Baba wenye 30s wenye mabinti teenagers njooni hapa (Huyu binti yangu nimpeleke Feza Girls au Makongo Sec?)

Baba wenye 30s wenye mabinti teenagers njooni hapa (Huyu binti yangu nimpeleke Feza Girls au Makongo Sec?)

Pamoja sana kaka..
vitoto vya siku hizi ni sheedah . ukiwa mkali sana mtoto anaweza hata kuondoka nyumbani na usijue ameenda wapi.

So inabidi uwe Wise. Watoto wa siku hizi sio sawa na dada zetu wa miaka ya themanini/70 na mwanzoni mwa miaka ya 90.

Nilivyo kuwaga nikimuona video vixen Tunda alivyo haribikiwa halafu nikitazama cv ya baba ake mzazi Afande SabaSita nilikuwa nashangaa sana aisee na kuona kama mzee Sabasita anazingua .kumbe kuna umri binti akisha fika baadhi ya mambo huwezi kumzuia zaidi ya kumuachia Mungu. P funky kwa Kajala, baba ake Lulu, baba ake Wema, etc etc.

Mtoto wa kike alie balehe huwezi kumzuia kumiss behave ( kwa mfano kugongwa). Unacho weza kufanya ni :
1. Kumuwekea mazingira magumu sana ya kupata nafasi ya kugongwa. Yani hata akienda kugongwa basi awe amekulia timing ya hatari sana.


2. Kumchelewesha kuanza kugongwa. Badala ya kuanza kugongwa akiwa na miaka 13 basi at least aanze akiwa na miaka 17/18/19.

Ukiujua ukweli utakuweka huru
Nakuelewa sana kaka ila hutaki kuw fear sana mpk mtt akusome kwamba anaweza kufanya kitu na usi take action ni bora ashindikane ila hata ndg na jirani watakupa konngole kwa kusema huyu baba kajitahidi sn kwenye kumlea lakn mtt mwenyewe ndo kichwa maji au kafuata akili za mama yake 😂
 
Asante sana mkuu vipi kuhusu academic performance? So unaniambia kwenye nidhamu atatoka amenyooka?
Bro plz for the sake of your daughter's future take her FEZA GIRLS huko makongo academic iko chini kiasi pia inahitaji mwanafunzi ajielewe mwenyewe academically tofauti na Feza,then jua ni stage binti anapitiia atabadilika.

Ushauri tu.

TEKERI.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Am almost 35 and my daughter is 15 ( kidato cha pili )Nahisi kama vile sina tena uwezo wa kum control huyu mtoto.

I think She now takes me as her brother ( Nime lihisi hili kwa kuangalia jinsi aanavyo wa address age mates wangu ) Hawezi kusema kuna mbaba mmoja au uncle mmoja, atasema kuna mkaka mmoja.

Watu ambao nawa reffers kama brothers and sisters ( ambao si ndugu ) na yeye ana warefer the same.

Nadhani kitu kilicho kuwa kimebaki ni yeye kuanza kuni ita kwa jina langu.

Leo ni siku ya kumi tangu nim sent off kwa mama yangu mzazi ( bibi yake ) ambapo atakaa mpaka atakapo fanya mtihani wa kidato cha pili. At least sasa hivi anaweza kuniamkia shikamoo baba nikipiga simu kuonge na bibi yake maana yake alipokuwa akiishi under my roof nilikuwa sipati shikamoo kabisa...

Anajiona mkubwa sawa sawa na mimi.. Kubishana na mimi lilikuwa jambo la kawaida.. her behaviour reduced me into a guy who was calling to my mother and elder sisters or elder relatives to complain about her instead of me being that strict dad who just speak and it is done..


NILIKUWA NIMEPANGA FORM 3 AKAKAE BOARDING FEZA GIRLS BUT NIMEAMBIWA FEZA GIRLS PALE WATOTO WANATOKA HAWANA DISCIPLINE.. NIKAAMBIWA NIMPELEKE MAKONGO NDIO WANAFUNDISHA WATOTO DISCIPLINE.. SO I WAS THINKING OF TAKING HER TO MAKONGO AMBAKO ATAJIFUNZA NA DISCIPLINE PIA.. PLUS NAMUONA KAMA NI MWENYE KIPAJI PALE MAKONGO KINAWEZA KUWA NURTURED.. but still bado ninasita kwa sababu sijui kuhusu uwezo wa kitaaluma wa Makongo ingawa mtoto wangu huyu yupo very very bright ( Yupo bright kama Wakili msomi N'GWASHI D. KAMANI, MBUNGE VITI MAALUMU CCM ( The youngest MP in TZ SO FAR SHE WAS JUST BORN IN 1996 ) ana uwezo mkubwa sana darasani ana msingi mzuri sana wa shule ya msingi aliyo soma na shule anayo soma sasa hivi...

So ushauri wenu wadau. Nimpeleke Makongo atoke na discipline au nimpeleke Feza Girls atoke na matokeo mazuri sana, connection , classy with some farking western attitude


Kingine kwa wale wanaume ambao mlipata watoto wa kike mkiwa bado teenagers na mkawalea then mkaja kuishi nao as single fathers, then wakawa teen agers mkiwa in ur early 30s mliweza vipi kudeal na kiburi cha foolish age cha mtoto wa kike?
Kumpeleka boarding si namna ya kumfundisha nidhamu...... Sana utamfanya akapate tabia chafu mpya mfano, kusagana na nyingine nyingi...... Kitu nachoona hapo mkuu..... Huyo mtoto abaki kwa bibi ake..... Na umwambie bibi ake kwa sabb bibi ni mama pia ataweza kumcontol..... Pili mafunzo ya dini pia ni muhimu sana.... Huyo mtoto yupo kweny umri wa kubalehe anahitaji uangalizi mkubwa zaid ya mtoto mchanga

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Am almost 35 and my daughter is 15 ( kidato cha pili )Nahisi kama vile sina tena uwezo wa kum control huyu mtoto.

I think She now takes me as her brother ( Nime lihisi hili kwa kuangalia jinsi aanavyo wa address age mates wangu ) Hawezi kusema kuna mbaba mmoja au uncle mmoja, atasema kuna mkaka mmoja.

Watu ambao nawa reffers kama brothers and sisters ( ambao si ndugu ) na yeye ana warefer the same.

Nadhani kitu kilicho kuwa kimebaki ni yeye kuanza kuni ita kwa jina langu.

Leo ni siku ya kumi tangu nim sent off kwa mama yangu mzazi ( bibi yake ) ambapo atakaa mpaka atakapo fanya mtihani wa kidato cha pili. At least sasa hivi anaweza kuniamkia shikamoo baba nikipiga simu kuonge na bibi yake maana yake alipokuwa akiishi under my roof nilikuwa sipati shikamoo kabisa...

Anajiona mkubwa sawa sawa na mimi.. Kubishana na mimi lilikuwa jambo la kawaida.. her behaviour reduced me into a guy who was calling to my mother and elder sisters or elder relatives to complain about her instead of me being that strict dad who just speak and it is done..


NILIKUWA NIMEPANGA FORM 3 AKAKAE BOARDING FEZA GIRLS BUT NIMEAMBIWA FEZA GIRLS PALE WATOTO WANATOKA HAWANA DISCIPLINE.. NIKAAMBIWA NIMPELEKE MAKONGO NDIO WANAFUNDISHA WATOTO DISCIPLINE.. SO I WAS THINKING OF TAKING HER TO MAKONGO AMBAKO ATAJIFUNZA NA DISCIPLINE PIA.. PLUS NAMUONA KAMA NI MWENYE KIPAJI PALE MAKONGO KINAWEZA KUWA NURTURED.. but still bado ninasita kwa sababu sijui kuhusu uwezo wa kitaaluma wa Makongo ingawa mtoto wangu huyu yupo very very bright ( Yupo bright kama Wakili msomi N'GWASHI D. KAMANI, MBUNGE VITI MAALUMU CCM ( The youngest MP in TZ SO FAR SHE WAS JUST BORN IN 1996 ) ana uwezo mkubwa sana darasani ana msingi mzuri sana wa shule ya msingi aliyo soma na shule anayo soma sasa hivi...

So ushauri wenu wadau. Nimpeleke Makongo atoke na discipline au nimpeleke Feza Girls atoke na matokeo mazuri sana, connection , classy with some farking western attitude


Kingine kwa wale wanaume ambao mlipata watoto wa kike mkiwa bado teenagers na mkawalea then mkaja kuishi nao as single fathers, then wakawa teen agers mkiwa in ur early 30s mliweza vipi kudeal na kiburi cha foolish age cha mtoto wa kike?
Kama utafanikiwa mpeleke Canossa Secondary iko Tegeta. Ila huwa hawapokei wahamiaji Ila ninaamini akiwa bright wakiona kuna uwezekano wa div one ya 7 form IV watamchukua. Ni best school Kitaaluma na kinidhamu.
 
Binti rafik yake n mama.. sasa kilanga gani kilikupata kuwa nae bize mno... Kama mama hayupo mpeleke kwa Bibi..
 
True bro, but thats the a teste for your mental maturity, understand teenager's psychology en play with it, hamna kigumu hapo ukojua wewe ni baba yake sio kaka tena, wazazi wa kiume ni wazuri sana kwa watoto wao wa kike ukiamua kusacriface mda wako na starehe zako zingine

Well said [emoji122][emoji122] angekua na elimu ya teenager/adolecent Psychology angejua nini cha kufanya apart from that inaonyesha kabisaa wakati unampata huyuu mtoto haukuwa tayari kwa majukum ya kuwa baba haiwezekan mwanao wa kumzaa mnabishana??? Kwa kipi?? Kwann?? Usiseme huwez kumcontrol hivyo ndo ulivyomlea inamana hata dada zako walikua hivo kwa baba ako???

Jionheze kama mzazi unless malezi yamekushinda[emoji26] ila mtoto wa kumzaa wewe mwenyew hata kama ni single father hawezi kukushinda na inaonekana pia hana malezi ya mama huyo mwanao[emoji119]
 
Nimeishia hapo kabla hajaenda kwa bibi yake alikuwa hakusalimii,,, wameshaanza kumtomber tena na unaolingana nao ama kukuzidi ndo maana anaona rika lako ni wakaka,, pole na tunashukuru kwa kutuongezea idadi ya ..........
 
Am almost 35 and my daughter is 15 ( kidato cha pili )Nahisi kama vile sina tena uwezo wa kum control huyu mtoto.

I think She now takes me as her brother ( Nime lihisi hili kwa kuangalia jinsi aanavyo wa address age mates wangu ) Hawezi kusema kuna mbaba mmoja au uncle mmoja, atasema kuna mkaka mmoja.

Watu ambao nawa reffers kama brothers and sisters ( ambao si ndugu ) na yeye ana warefer the same.

Nadhani kitu kilicho kuwa kimebaki ni yeye kuanza kuni ita kwa jina langu.

Leo ni siku ya kumi tangu nim sent off kwa mama yangu mzazi ( bibi yake ) ambapo atakaa mpaka atakapo fanya mtihani wa kidato cha pili. At least sasa hivi anaweza kuniamkia shikamoo baba nikipiga simu kuonge na bibi yake maana yake alipokuwa akiishi under my roof nilikuwa sipati shikamoo kabisa...

Anajiona mkubwa sawa sawa na mimi.. Kubishana na mimi lilikuwa jambo la kawaida.. her behaviour reduced me into a guy who was calling to my mother and elder sisters or elder relatives to complain about her instead of me being that strict dad who just speak and it is done..


NILIKUWA NIMEPANGA FORM 3 AKAKAE BOARDING FEZA GIRLS BUT NIMEAMBIWA FEZA GIRLS PALE WATOTO WANATOKA HAWANA DISCIPLINE.. NIKAAMBIWA NIMPELEKE MAKONGO NDIO WANAFUNDISHA WATOTO DISCIPLINE.. SO I WAS THINKING OF TAKING HER TO MAKONGO AMBAKO ATAJIFUNZA NA DISCIPLINE PIA.. PLUS NAMUONA KAMA NI MWENYE KIPAJI PALE MAKONGO KINAWEZA KUWA NURTURED.. but still bado ninasita kwa sababu sijui kuhusu uwezo wa kitaaluma wa Makongo ingawa mtoto wangu huyu yupo very very bright ( Yupo bright kama Wakili msomi N'GWASHI D. KAMANI, MBUNGE VITI MAALUMU CCM ( The youngest MP in TZ SO FAR SHE WAS JUST BORN IN 1996 ) ana uwezo mkubwa sana darasani ana msingi mzuri sana wa shule ya msingi aliyo soma na shule anayo soma sasa hivi...

So ushauri wenu wadau. Nimpeleke Makongo atoke na discipline au nimpeleke Feza Girls atoke na matokeo mazuri sana, connection , classy with some farking western attitude


Kingine kwa wale wanaume ambao mlipata watoto wa kike mkiwa bado teenagers na mkawalea then mkaja kuishi nao as single fathers, then wakawa teen agers mkiwa in ur early 30s mliweza vipi kudeal na kiburi cha foolish age cha mtoto wa kike?
Feza na Makongo, naona kama usiku na mchana vile. Umejaribu shule za wasichana za makanisa?
 
Pamoja sana kaka..
vitoto vya siku hizi ni sheedah . ukiwa mkali sana mtoto anaweza hata kuondoka nyumbani na usijue ameenda wapi.

So inabidi uwe Wise. Watoto wa siku hizi sio sawa na dada zetu wa miaka ya themanini/70 na mwanzoni mwa miaka ya 90.

Nilivyo kuwaga nikimuona video vixen Tunda alivyo haribikiwa halafu nikitazama cv ya baba ake mzazi Afande SabaSita nilikuwa nashangaa sana aisee na kuona kama mzee Sabasita anazingua .kumbe kuna umri binti akisha fika baadhi ya mambo huwezi kumzuia zaidi ya kumuachia Mungu. P funky kwa Kajala, baba ake Lulu, baba ake Wema, etc etc.

Mtoto wa kike alie balehe huwezi kumzuia kumiss behave ( kwa mfano kugongwa). Unacho weza kufanya ni :
1. Kumuwekea mazingira magumu sana ya kupata nafasi ya kugongwa. Yani hata akienda kugongwa basi awe amekulia timing ya hatari sana.


2. Kumchelewesha kuanza kugongwa. Badala ya kuanza kugongwa akiwa na miaka 13 basi at least aanze akiwa na miaka 17/18/19.

Ukiujua ukweli utakuweka huru

Samaki mkunje Angali mbichi, sasa Wewe mlee Mwanao kwa Kudhani hata hao uliowataja na wazazi wao wamewalea watoto wao hao kama Wewe ulivyomlea Huyo Mtoto wako tena ni Mmoja tu! au walidharauliwa kama Wewe mwanao anavyokuchukulia na mwisho wa mchezo utaletewa Mjukuu kwa Umri huo na vingine na ndio Akili itaanza kufanya kazi ipasavyo.


Mlee Mtoto wako kwa Hatua unazoziona Wewe ndio Sahihi na sio kwa kufananisha na flani na ndo kosa lilianzia hapo.
Wewe unamlea Mtoto wako kwa kumuangalia Wema, Paula, Tunda na unajisemea kabisa “yaaani hawa wazazi wao wamezingua sana “ na mpaka unamsema Mtoto wa watu kaharibikiwa! au ukute ulikuwa mnakaa kuwachambua kabisa hao ukiwa Pamoja na huyo Mwanao pembeni na Mwanao anajisemea moyoni Maneno mengi kukudharau hayo unayojadili.

Heshima Hailetwi nyumbani kwako kwa mapanga ila Mzazi Wewe ndio wa kwanza kutengeneza yote unayoyataka.
 
Am almost 35 and my daughter is 15 ( kidato cha pili )Nahisi kama vile sina tena uwezo wa kum control huyu mtoto.

I think She now takes me as her brother ( Nime lihisi hili kwa kuangalia jinsi aanavyo wa address age mates wangu ) Hawezi kusema kuna mbaba mmoja au uncle mmoja, atasema kuna mkaka mmoja.

Watu ambao nawa reffers kama brothers and sisters ( ambao si ndugu ) na yeye ana warefer the same.

Nadhani kitu kilicho kuwa kimebaki ni yeye kuanza kuni ita kwa jina langu.

Leo ni siku ya kumi tangu nim sent off kwa mama yangu mzazi ( bibi yake ) ambapo atakaa mpaka atakapo fanya mtihani wa kidato cha pili. At least sasa hivi anaweza kuniamkia shikamoo baba nikipiga simu kuonge na bibi yake maana yake alipokuwa akiishi under my roof nilikuwa sipati shikamoo kabisa...

Anajiona mkubwa sawa sawa na mimi.. Kubishana na mimi lilikuwa jambo la kawaida.. her behaviour reduced me into a guy who was calling to my mother and elder sisters or elder relatives to complain about her instead of me being that strict dad who just speak and it is done..


NILIKUWA NIMEPANGA FORM 3 AKAKAE BOARDING FEZA GIRLS BUT NIMEAMBIWA FEZA GIRLS PALE WATOTO WANATOKA HAWANA DISCIPLINE.. NIKAAMBIWA NIMPELEKE MAKONGO NDIO WANAFUNDISHA WATOTO DISCIPLINE.. SO I WAS THINKING OF TAKING HER TO MAKONGO AMBAKO ATAJIFUNZA NA DISCIPLINE PIA.. PLUS NAMUONA KAMA NI MWENYE KIPAJI PALE MAKONGO KINAWEZA KUWA NURTURED.. but still bado ninasita kwa sababu sijui kuhusu uwezo wa kitaaluma wa Makongo ingawa mtoto wangu huyu yupo very very bright ( Yupo bright kama Wakili msomi N'GWASHI D. KAMANI, MBUNGE VITI MAALUMU CCM ( The youngest MP in TZ SO FAR SHE WAS JUST BORN IN 1996 ) ana uwezo mkubwa sana darasani ana msingi mzuri sana wa shule ya msingi aliyo soma na shule anayo soma sasa hivi...

So ushauri wenu wadau. Nimpeleke Makongo atoke na discipline au nimpeleke Feza Girls atoke na matokeo mazuri sana, connection , classy with some farking western attitude


Kingine kwa wale wanaume ambao mlipata watoto wa kike mkiwa bado teenagers na mkawalea then mkaja kuishi nao as single fathers, then wakawa teen agers mkiwa in ur early 30s mliweza vipi kudeal na kiburi cha foolish age cha mtoto wa kike?
1. Set standards katika malezi yake. Ameingia kundi linalokuhitaji umtazame kwa macho mawili bila kupepesa. Mkanye bila haya, na kuwa na msimamo.

2. Kwa umri wake, tumia zaidi njia ya kushirikishana katika maamuzi (don't mind of being treated like brother bse you're literally his first 'boyfriend', maintain the trust and treat her well) na dumisha adabu wakati wote. Usilete utani kwenye mambo makini.

3. n.k
 
Pole ila nahisi mlimlea kimayai hata hujawahi kumfinya.
Unaweza mpelela makongo hali ikawa vile vile. Discipline inajengwa nyumbani na sio shuleni.
Au labda umpeleke boarding iliyopo bush.
 
huyu mwanangu sio mbaya kihivyo she is a good girl, with other people she is very cool and she is so much loved by so many people. Her own problem is how she treats me. I think she doesnt do more than enough. She doesnt accord me the traditional fatherhood respeck which i think i deserve. Mambo mengine yuko poa kabisa. Mimi nafikiri labda ni sababu ya 1. mazoea ( kwamba amenizoea sana kwa sababu kila siku ananiona / humans dont value things which they easily get

2. Kudeka : kwamba anajua baba angu kijana he loves me and cant just do nothing unto me.
Shida yako ni namba 2 mkuu, jirekebishe hapo. Malezi malezi malezi
 
Am almost 35 and my daughter is 15 ( kidato cha pili )Nahisi kama vile sina tena uwezo wa kum control huyu mtoto.

I think She now takes me as her brother ( Nime lihisi hili kwa kuangalia jinsi aanavyo wa address age mates wangu ) Hawezi kusema kuna mbaba mmoja au uncle mmoja, atasema kuna mkaka mmoja.

Watu ambao nawa reffers kama brothers and sisters ( ambao si ndugu ) na yeye ana warefer the same.

Nadhani kitu kilicho kuwa kimebaki ni yeye kuanza kuni ita kwa jina langu.

Leo ni siku ya kumi tangu nim sent off kwa mama yangu mzazi ( bibi yake ) ambapo atakaa mpaka atakapo fanya mtihani wa kidato cha pili. At least sasa hivi anaweza kuniamkia shikamoo baba nikipiga simu kuonge na bibi yake maana yake alipokuwa akiishi under my roof nilikuwa sipati shikamoo kabisa...

Anajiona mkubwa sawa sawa na mimi.. Kubishana na mimi lilikuwa jambo la kawaida.. her behaviour reduced me into a guy who was calling to my mother and elder sisters or elder relatives to complain about her instead of me being that strict dad who just speak and it is done..


NILIKUWA NIMEPANGA FORM 3 AKAKAE BOARDING FEZA GIRLS BUT NIMEAMBIWA FEZA GIRLS PALE WATOTO WANATOKA HAWANA DISCIPLINE.. NIKAAMBIWA NIMPELEKE MAKONGO NDIO WANAFUNDISHA WATOTO DISCIPLINE.. SO I WAS THINKING OF TAKING HER TO MAKONGO AMBAKO ATAJIFUNZA NA DISCIPLINE PIA.. PLUS NAMUONA KAMA NI MWENYE KIPAJI PALE MAKONGO KINAWEZA KUWA NURTURED.. but still bado ninasita kwa sababu sijui kuhusu uwezo wa kitaaluma wa Makongo ingawa mtoto wangu huyu yupo very very bright ( Yupo bright kama Wakili msomi N'GWASHI D. KAMANI, MBUNGE VITI MAALUMU CCM ( The youngest MP in TZ SO FAR SHE WAS JUST BORN IN 1996 ) ana uwezo mkubwa sana darasani ana msingi mzuri sana wa shule ya msingi aliyo soma na shule anayo soma sasa hivi...

So ushauri wenu wadau. Nimpeleke Makongo atoke na discipline au nimpeleke Feza Girls atoke na matokeo mazuri sana, connection , classy with some farking western attitude


Kingine kwa wale wanaume ambao mlipata watoto wa kike mkiwa bado teenagers na mkawalea then mkaja kuishi nao as single fathers, then wakawa teen agers mkiwa in ur early 30s mliweza vipi kudeal na kiburi cha foolish age cha mtoto f
Nidhamu ya mtoto ujengwa kwa pamoja Kati ya wazazi,shule(walimu) na jamii inayomzunguka.
MWANAO ameshaonekana amekushinda so kumpeleka shule ili zikusaidie kumbadiri/kumrekebisha tabia Ni uongo.
Kwa akili zako hapo,Unataka upate shule ya kumbadiri TABIA.!Tena akiwa form three
~FEZA SCHOOLS HAZIPOKEI WANAFUNZI WENYE TABIA KAMA ZA MWANAO,
~HAZIPOKEI WANAOMIA UNLESS AWE NI GENIUS KWELI,
~ADA YA FEZA GIRLS OR BOYS KWA FORM 1-4 NI AROUND 10M KWA MWAKA.
~BEST SCHOOLS IN TZ ARE VERY FEW,THEY ALSO NEED BEST STUDENTS! YOU'RE DAUGHTER IS NOT AMONG THE BEST SO SHE WON'T BE SELECTED.
~Achana na FEZA SCHOOLS Kapambane na SHULE za uwezo wako.
 
Back
Top Bottom