Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Mkuu,Wenyewe si walisema wanaonwa Manyani.. haya sasa wameyatimba.
Mie nilichojifunza katk hii Dunia hasa hapa Tanzania hakuna lolote utakaloweza kulifanya ukatunishiana kifua na MAMLAKA. never, hakuna support yoyotee ile ukijifanya kujitoa muhanga hakuna hata mmoja atakaekukumbuka kipindi unanyea ndoo. Majitu ni manafki.
Tafuta hela jenga familia yako tulia kimya.
Watu kila siku nawa ambiaga, Malipo ya kupigania haki za watu weusi (waafrika)ni Kifo.
Ukikuta mtu mweusi (mwafrika) na Nyoka [emoji216] wanapigwa, Muokoe nyoka.
Waafrika hasa watanzania ni watu walio laanika.
Ni kuwaacha na matatizo yao, wateseke mpaka kufa kwao.
Binafsi siwezi kupigania haki ya mtu mweusi mwafrika kwa vile najua ni wapumbavu na wasaliti, muda wowote ule wata kusaliti ufe mwenyewe.
Hakuna haja ya kuwatetea wajinga walio laanika.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app