Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Watanzania ni wazito...Sheria za wapi hizi? Kwamba ukiwa mpole hata kama huna vibali unaruhusiwa kufanya kazi, haiwezekani mtu aoperate miaka mitatu ndo wahusika wagundue Hana vibali, wanafanya kazi Gani sasa?
Au ndo Yale ya the cask kuonyesha bango la kupinga dp world... Kesho yake halmashauri na tra wakafurika bar kuwafungia kua hawana vibali?
Ukivuka mipaka.....Walimpania
Ni kufungiwa hilo kanisaSheria inayoruhusu kuanzisha nyumba za ibada inasemaje ikibainika nyumba ya ibada haina usajili?
.....mbwa juu ya paa amepandishwa....Huyu mwamba, huwa namsikiliza tiktok na wale wakina mama wanaomzunguka asilimia kubwa huwa ni kupambana na serikali na kuikosoa kuliko kuikosoa serikali ya ufalme wa ibirisi na hila zake.
Kwa jinsi alivyomkakamavu, naona kama hiyo qdhabu haitafua dafu kwake. Akitoka ataendeleza harakati zake tu.
[emoji1787]Mkuu,ukijibiwa nitag.
Akianzisha jingine tena bila usajili?Ni kufungiwa hilo kanisa
Bado anaejiona nyani wafungwe tu wakome kufata mkumboMchungaji Pastor Mwakipesile ambaye mtoto wake Sifa Bujune alikamatwa kwa kosa la kusambaza uongo kwa kuimba wimbo wa Mnatuona Manyaji amehukumiwa miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila ya kuwa na kibali.
Taarifa kutoka kwa Maria Sarungi
===
View attachment 2766356
Vibali vivunje haki za kikatiba na kibinadamu ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]Serikali inatumia vibali kufanya censorship.
Hapa tunaona kabisa habari ya vibali imekuja baada ya mtoto wa mchungaji kutoa wimbo ambao serikali haikuupenda.
Serikali haihitaji usajili ili kudhibiti jinai, mbona mitaani kuna nyumba kibao hazina usajili na serikali bado inaweza kudhibiti jinai?
Hawa wachungaji wakifanya jinai, wsshitakiwe, lakini tusilazimishe vibali, vinavunja haki za kikatiba na za kibinadamu.
Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Tawala na hayo mambo wapi na wapi ? !!![emoji15][emoji1787][emoji1787]AView attachment 2766384
Jesus Christ he is crying, for his servant mwakipesile soon he will do something. Aonywaye mara nyingi na kushupaza shingo yake nae atavunjika ghafla Wala hatapata dawa.
Ni hayo tu waheshimiwa.
Samia ana dini...Asiye na imani ya dini ndiye amekuwa mkweli na mpenda haki kuliko wenye dini zao wanaofunga wenye dini wenzao.
Furahia Sana,Cheka Sana ndugu maana naona hii hukumu imekufurahisha sanaUpumbavu huo....
Ndio maana CHINA inakataa hizi imani zinazoondoa akili njema ya mwanadamu......
Mipika ya kuelekea nchi gani?Ukivuka mipaka.....
Kuna pande mbili tu aidha uwe kwa Mungu au shetani hakuna vuguvugu.Tawala na hayo mambo wapi na wapi ? !!![emoji15][emoji1787][emoji1787]
Serikali yetu ni TAKATIFU....haina dini.....
...maneno yako ya mwisho yalisemwa kule Zanzibar baada ya UAMSHO kutiwa ndani.....hakikutokea chochote....chochote....chochote kile.....Busara ingekuwa ni kulifunga kanisa na hio huduma kufungwa ,na sio mchungaji kufungwa
Ila kwa vile busara yao imeamua hivyo basi tuwape pongezi kwani wamejiandaa kwa matokeo yoyote dhidi ya hio hukumu.
Ni mwimbaji mzuri sana. Mpaka natamani kama angeachana mazima na hizi hekaheka za kisiasa na mapambano na watumishi wenzie akajikita kwenye kuutangaza ufalme wa Mungu. Angefika mbali sana kiutumishi ila kwa sasa CCM ninavyowafahamu hakuna rangi ambayo ataacha kuona!kwa kweli swala hili serikali imekosea pakubwa sana nitamkumbuka kwa nyimbo nzuri[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2766376
"......kwa nini msitambulike na kulindwa kisheria....".Hakuna mahali nyumba za ibada zitaanzishwa bila kuhakikisha uthibitisho wa kitakachukuwa kinafanyika kwenye nyumba hizo.
Kama wewe na jirani yako mtahitaji kutambulika kama waanzilishi wa Itikadi/falsafa fulani na kuhitaji kuungwa mkono na jamii yenu kwanini msimtambulike na kulindwa kisheria?
.....kweli hana VIBALI..Mimi simo Mkuu, Ila mtazamo tu hajaonewa maana kweli hana vibari.
Paul na Sila walitiwa ndani Sasa wao wanaogopa nini?Mchungaji Pastor Mwakipesile ambaye mtoto wake Sifa Bujune alikamatwa kwa kosa la kusambaza uongo kwa kuimba wimbo wa Mnatuona Manyaji amehukumiwa miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila ya kuwa na kibali.
Taarifa kutoka kwa Maria Sarungi
===
Hakika....Furahia Sana,Cheka Sana ndugu maana naona hii hukumu imekufurahisha sana