengine!

Umeficha kichwa mchangani unaacha Mkund* juu


Lazima tukupige kidole🖕
Tuone wewe ni Mpagani au mkristo😁😁😁
Wewe umeanza kuwaza mikund*|*^ bila shaka wanakubandua
 
Mkuu!Kwa kuwa kila Dini ina maandiko inayodai ni ya Mungu,basi swala la Ibrahim alikuwa Dini gani?Linapaswa kujibiwa na Mungu wa dini husika.
Sasa je!Dini ya Uyahudi imetaja Ibrahim kuwa ni Muyahudi?Je!Dini ya Ukristo imemtaja Ibrahim kuwa ni mkristo?Na je!Dini ya Uislamu Imemtaja Ibrahim kuwa ni Muislamu?.

Sasa kwa mimi Muislamu naona Mungu amemtaja Ibrahim kuwa ni Muislamu:

مَا كَانَ إِبْرَاهِيمُ يَهُودِيًّا وَلَا نَصْرَانِيًّا وَلَـٰكِن كَانَ حَنِيفًا مُّسْلِمًا وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ

(AL I'MRAN - 67)
Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.
Ibrahim hawezi kuwa Muislam kwa sababu UISLAM HAUKUWAHI KUWEPO wakati wake.
Uislam umekuja Karne ya saba na umeletwa na Mohamad.
 
Mimi simjuzi sana ila uchache wangu wa elimu jibu lako ni kuwa:
1. Shahada hutumiwa kwa mtu aletoka kwenye dini nyengine kuingia kwenye uislam, kwa mfano wa Abraham yeye hakuwa katika dini nyengine kwa hio hakusilimu.
2. Kwa kilamtume kutoka Adam wanaposilimu huwa wanatoa shahada kwa kukubali kuwa Muungu ni mmoja na mtume wa wakati huo kuwa ni mtume wa Muunge kwamfano kipindi cha Abraham utashahadia kwa kusema Allan ni mmoja na Abraham ni mtume wa Allah, kipindi cha Yesu (Issa bin maryyam) utashuhudia kuwa Allah ni mmoja naYesu ni mtume wa Allah nk
3. Shahada yeyote huwa ina maneneo ya kumtambua kuwa Allah ni mmoja na kwa upande wa pili Mtume wa wakati husika ni mjumbe wa Allah.
Ndio maana kwa waislamu lazima uwaamini mitume yote yaloopita ni sharti na siombi, kwa kuwa wote wametumwa na Allah
Hiyo shahada ya kumkiri mtume wa wakati husika inapatikana wapi?

Kwa nini mnaongea hewani tu bila ushahidi?

IWEKE HAPA HIYO SHAHADA ya kumkiri mtume/nabii Ibrahim, Musa au Adam. IWEKE HAPA
 
Ibrahim alimzaa Ishmael,
Ishmael akamzaa KEDARI,
KEDARI akazaa wana 12 ambao ndiyo makabila 12 ya waarabu (Waislamu).
So, kama Ibrahim ndiye chanzo cha hao Waislamu, jibu ni wazi tu kuwa alikuwa Muislamu.


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani kirahisi tu!.
Unanukuu Biblia( unayodai imechakachuliwa) ili kuprove Uislam [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hivi hiyo Quran yenu huwa haijitoshelezagi?
 
hili swali nalikalibisha tu,kwa watu wenye uelewe wa mambo ya Dini.

Huyu ni nabii na mtume wa Mwenyezi Mungu,ambaye anakubaliki na Dini zote,kuanzia Uyahudi,Ukristo mpaka Uisilamu,na hawa wote ibada zao zimetofautiana.

Je niwapi wanaomfata?


Lazima ujue imani sio historia. Vitu ambavyo vimeandikwa kwenye vitabu vya dini hasa watu hakuna ushahidi wa kibiologia ni imani tu . Hivyo usiseme mambo ya imani kama ni historia yana uhakika kwako sio kwa kila mtu
 
Hiyo shahada ya kumkiri mtume wa wakati husika inapatikana wapi?

Kwa nini mnaongea hewani tu bila ushahidi?

IWEKE HAPA HIYO SHAHADA ya kumkiri mtume/nabii Ibrahim, Musa au Adam. IWEKE HAPA
Unajuwa maana ya shahada?
 
Wapi nimesema alikuwa mkristo? Usiende kama ling’ombe. Yesu mwenyewe hakuwa mkristo sasa waliomtangulia wanakuaje wakristo? Only mpumbavu atafikiria kama unavyofikiria wewe
WEWE NDIO YALE MAJITU MWALIM ANAFUNDISHA DARASANI POINT MUHIMU HAYAZINGATII...

NIMEKWAMBIA...DINI NI ITIKADI...ITIKADI YA DINI YA KIKRISTO NI NINI? JE ITIKADI HIYO ALIKUWA NAYO IBRAAHIIM...? KAMA ALIKUWA NA ITIKADI KAMA WAKRISTO HIVI LEO...BASI IBRAAHIIM ALIKUWA MKRISTO...
 
Back
Top Bottom