Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

Mfumo wa utoaji HAKI Nchini umemuonea sana huyu Mchungaji, kwanini asitozwe faini ndogo tu ili arudi lufanya shughuli zake na familia yake.
 
Mkuu adhabu sio kifungo tu inaweza kuwa kufungiwa Kanisa,faini au kifungo inatokana na jinsi unavyojitetea sasa yeye inawezekana ameleta usela mavi mahakamani
 
Kwani kafungwa kwa kosa gani mkuu?
Km ni kuzusha uongo kesi ingekuwa ni hiyo.
Ila kosa lililompeleka jela ni kumiliki kanisa bila vibali.
Tujadili hilo sio hisia zako
Kumiliki Kanisa bila kibali ni kosa kisheria hata Mwambukusi amekiri hilo ndio maana amesema kosa hilo lina faini au kifungo sasa Hakimu ameamua kifungo watakata rufaa
 
Mkuu taratibu, hapa unavuka mipaka. Kumbuka unayemuongelea ni Rais wa nchi. Hebu kuwa na heshima basi na lugha ya staha.
 
Dawa Juma walisema nyimbo zake za Kisukuma zina maudhui ya kumtukana Raisi kwa kusema "Laisi ng'wenye ushungi" na sasa huyu Mchungaji nae kafungwa wanasema "Kanisa lake halina kibali"

Hawa watu wawili wana one thing in common wametumia haki yao ya Kikatiba "uhuru wa kutoa maoni" dhidi ya Wanaotutawala.

Hawa ni wafungwa wa kisiasa.

Swali langu kwa Samia hizo RRRR ni kweli uko serious mbona huonyeshi tofauti kati yako na mtangulizi wako?
 
Mkuu taratibu, hapa unavuka mipaka. Kumbuka unayemuongelea ni Rais wa nchi. Hebu kuwa na heshima basi na lugha ya staha.
Hv mkuu, ukisikia ccm inatenga pesa kila mwaka kununua magari, ukisikia bilioni 600 zimepigwa kwa stakabdhi feki, ukisikia maofisa wa uhamiaji, walipiga billions kadhaa kwa kuuza visa feki, na hao wafsnyakazi bado wapo ofisini wanakula bata(yupo classmate wangu, kajenga mansion kama ya bakheresa), unalipa Kodi, pesa, zinatumika vibaya, bro unaelewa wizi, uliopo kwenye haramashauri!
Sasa, hapa anayevuka mipaka nani mkuu? Mimi mlipa Kodi, au, Mkuu wa, nchi(muajiri mkuu) anayeshindwa kuendesha nchi?
Kama hauna hasira mkuu, basi, wewe hauishi bongo,
Am not apologetic for my words,
Mambo yakienda hovyo,wa kulaumiwa ni raisi,
Anateua kuanzia maofisa wa ikulu, majaji, na viongozi, wote wa mikoa na halmashauri,
The buck stops at her!
 
MBARIKIWA ni mgonjwa wa akili....
 
[emoji1732][emoji109][emoji106][emoji2788][emoji271][emoji2956][emoji1720][emoji7][emoji120]
 
Hilo kanisa analomiliki bila vibali ndilo anaeneza itikadi ya chuki. Kwa hiyo amehukumiwa kumiliki kanisa kinyume na sheria za Serikali. Unataka tujadili nini zaidi?

Acheni kuendekeza vichaa, tuna mengi ya kufanya
[emoji7][emoji2956][emoji2956]
 
Nonsense, mnachuja mbu mnameza ngamia. Watembea uchi, waimbaji wa matusi na ngono hamuwakamati, majizi na mabadhilifu hamkamati. Mungu wao yu hai, atawatetea.
Gharika zinapotokea Mungu huwa HAI...

Yuko HAI siku zote....
 
Baba yako wa kufikia niko na mama yako hapa ananirembulia macho baada ya kumnyoosha "kimoja"...

Mama yako mzazi anatupenda sana vijana kwa kuwa baba yako hana nguvuuuur za kiumeeeer....

Wiki ijayo ninamuandalia mtungo na masela akina Zondo...

Upo mwanangu?!!!
 
Mapinduzi kwa watawala yataanzia Mbeya, Songwe na Mara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…