Baba wenye 30s wenye mabinti teenagers njooni hapa (Huyu binti yangu nimpeleke Feza Girls au Makongo Sec?)

Baba wenye 30s wenye mabinti teenagers njooni hapa (Huyu binti yangu nimpeleke Feza Girls au Makongo Sec?)

Peleka Boarding lakini sio makongo ile shule naijua kuna ndeme sana
 
Kama wewe umeshindwa kumfunza mwanao adabu, unadhani waalimu wataweza?
 
Ulimleaje mzee mpaka kafikia hatua hiyo? Mie wangu simchekei chekei sana, uzungu kidogo, ukoloni wa kutosha. Kama ulimkosea huko nyuma umri aliofikia kazi ipo, labda akikua zaidi ya hapo akili za ubinti zikimtoka akili zake zikarudi(kama akili zake zenyewe ziko saafi) anaweza rudi kukaa kwenye mstari.
 
Aisee na kuelewa sn ku contro mtt wa kike mwenye age kuanzia 14+ halafu ukiwa baba kijna kuanzia age ya 30 inahitaji mambo yafuatayo
1.Awe amekua kwny misingi sana ya dini not hawa wa saizi ambao kanisani/msikitin wanaenda kuonyesha mavazi
2.Wazazi wawe WAKOLONI hapa na maanisha mzazi kiumri uwe kijana lakini uongoz wako wa hapo nyumban uwe sawa na mzee mwenye miaka 50+
3.Mzazi wa kike km yupo awe mshauri wake mkuu wewe mzazi wa kiume ubaki kukazia pale unapoona mtt anakengeuka.
NB. komaa mtoto ni wako bibi amewalea nyie amesha zeeka hana tena makali huko sidhani kama ni salaama
Pamoja sana kaka..
vitoto vya siku hizi ni sheedah . ukiwa mkali sana mtoto anaweza hata kuondoka nyumbani na usijue ameenda wapi.

So inabidi uwe Wise. Watoto wa siku hizi sio sawa na dada zetu wa miaka ya themanini/70 na mwanzoni mwa miaka ya 90.

Nilivyo kuwaga nikimuona video vixen Tunda alivyo haribikiwa halafu nikitazama cv ya baba ake mzazi Afande SabaSita nilikuwa nashangaa sana aisee na kuona kama mzee Sabasita anazingua .kumbe kuna umri binti akisha fika baadhi ya mambo huwezi kumzuia zaidi ya kumuachia Mungu. P funky kwa Kajala, baba ake Lulu, baba ake Wema, etc etc.

Mtoto wa kike alie balehe huwezi kumzuia kumiss behave ( kwa mfano kugongwa). Unacho weza kufanya ni :
1. Kumuwekea mazingira magumu sana ya kupata nafasi ya kugongwa. Yani hata akienda kugongwa basi awe amekulia timing ya hatari sana.


2. Kumchelewesha kuanza kugongwa. Badala ya kuanza kugongwa akiwa na miaka 13 basi at least aanze akiwa na miaka 17/18/19.

Ukiujua ukweli utakuweka huru
 
Ulimleaje mzee mpaka kafikia hatua hiyo? Mie wangu simchekei chekei sana, uzungu kidogo, ukoloni wa kutosha. Kama ulimkosea huko nyuma umri aliofikia kazi ipo, labda akikua zaidi ya hapo akili za ubinti zikimtoka akili zake zikarudi(kama akili zake zenyewe ziko saafi) anaweza rudi kukaa kwenye mstari.

Nikweli kabisa mkuu mtoto wa kike akiwa kwenye foolish age halafu bahati mbaya wenzake wakiwa wanamjaza ujinga kwamba yeye ni msichana mzuri ( my daughter yupo kwenye kundi la watoto wazuri dizaini ya Paula), kichwa huwa kinakuwa moto sana anajiona yeye anajua kuliko wewe. Tatizo ni kwamba akili huwaga zinakujaga baadae akiwa na miaka 20 plus na hapo damage inakuwa irreversible
 
Pamoja sana kaka..
vitoto vya siku hizi ni sheedah . ukiwa mkali sana mtoto anaweza hata kuondoka nyumbani na usijue ameenda wapi.

So inabidi uwe Wise. Watoto wa siku hizi sio sawa na dada zetu wa miaka ya themanini/70 na mwanzoni mwa miaka ya 90.

Nilivyo kuwaga nikimuona video vixen Tunda alivyo haribikiwa halafu nikitazama cv ya baba ake mzazi Afande SabaSita nilikuwa nashangaa sana aisee na kuona kama mzee Sabasita anazingua .kumbe kuna umri binti akisha fika baadhi ya mambo huwezi kumzuia zaidi ya kumuachia Mungu. P funky kwa Kajala, baba ake Lulu, baba ake Wema, etc etc.

Mtoto wa kike alie balehe huwezi kumzuia kumiss behave ( kwa mfano kugongwa). Unacho weza kufanya ni :
1. Kumuwekea mazingira magumu sana ya kupata nafasi ya kugongwa. Yani hata akienda kugongwa basi awe amekulia timing ya hatari sana.


2. Kumchelewesha kuanza kugongwa. Badala ya kuanza kugongwa akiwa na miaka 13 basi at least aanze akiwa na miaka 17/18/19.

Ukiujua ukweli utakuweka huru
Sio kweli premature sex sio basic neccesity ya makuzi ila ni utovu wa nizamu wa mtoto na malezi mabovu ya mzazi, acheni kuendekeza ngono kwa watoto wadogo, mbona wenzetu wanaweza kulea watoto wao paka umri wa 20s wakiwa virgin
 
Mkuu kama hukuwahi kuwa na mtoto wa kike ukiwa teenager na sasa hivi upo in ur mid 30s and she is a teenager alie kwisha vunja ungo anaeishi kwenye social media generation huwezi kujua ugumu wake..

Nimesoma kitabu cha bondia Joe Frazier aliye zaliwa mwaka 1944 akampata mtoto wake wa kwanza binti Jackie Frazier ( ambae ni Judge na bondia mstaafu ) mwaka 1961 akiwa na miaka 16\17) kuhusu namna alivyo weza kudeal na malezi ya binti yake wakiwa na tofauti ndogo ya umri anasema ni rahisi sana mtoto anapokuwa bado hajabalehe lakini akiisha balehe ni ngumu sana na next to impossible ila kwake ilikuwa rahisi kwa sababu mtoto alipo fikisha umri wa balehe alimpeleka kwa mama yake mzazi.( mama wa mtoto )
Wangu haendi kwa bimkubwa wake, kama nimemuweza toka udogoni basi nitapambana nae mpaka uzeeni.. Hadi afikishe umri wa financial services [emoji23][emoji23]
 
Sio kweli premature sex sio basic neccesity ya makuzi ila ni utovu wa nizamu wa mtoto na malezi mabovu ya mzazi, acheni kuendekeza ngono kwa watoto wadogo, mbona wenzetu wanaweza kulea watoto wao paka umri wa 20s wakiwa virgin
mkuu unazungumzia watu gani hao mkuu?

1. Consenting age ya SAUDIA ni miaka 15.

2. UK now miaka 16.

3. Ufilipina ilikuwa miaka 12 wamepandisha juzi kati hadi miaka 16 .

4. Angola miaka 12

5. usa miaka 16 hadi 18

6. Senegal miaka 16

7. serbia miaka 14

8. Nigeria miaka 11

etc
 
Nikweli kabisa mkuu mtoto wa kike akiwa kwenye foolish age halafu bahati mbaya wenzake wakiwa wanamjaza ujinga kwamba yeye ni msichana mzuri ( my daughter yupo kwenye kundi la watoto wazuri dizaini ya Paula), kichwa huwa kinakuwa moto sana anajiona yeye anajua kuliko wewe. Tatizo ni kwamba akili huwaga zinakujaga baadae akiwa na miaka 20 plus na hapo damage inakuwa irreversible
Kaka hapo kazi ipo, hata mimi kila nikimuangalia mwanangu natikisa kichwa ni pisi mzee mwenzangu, ila huyu ni mwendo wa madrasa, natia ukauzu humo humo, natia uzungu humo humo, yaani mpaka leo naona hajanielewa vizuri.
 
mkuu unazungumzia watu gani hao mkuu?

1. Consenting age ya SAUDIA ni miaka 15.

2. UK now miaka 16.

3. Ufilipina ilikuwa miaka 12 wamepandisha juzi kati hadi miaka 16 .

4. Angola miaka 12

5. usa miaka 16 hadi 18

6. Senegal miaka 16

7. serbia miaka 14

8. Nigeria miaka 11

etc
Consenting age aimanishe early sex hiyo inatumika wakati wa legal procedure ku determine ilikua rape or defilement of minor

Sudan ya karoutum bint kuolewa ni 21yrs nilazima awe virgine UAE na wenyewe hoyo sheria wanao, na bint wana olewa wakiwa bado virgin kwanini sisi tunashindwa? Kwasbb ya fikra potofu na kuendekeza ngono kwa ma binti zetu, early sex sio basic necessity muache watoto wa kua kwanza.
 
Asante sana mkuu vipi kuhusu academic performance? So unaniambia kwenye nidhamu atatoka amenyooka?
Km ni maswala ya academic mpeleke shule za mission..huko ni adabu plus shule..atapata vyoteee
 
Mpeleke Saint Anuarite Girls School huko atapata discipline nzuri sana na academic performance wako vizuri zaidi ya jana

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Peleka FEZA, hii nimeiona kwa kaka yangu( single dad of two girls)...mtoto mzuri akikua kidogo ataacha au dunia itamfunza though kwa a price !
 
bro mtoto wa kike akisha ingia kwenye foolish age ni ngumu sana kumcontrol as a single father . U cant be wiser than nature
Nakuelewa mkuu, huu mi ukweli mchungu.
 
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, kila la kheri...
 
Mmh aiseeh, watoto msiwalee kiyai-yai hata maisha ni mazuri, mimi nikiwa na age ya 20 nilikuwa na namcontroll vizuri kabisa mdogo wangu (17), baada ya mzee kufariki na mpaka leo ni full heshima nikisimama kama kaka mkubwa wao.

Imenishangaza sana wewe kushindwa kucontroll katoto ka miaka 15 ulikokakojoa mwenyewe kutoa kwenye kiuno chako, tena katoto kenyewe ni ka kike.

Usisingizie foolish age, ni kwamba umefeli kimalezi huyo mimi pamoja ma kwamba unaona kashindikana nikikaa nae ananyooka tu, na sio kwa kipigo. Miaka 35 unashindwaje kumtawala mtoto, vipi mwanamke utaweza??

BADILIKA MDOGO WANGU.
 
Back
Top Bottom