Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

Sawa Mudi
Ni GOOGLE vizuri hata huko nyuma nilikwisha sema mimi ni Mkristu wa madhehebu ya RC. Lakini lazima niseme kweli wakati hivi vidhebu uchwara vya kipentekoste vinaharibu UKRISTU wetu wote
 
Hivi unajua Nyerere alilipiga marufuku kanisa/dhehebu la Mashahidi ya Yehova? Kila kitu kinataratibu zake sio holelaholela
Mwaka gani?

Mashahidi wa Yehova mbona walikuwa wanakuja kwetu Upanga?
 
Hili halina ubishi wowote kuwa wamemwonea huyu mchungaji...

Wametumia kigezo cha "kanisa kutokuwa na usajili" ili kumfunga lakini nyuma ya pazia ni chuki za "wakubwa" tu ndani ya serikali kwa mtu huyu kwa sababu jamaa huwa anausema uovu na madhambi yao hadharani mchana kweupe bila kupepesa macho!

Nyuma ya huu mgogoro na kumfunga jela Mch. Mbarikiwa Mwakipesile, yupo Dr Tulia Ackson (Spika wa Bunge la JMT) na ndiye anaye dictate kila kitu huku polisi na baadhi ya maafisa wa TISS wakiongozwa na RSO wa Mbeya wakiwa kama mbwa tu wa kuambiwa uma hapo, acha pale....

Kama ni ishu ya usajili wa taasisi za kiimani na kidini zinazoendesha shughuli zao za kiimani na ibada, basi ziko nyingi sana kwa mamia ambazo ziko kienyeji tu zimezagaa nchi nzima zikiendelea na shughuli zao
Ni kweli kabisa.

Ila kuna watu wanajitoa ufahamu kwa mahaba/ujinga.
 
Madhehebu ya kishenzi yanafahamika, mengi ni haya ya walokole
Wewe unavyosema madhehebu ya mwenzako ni ya kishenzi, na mwenzako anasema madhehebu yako ni ya kishenzi.

Haponi mtu hapo.

Serikali ijikite kuwekeza kwenye elimu iki watu waweze kuchagua mbivu na mbichi vizuri.

Ikijiingiza kwenye kufungia makanisa kwa sababu hayana usajili itakuwa inakosea sana na inaanzisha moto isioweza kuuzima.
 
Serikali inaweza wala usilete ngonjera zako hapa. Unawalinganisha hawa washenzi na crusaders wakati wa byzantine era? You are wrong on that na hujamuelewa kabisa huyo anayeitwa Mbarikiwa. Mbarikiwa ni mental case and unfortunately anajenga cult yake.

Nafuu TUILAUMU Serikali wakati huu, kuliko TUJE TUILAUMU wakati Mwakipesile anachoma wafuasi wake.
Ukomunisti ulijaribu kupiga marufuku dini.

Ukomunisti umekufa, dini iko palepale.

Wapeni watu elimu wajue mbivu ni zipi na mbichi ni zipi.

Hizi habari za ku force central planning kwenye mambo ya utamaduni mtashindwa kama mlivyoshindwa kupata vazi la taifa kwa kutumia kamati ya Nchimbi.
 
Wakati kanisa katoliki chini ya papa likiongoza dola ya rumi liliomba wapi kibali cha kuendesha kanisa.
 
Hivi misikiti lazima ipate vibali vya serikali hata Ile midogo isiyo ya ijumaa?

Serikali ya Samia mnataka wenyewe maswali kama haya muanze kuita watu wachochezi wa kidini.
Hii serikali mkiiendekeza itawabadilishieni Kibla muangalie Chamwino Dodoma badala ya Maka.
 
Wewe unavyosema madhehebu ya mwenzako ni ya kishenzi, na mwenzako anasema madhehebu yako ni ya kishenzi.

Haponi mtu hapo.

Serikali ijikite kuwekeza kwenye elimu iki watu waweze kuchagua mbivu na mbichi vizuri.

Ikijiingiza kwenye kufungia makanisa kwa sababu hayana usajili itakuwa inakosea sana na inaanzisha moto isioweza kuuzima.
Madhehebu ya kishenzi yapo, yanamwita Rais eti ni nyani. Inawezekana kabisa huyu baba ema ni shoga au analala na hiyo bi to yake, sintoshangaa huu uhuru holela unaosemwa. Baadaye itakuwa kanisa la kifisadi kama sodoma na ghomora huyu askofu a atembeaxna hawo waombaji wote. Tulishayaona, ni lazima kuyawahi.
 
Ni GOOGLE vizuri hata huko nyuma nilikwisha sema mimi ni Mkristu wa madhehebu ya RC. Lakini lazima niseme kweli wakati hivi vidhebu uchwara vya kipentekoste vinaharibu UKRISTU wetu wote
Sawa, ila msome vizuri huyo YESU utajua changamoto alizopitia. Mbingu sio mchezo ila kuna mataji kutokana na kile ulichokifanya.
 
Ushahidi huo unao ?!!!

Wewe una HALLUCINATIONS?!!![emoji15][emoji1787]

Ni "auditory"?!!!

BWANA ASEMA....TIINI MAMLAKA!
Hivi vitu vinahitaji akili kubwa ndugu, Unataka ushahidi subiri utaukuta siku ya Judgement, alafu sio kila kinachofanyika ukitii tu, utasubiri sana ukombozi si lelemama ndugu.
 
Yaani dini iruhusiwe kuitukana Serkali. Ni wapi Quraan au Biblia inasema Rais ni nyani?
Mmh hayo maneno umeyaona wapi? Punguzeni mahaba basi msikilize kwa makini na mpende kufatilia taarifa kwa usahihi
 
Kuna wavunjaji wengi sana wa sheria nchini. Ila wamekuwa wakiachwa wafanue wapendavyo, kwa sababu tu hawayagusi maslahi yenu/hawawakosoi.

Hawa wanaojitokeza hadharani kuwakosoa, ndiyo mnawatafutia zengwe. Na huu ndiyo utaratibu wenu kwa miaka nenda. Kutisha/kuwakomoa wapinzani wenu..
Well said
 
Hivi vitu vinahitaji akili kubwa ndugu, Unataka ushahidi subiri utaukuta siku ya Judgement, alafu sio kila kinachofanyika ukitii tu, utasubiri sana ukombozi si lelemama ndugu.
Ukombozi upi?!!!

Delusion
 
Back
Top Bottom