Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

Wenyewe si walisema wanaonwa Manyani.. haya sasa wameyatimba.

Mie nilichojifunza katk hii Dunia hasa hapa Tanzania hakuna lolote utakaloweza kulifanya ukatunishiana kifua na MAMLAKA. never, hakuna support yoyotee ile ukijifanya kujitoa muhanga hakuna hata mmoja atakaekukumbuka kipindi unanyea ndoo. Majitu ni manafki.

Tafuta hela jenga familia yako tulia kimya.
Mkuu,

Watu kila siku nawa ambiaga, Malipo ya kupigania haki za watu weusi (waafrika)ni Kifo.

Ukikuta mtu mweusi (mwafrika) na Nyoka [emoji216] wanapigwa, Muokoe nyoka.

Waafrika hasa watanzania ni watu walio laanika.

Ni kuwaacha na matatizo yao, wateseke mpaka kufa kwao.

Binafsi siwezi kupigania haki ya mtu mweusi mwafrika kwa vile najua ni wapumbavu na wasaliti, muda wowote ule wata kusaliti ufe mwenyewe.

Hakuna haja ya kuwatetea wajinga walio laanika.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Tayari wameshamfix,nilisema huyu jamaa vipi serikali inamwangalia tu na uropokaji uliovuka mipaka?Nilihisi amechanganyikiwa lakini baadae nikaona kuna watu walikuwa nyuma yake sasa wamemwingiza cha kike, pamoja na yote ila kale ka nyimbo cha nyani ukiwa na bia mbili tatu kichwani kanachezeka!
Hapo Serikali imeji fix yenyewe hiyo hukumu wataitengua na kumpa umaarufu tu.
 
Mkuu,

Watu kila siku nawa ambiaga, Malipo ya kupigania haki za watu weusi (waafrika)ni Kifo.

Ukikuta mtu mweusi (mwafrika) na Nyoka [emoji216] wanapigwa, Muokoe nyoka.

Waafrika hasa watanzania ni watu walio laanika.

Ni kuwaacha na matatizo yao, wateseke mpaka kufa kwao.

Binafsi siwezi kupigania haki ya mtu mweusi mwafrika kwa vile najua ni wapumbavu na wasaliti, muda wowote ule wata kusaliti ufe mwenyewe.

Hakuna haja ya kuwatetea wajinga walio laanika.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Serious.... unaweza risk mambo yako kwa watu wasio na shukrani hata kidogo.

Huyo si kafunguliwa mashtaka? Sahivi anapambana yeye na familia yake, na huyo ni mchungaji ana kanisa, wale waumini wake sidhani kama hata mmoja ataenda polisi kuhoji.
 
Mamlaka ni watu na Tanzania watu wengi wana dini. Hamna kiongozi Tanzania anaweza kushinda vita ya dini ni muhimu tusifike huko. Sa100 lazima ajue Tanganyika siyo Zanzibar
Vita ya Dini haitoweza kutokea, unajua kwanini?

Huu mchangamano wa Dini mbili kuishi ktk familia moja bila tatizo na kila mtu akaabudu anavyotaka ndio imesaidia haya.

Mwisho wa siku unakuta Baba Mkristo Mama muislam. Vita inaanzia wapi? Watu psychology zao tyr wameshaona hakua uadui between hizi Dini.

Ishu ni moja ambayo mbaya ni UKABILA. hiyo ndio Kansa mbaya zaidi. Em fatilia vuguvugu la UZANZIBAR na UTANGANYIKA alafu linganisha na Vuguvugu la UISLAM na Ukristo. Utaona wapi pakianza kutokota kunateka hisia za wengi.

Ukabila na Ukanda ndio utaleta shida hasa huu MUUNGANO hautavunjika kirahisi.. huwenda Bendera zikawa na ka rangi kekundu.
 
Wenyewe si walisema wanaonwa Manyani.. haya sasa wameyatimba.

Mie nilichojifunza katk hii Dunia hasa hapa Tanzania hakuna lolote utakaloweza kulifanya ukatunishiana kifua na MAMLAKA. never, hakuna support yoyotee ile ukijifanya kujitoa muhanga hakuna hata mmoja atakaekukumbuka kipindi unanyea ndoo. Majitu ni manafki.

Tafuta hela jenga familia yako tulia kimya.
Kwani anafanya ili akumbukwe na mtu au anafanya kwa utashi wake kwa kile anachokiona ni sahihi?.Wewe kama ni muoga kaa na familia yako usubiri wengine wakufanyie kwasababu hatuwezi kua wote sawa au wote tujifungie ndani kwa woga.Changamoto na misuko suko ni sehem ya maisha.
 
Kwani anafanya ili akumbukwe na mtu au anafanya kwa utashi wake kwa kile anachokiona ni sahihi?.Wewe kama ni muoga kaa na familia yako usubiri wengine wakufanyie kwasababu hatuwezi kua wote sawa au wote tujifungie ndani kwa woga.Changamoto na misuko suko ni sehem ya maisha.
Sasa yakiwafika mambo, tusianze kuombana misaada huku nje. Mnapambana na watemi kimya kimya.
 
Kwa nini nyumba ya ibada iwe na usajili serikalini katika nchi inayotoa uhuru wa kuabudu kikatiba kwa kila mtu?

Serikali hata kodi haikusanyi kutoka nyumba za ibada, sasa zinasajiliwa kwa nini?

Nikisema hii habari ya kusajili nyumba za ibada serikalini ni namna ya serikali kudhibiti ibada na kuingilia uhuru wa kikatiba wa kuabudu nitakuwa nakosea?
Nchi ambayo haichanganyi dini na siasa?
 
Kwa Suguye ndio wanasali akina Nandy, Halima Mdee na Esther Bulaya
Lakini na yeye kwake Matembele ya Pili hakusajiriwa.
Tofauti tu yeye hahubiri haki za Raia na Amani kwa watu wote.

Yeye anahubiri Sadaka, mizimu na mapepo tu.
 
Uhuru wa kuabudu kwa kibali, ni sawasawa na kutokuwa na Uhuru, maana lazima Kwanza umuabudu mtoa kibali
 
Mchungaji Mwakipesile ambaye mtoto wake Sifa Bujune alikamatwa kwa kosa la kusambaza uongo kwa kuimba wimbo wa "Mnatuona Nyani tu" amehukumiwa miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila ya kuwa na kibali.

View attachment 2766355


================== ==================
Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile (39), baba mzazi wa Sifa Bujune, Muimbaji wa Injili anayetuhumiwa kusambaza uongo kutokana na Wimbo wake wa “Mnatuona Nyani tu”, amehukumiwa kifungo hicho na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya kwa kosa la kuendesha huduma ya kiroho bila kibali.

Akizungumza na JamiForums, Wakili Boniphace Mwabukusi amesema “Kweli amehukumiwa lakini Mchungaji alifuata machakato wa kuomba vibali japo Serikali ndio ilikuwa ikichelewesha ukamilishwaji, pia Sheria inasema mtu ambaye yupo katika mchakato wa maombi hawezi kushtakiwa."

Ameongeza "Adhabu aliyofungwa nayo ina faini na kifungo, Hakimu ametoa adhabu ya kifungo bila faini, tunatarajia kukata rufaa Jumatatu (Oktoba 2, 2023)."


=================​
Pia soma: 'Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi' Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
Natabiri vita kali ya udini itarindima hapa
 
Back
Top Bottom