mudy92
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 671
- 531
Na anakuwaje Mkristo wakati UKRISTO haukuwepo? Wewe ni zee jinga 😁😁😁We ni moja ya yale majitu tunaita makubwa jinga. Sasa anakuaje muislamu wakati uislamu haukuwepo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na anakuwaje Mkristo wakati UKRISTO haukuwepo? Wewe ni zee jinga 😁😁😁We ni moja ya yale majitu tunaita makubwa jinga. Sasa anakuaje muislamu wakati uislamu haukuwepo?
Wapi nimesema alikuwa mkristo? Usiende kama ling’ombe. Yesu mwenyewe hakuwa mkristo sasa waliomtangulia wanakuaje wakristo? Only mpumbavu atafikiria kama unavyofikiria weweNa anakuwaje Mkristo wakati UKRISTO haukuwepo? Wewe ni zee jinga 😁😁😁
Afadhari Mimi ng'ombe huwa sili MAVI 😁😁Wapi nimesema alikuwa mkristo? Usiende kama ling’ombe. Yesu mwenyewe hakuwa mkristo sasa waliomtangulia wanakuaje wakristo? Only mpumbavu atafikiria kama unavyofikiria wewe
Vyema sana, upumbavu ni sifa ya wapumbavu, umekuja hapa kujadili upumbavu au mada iliyopo?Acha umbumbumbu. Umri umeenda
Wewe umeanza kuwaza mikund*|*^ bila shaka wanakubanduaAfadhari Mimi ng'ombe huwa sili MAVI 😁😁
ila wewe NGURUWE unakula mavi yako!
Kama hakuwa Mkristo au Muislamu haikutakiwa kushutumu imani za watu wengine!
Umeficha kichwa mchangani unaacha Mkund* juu
Lazima tukupige kidole🖕
Tuone wewe ni Mpagani au mkristo😁😁😁
You ain't making any damn senseVyema sana, upumbavu ni sifa ya wapumbavu, umekuja hapa kujadili upumbavu au mada iliyopo?
. Ukipata jibu utaelewa ni nani mpumbavu.
Who gives a damn?You ain't making any damn sense
Ibrahim hawezi kuwa Muislam kwa sababu UISLAM HAUKUWAHI KUWEPO wakati wake.Mkuu!Kwa kuwa kila Dini ina maandiko inayodai ni ya Mungu,basi swala la Ibrahim alikuwa Dini gani?Linapaswa kujibiwa na Mungu wa dini husika.
Sasa je!Dini ya Uyahudi imetaja Ibrahim kuwa ni Muyahudi?Je!Dini ya Ukristo imemtaja Ibrahim kuwa ni mkristo?Na je!Dini ya Uislamu Imemtaja Ibrahim kuwa ni Muislamu?.
Sasa kwa mimi Muislamu naona Mungu amemtaja Ibrahim kuwa ni Muislamu:
مَا كَانَ إِبْرَاهِيمُ يَهُودِيًّا وَلَا نَصْرَانِيًّا وَلَـٰكِن كَانَ حَنِيفًا مُّسْلِمًا وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ
(AL I'MRAN - 67)
Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.
Endelea kujifurahisha.Ibrahim hawezi kuwa Muislam kwa sababu UISLAM HAUKUWAHI KUWEPO wakati wake.
Uislam umekuja Karne ya saba na umeletwa na Mohamad.
Hiyo shahada ya kumkiri mtume wa wakati husika inapatikana wapi?Mimi simjuzi sana ila uchache wangu wa elimu jibu lako ni kuwa:
1. Shahada hutumiwa kwa mtu aletoka kwenye dini nyengine kuingia kwenye uislam, kwa mfano wa Abraham yeye hakuwa katika dini nyengine kwa hio hakusilimu.
2. Kwa kilamtume kutoka Adam wanaposilimu huwa wanatoa shahada kwa kukubali kuwa Muungu ni mmoja na mtume wa wakati huo kuwa ni mtume wa Muunge kwamfano kipindi cha Abraham utashahadia kwa kusema Allan ni mmoja na Abraham ni mtume wa Allah, kipindi cha Yesu (Issa bin maryyam) utashuhudia kuwa Allah ni mmoja naYesu ni mtume wa Allah nk
3. Shahada yeyote huwa ina maneneo ya kumtambua kuwa Allah ni mmoja na kwa upande wa pili Mtume wa wakati husika ni mjumbe wa Allah.
Ndio maana kwa waislamu lazima uwaamini mitume yote yaloopita ni sharti na siombi, kwa kuwa wote wametumwa na Allah
Give me any proof kuwa Uislam ulikuwepo labla ya Mohamad.Uislamu Hujaanza Wakati Wa Muhammad,Bali Muhammad Alirudisha Usilamu Baada ya Watu Kuwa wamerudia Ibada Za Masanamu.
Unanukuu Biblia( unayodai imechakachuliwa) ili kuprove Uislam [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ibrahim alimzaa Ishmael,
Ishmael akamzaa KEDARI,
KEDARI akazaa wana 12 ambao ndiyo makabila 12 ya waarabu (Waislamu).
So, kama Ibrahim ndiye chanzo cha hao Waislamu, jibu ni wazi tu kuwa alikuwa Muislamu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani kirahisi tu!.
hili swali nalikalibisha tu,kwa watu wenye uelewe wa mambo ya Dini.
Huyu ni nabii na mtume wa Mwenyezi Mungu,ambaye anakubaliki na Dini zote,kuanzia Uyahudi,Ukristo mpaka Uisilamu,na hawa wote ibada zao zimetofautiana.
Je niwapi wanaomfata?
Jibu swali umeulizwa hapo.Who gives a damn?
Unajuwa maana ya shahada?Hiyo shahada ya kumkiri mtume wa wakati husika inapatikana wapi?
Kwa nini mnaongea hewani tu bila ushahidi?
IWEKE HAPA HIYO SHAHADA ya kumkiri mtume/nabii Ibrahim, Musa au Adam. IWEKE HAPA
Unajuwa maana ya shahada?Jibu swali umeulizwa hapo.
Hiyo shahada ya kumkiri mtume wa wakati husika inapatikana wapi?
Jibu swali afu utauliza swali lakoUnajuwa maana ya shahada?
WEWE NDIO YALE MAJITU MWALIM ANAFUNDISHA DARASANI POINT MUHIMU HAYAZINGATII...Wapi nimesema alikuwa mkristo? Usiende kama ling’ombe. Yesu mwenyewe hakuwa mkristo sasa waliomtangulia wanakuaje wakristo? Only mpumbavu atafikiria kama unavyofikiria wewe